Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Lucas Mwashambwa Una Neno la kumwambia Makamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote huwa unaandika vitu vya kitoto tu.Vita yao ndani ya chama imefika pabaya, ila vyombo vya dola Jeshi la Polisi, serikali ya Rais Samia kwa ujumla watamuongezea ulinzi wa dhahiri na kificho.
Kama tuvyeo twa chadema ambato hatuna posho, wanataka kumalizana, hawa ndio wa kuwakabidhi nchi? Watauana au kupinduana kila siku na nchi itajaa ghasia na mauaji
Dogo vitisho vya JF havijwahi ku work out. Ebu nenda kwa Mtozi Nyanda live uyaseme hayo kama kweli wewe ni Mwamba!Watu wanaofanya uhalifu hapo Tanzania kwa wale wote wanaoonekana ni threats kwenye utawala wa kifisadi na usiokuwa na tija, huwa wanakuwa eliminated au kuwekewa shida kubwa kuficha madudu yao.
Lissu was almost dead, but he did not. Lissu anamaanisha mengi kwa watanzania kushinda kiongozi yoyote wa CCM combined ambao over 60 years nchi ipo vile vile kama TUpo
Kizimu.
Lissu anatoa TAHADHARI, na sisi tunatoa tahadhari, upumbavu uliofanyika 2017 ukirudiwa tena , we will deal with them , watu wanaofanya upumbavu kama huo wanaishi mitaani kama watanzania wengine, they have nothing special and we will get busy with them as well .
CCM mnapotaka Tanzania ifike, itafika….. it is just a matter of time.
Lissu asisumbuliwe, he is the only hope kwa tanzania kwa sasa who can speak the truth and he has our blessings
Ahahahahaha!!! Wajinga bwana!!!Ndio kinachofuata
Mnaandika uongo uliopuuzwa na kila mtu ili iweje wajinga nyie?Vita yao ndani ya chama imefika pabaya, ila vyombo vya dola Jeshi la Polisi, serikali ya Rais Samia kwa ujumla watamuongezea ulinzi wa dhahiri na kificho.
Kama tuvyeo twa chadema ambato hatuna posho, wanataka kumalizana, hawa ndio wa kuwakabidhi nchi? Watauana au kupinduana kila siku na nchi itajaa ghasia na mauaji
Kwan wameanza kumuwinda tena?🦌Naunga mkono HOJA.
Lissu Ni innocent, hapaswi kuishi kama digidigi katika Nchi yake Mwenyewe!!
Alishindwa jiwe na akafa yeye kibwege sana, endeleeni kutunga uongoFreeman Mbowe hanaga msamaha na anayeonyesha Nia ya kutaka uenyekiti wa Chadema.
Lisu muulize Sumaye au familia za waliotangulia mbele ya haki akina Chacha Wangwe.
Mwamba wa nini?Dogo vitisho vya JF havijwahi ku work out. Ebu nenda kwa Mtozi Nyanda live uyaseme hayo kama kweli wewe ni Mwamba!
🤣Mleta mada wa kwanza kushughulikiwa
Aache uzushi wake hapa.yeye kama amechoka kuishi nchini na kukumbuka Ulaya, ni bora aondoke tu kimya kimya kama anavyofanyaga na siyo kutafuta kiki tu hapa.Lucas Mwashambwa Una Neno la kumwambia Makamu?
Mwamba wa nyumbu wanaotishia tu mtandaoni lakini kwenye reality waoga kuliko mbwa Koko! Ahahahahaha!!Mwamba wa nini?