LGE2024 Singida: Tundu Lissu aongoza mazishi ya Mgombea wa CHADEMA aliyeuawa na Polisi kwa bunduki ya Serikali

LGE2024 Singida: Tundu Lissu aongoza mazishi ya Mgombea wa CHADEMA aliyeuawa na Polisi kwa bunduki ya Serikali

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameongoza Waombolezaji katika Mazishi ya Mgombea Uenyekiti wa kijiji kupitia Chadema, Aliyeuawa na Askari aliyetumwa kumuua na wanaodhani hii Nchi ni yao.

Unaua Mtu kwa sababu tu ni mgombea wa Chadema, Hakika tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo, na Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho ya Marehemu huyu asiye na hatia, Amina.

View attachment 3165797View attachment 3165799

Mungu ibariki Chadema
Polisi wa nchi hii ni wapumbavu sana Hv huyo polisi anayefyatua risasi na kumuua mtu asiye na hatia anajisikiaje huko aliko,namuombea huyo askari siku moja awe kichaa tu.
 
Saa100 hataweza kusimamia uchaguzi mkuu 2025.
Mtambue huyu ni WA kupewa maelekezo TU!
"Kupewa maelekezo tu"? Bila ya yeye kuwa na matarajio ya kunufaika na matokeo ya maelekezo hayo?

Samia ni mshiriki namba moja katika yote hayo; usitafute njia za kumwondolea chochote.

She is as ruthless as they come.
 
"Kupewa maelekezo tu"? Bila ya yeye kuwa na matarajio ya kunufaika na matokeo ya maelekezo hayo?

Samia ni mshiriki namba moja katika yote hayo; usitafute njia za kumwondolea chochote.

She is as ruthless as they come.
Hakika
 
Ndio kwa kuhamasisha ujinga ile siku ya kufunga kampeni pale Ikungi.
Kwa hiyo aliwaita askari waje na bunduki waue mtu?

Ndugu yangu unachokishabikia ni fhahiri hata wewe ukishika bunduki utaweza kuua mtu kwa sababu anakutuhumu luiba kura na utapeleka lawama kwa aliyewaambia walinde kura zao.

Lakini kwa maneno yako, wewe ni mshiriki wa mauaji
 
Back
Top Bottom