Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaliti LisuTutashitakiwa MIGA tukidai madini yetu ~~~~ Lisu
Huyo ni mbowe tu!Ndio kinachofuata
Umenena sana machozi yanibubujika!Aache uzushi wake hapa.yeye kama amechoka kuishi nchini na kukumbuka Ulaya, ni bora aondoke tu kimya kimya kama anavyofanyaga na siyo kutafuta kiki tu hapa.
Mpelekeni mahakamani.Msaliti Lisu
September 7, 2017 Lissu alikuwa anagombe uenyekiti??Itakuwa vijana wa Mbowe, nyie mnagombea uenyekiti wa Chadema Taifa mmalizane wenyewe huko Chadema
Unajichanganya. Nenden mkamguse. Mtazika tena.Mwamba wa nyumbu wanaotishia tu mtandaoni lakini kwenye reality waoga kuliko mbwa Koko! Ahahahahaha!!
SawaUnajichanganya. Nenden mkamguse. Mtazika tena.
Hata wakati ule alionyesha nia ya kuutaka uenyekiti wa chama ndo yakamkuta ya kutukuta.Itakuwa vijana wa Mbowe, nyie mnagombea uenyekiti wa Chadema Taifa mmalizane wenyewe huko Chadema
Ahahahahaha! Imenibidi niangalie umekuwa member tangu lini nikakuta ni 2021! Kiukweli nimekubaliana na wewe maana wa 2014 kama Mimi HAWEZI kutishia hivyo! Ahahahahaha! Unajua Kwanini? Waliishatishia kweli!! Ahahahahaha!!!Unajichanganya. Nenden mkamguse. Mtazika tena.
OK.Ahahahahaha! Imenibidi niangalie umekuwa member tangu lini nikakuta ni 2021! Kiukweli nimekubaliana na wewe maana wa 2014 kama Mimi HAWEZI kutishia hivyo! Ahahahahaha! Unajua Kwanini? Waliishatishia kweli!! Ahahahahaha!!!
Mwandiko wako sio mgeni sana mkuu!!Watu wanaofanya uhalifu hapo Tanzania kwa wale wote wanaoonekana ni threats kwenye utawala wa kifisadi na usiokuwa na tija, huwa wanakuwa eliminated au kuwekewa shida kubwa kuficha madudu yao.
Lissu was almost dead, but he did not. Lissu anamaanisha mengi kwa watanzania kushinda kiongozi yoyote wa CCM combined ambao over 60 years nchi ipo vile vile kama TUpo
Kizimu.
Lissu anatoa TAHADHARI, na sisi tunatoa tahadhari, upumbavu uliofanyika 2017 ukirudiwa tena , we will deal with them , watu wanaofanya upumbavu kama huo wanaishi mitaani kama watanzania wengine, they have nothing special and we will get busy with them as well .
CCM mnapotaka Tanzania ifike, itafika….. it is just a matter of time.
Lissu asisumbuliwe, he is the only hope kwa tanzania kwa sasa who can speak the truth and he has our blessings
Wameanza tena !!Kwan wameanza kumuwinda tena?🦌
Kumbe alipoguswa ndio maana tulizika!!?kumbe Lisu ni mkubwa Sana hivyo!!!?yaani kuliko hata Dr mkojani na Mimi au siyo!!?Unajichanganya. Nenden mkamguse. Mtazika tena.
Unapiga kelele na ID fake jitokeze adharaniWatu wanaofanya uhalifu hapo Tanzania kwa wale wote wanaoonekana ni threats kwenye utawala wa kifisadi na usiokuwa na tija, huwa wanakuwa eliminated au kuwekewa shida kubwa kuficha madudu yao.
Lissu was almost dead, but he did not. Lissu anamaanisha mengi kwa watanzania kushinda kiongozi yoyote wa CCM combined ambao over 60 years nchi ipo vile vile kama TUpo
Kizimu.
Lissu anatoa TAHADHARI, na sisi tunatoa tahadhari, upumbavu uliofanyika 2017 ukirudiwa tena , we will deal with them , watu wanaofanya upumbavu kama huo wanaishi mitaani kama watanzania wengine, they have nothing special and we will get busy with them as well .
CCM mnapotaka Tanzania ifike, itafika….. it is just a matter of time.
Lissu asisumbuliwe, he is the only hope kwa tanzania kwa sasa who can speak the truth and he has our blessings
Shetani anapenda hizi situation 👹Itakuwa vijana wa Mbowe, nyie mnagombea uenyekiti wa Chadema Taifa mmalizane wenyewe huko Chadema
Huna akili?Hata wakati ule alionyesha nia ya kuutaka uenyekiti wa chama ndo yakamkuta ya kutukuta.
Sasa Mwendazake hayupo, Samia ni rafiki yake; sijui watamsingizia nani?