Pre GE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

Pre GE2025 Singida: Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Itakuwa vijana wa Mbowe, nyie mnagombea uenyekiti wa Chadema Taifa mmalizane wenyewe huko Chadema
Hata wakati ule alionyesha nia ya kuutaka uenyekiti wa chama ndo yakamkuta ya kutukuta.
Sasa Mwendazake hayupo, Samia ni rafiki yake; sijui watamsingizia nani?
 
Unajichanganya. Nenden mkamguse. Mtazika tena.
Ahahahahaha! Imenibidi niangalie umekuwa member tangu lini nikakuta ni 2021! Kiukweli nimekubaliana na wewe maana wa 2014 kama Mimi HAWEZI kutishia hivyo! Ahahahahaha! Unajua Kwanini? Waliishatishia kweli!! Ahahahahaha!!!
 
Ahahahahaha! Imenibidi niangalie umekuwa member tangu lini nikakuta ni 2021! Kiukweli nimekubaliana na wewe maana wa 2014 kama Mimi HAWEZI kutishia hivyo! Ahahahahaha! Unajua Kwanini? Waliishatishia kweli!! Ahahahahaha!!!
OK.
 
Watu wanaofanya uhalifu hapo Tanzania kwa wale wote wanaoonekana ni threats kwenye utawala wa kifisadi na usiokuwa na tija, huwa wanakuwa eliminated au kuwekewa shida kubwa kuficha madudu yao.

Lissu was almost dead, but he did not. Lissu anamaanisha mengi kwa watanzania kushinda kiongozi yoyote wa CCM combined ambao over 60 years nchi ipo vile vile kama TUpo
Kizimu.
Lissu anatoa TAHADHARI, na sisi tunatoa tahadhari, upumbavu uliofanyika 2017 ukirudiwa tena , we will deal with them , watu wanaofanya upumbavu kama huo wanaishi mitaani kama watanzania wengine, they have nothing special and we will get busy with them as well .
CCM mnapotaka Tanzania ifike, itafika….. it is just a matter of time.

Lissu asisumbuliwe, he is the only hope kwa tanzania kwa sasa who can speak the truth and he has our blessings
Mwandiko wako sio mgeni sana mkuu!!

Nimemmiss De Levi's aiseh hasa kwenye hili bandiko!

Au ni kama voicer!!!?

"Ana Baraka zenu,na anaongea kuhusu Tanganyika"!

Ni kweli mkuu maagizo yenu yamebagazwa kabisa!mlitaka katiba mpya kabla ya uchaguzi serikali za mitaa lakini macomrade wenzetu walambaji asali wamebagaza maagizo yenu!!

Sasa nadhani wanataka kuiua chadema Kwa kugawa kura zake!!!

Nahisi unaandika ukiwa israel au!!?

Big up sana!Hadi umeandika hili ni dhahiri shahiri Kuna kitu unakijua wanataka kufanya sio!!!?
 
Watu wanaofanya uhalifu hapo Tanzania kwa wale wote wanaoonekana ni threats kwenye utawala wa kifisadi na usiokuwa na tija, huwa wanakuwa eliminated au kuwekewa shida kubwa kuficha madudu yao.

Lissu was almost dead, but he did not. Lissu anamaanisha mengi kwa watanzania kushinda kiongozi yoyote wa CCM combined ambao over 60 years nchi ipo vile vile kama TUpo
Kizimu.
Lissu anatoa TAHADHARI, na sisi tunatoa tahadhari, upumbavu uliofanyika 2017 ukirudiwa tena , we will deal with them , watu wanaofanya upumbavu kama huo wanaishi mitaani kama watanzania wengine, they have nothing special and we will get busy with them as well .
CCM mnapotaka Tanzania ifike, itafika….. it is just a matter of time.

Lissu asisumbuliwe, he is the only hope kwa tanzania kwa sasa who can speak the truth and he has our blessings
Unapiga kelele na ID fake jitokeze adharani
 
Back
Top Bottom