Pre GE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

Pre GE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vita yao ndani ya chama imefika pabaya, ila vyombo vya dola Jeshi la Polisi, serikali ya Rais Samia kwa ujumla watamuongezea ulinzi wa dhahiri na kificho.

Kama tuvyeo twa chadema ambato hatuna posho, wanataka kumalizana, hawa ndio wa kuwakabidhi nchi? Watauana au kupinduana kila siku na nchi itajaa ghasia na mauaji
Siku zote huwa unaandika vitu vya kitoto tu.
 
Huu mchezo wa hii serikali ya hovyo inayouza rasilimali za watanganyika kisha haitaki kuambiwa ukweli kwa kuwatsiha wakosoaji ni wa kijinga, kama ameshindwa kuongoza nchi apishe wengine wanaoweza lakini sio kutaka kuwafunga watu midomo kwa njia za vitisho, kama Lissu akionesha hiyo gari kwa wananchi likawapata jambo hao wajinga waliotumwa naamini ndio akili zao zitawakaa sawa.
 
Watu wanaofanya uhalifu hapo Tanzania kwa wale wote wanaoonekana ni threats kwenye utawala wa kifisadi na usiokuwa na tija, huwa wanakuwa eliminated au kuwekewa shida kubwa kuficha madudu yao.

Lissu was almost dead, but he did not. Lissu anamaanisha mengi kwa watanzania kushinda kiongozi yoyote wa CCM combined ambao over 60 years nchi ipo vile vile kama TUpo
Kizimu.
Lissu anatoa TAHADHARI, na sisi tunatoa tahadhari, upumbavu uliofanyika 2017 ukirudiwa tena , we will deal with them , watu wanaofanya upumbavu kama huo wanaishi mitaani kama watanzania wengine, they have nothing special and we will get busy with them as well .
CCM mnapotaka Tanzania ifike, itafika….. it is just a matter of time.

Lissu asisumbuliwe, he is the only hope kwa tanzania kwa sasa who can speak the truth and he has our blessings
Dogo vitisho vya JF havijwahi ku work out. Ebu nenda kwa Mtozi Nyanda live uyaseme hayo kama kweli wewe ni Mwamba!
 
Freeman Mbowe hanaga msamaha na anayeonyesha Nia ya kutaka uenyekiti wa Chadema.

Lisu muulize Sumaye au familia za waliotangulia mbele ya haki akina Chacha Wangwe.
 
Wasimshambulie namuonea huruma sana uyu ndugu
Ila bahati mbaya hajui maadui wake ni nani
 
Serikali iingilie kati hiki chama chetu pendwa watamalizana.
 
Huyu mzanzibari ameamza kutumia wasiojulikana ili wamuue mzalendo mtanganyika anayetetea Mali za Tanganyika ambazo zinauzwa na mtu kutoka Nchi ya nje ya zanzibar.wa Tanganyika hatutakubali huu uhuni.Tutamfukuza arudi kwao Zanzibar akale urojo,halua na tende
 
Vita yao ndani ya chama imefika pabaya, ila vyombo vya dola Jeshi la Polisi, serikali ya Rais Samia kwa ujumla watamuongezea ulinzi wa dhahiri na kificho.

Kama tuvyeo twa chadema ambato hatuna posho, wanataka kumalizana, hawa ndio wa kuwakabidhi nchi? Watauana au kupinduana kila siku na nchi itajaa ghasia na mauaji
Mnaandika uongo uliopuuzwa na kila mtu ili iweje wajinga nyie?
 
Freeman Mbowe hanaga msamaha na anayeonyesha Nia ya kutaka uenyekiti wa Chadema.

Lisu muulize Sumaye au familia za waliotangulia mbele ya haki akina Chacha Wangwe.
Alishindwa jiwe na akafa yeye kibwege sana, endeleeni kutunga uongo
 
Awaonyeshe wananchi ili wampendao wajue cha kuwafanya hao ndugu....wageuzwe mumiami wawe mkaa tu😎
 
Back
Top Bottom