Doris Gabriel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 1,045
- 869
UbarikiweKaeni hivyo basi mpambane na hali zenu kama ulizaa kwa kupenda endelea hivyohivyo..!
Wengi huwa tunawatongoza kwa nia ya kujipatia papuchi tuuh kuoa hakuna mtu atakaye acha gari mileage 50 akanunue mileages 200000.[emoji773][emoji41][emoji41]
Mkubali kuwajibika kwa makosa yenu. Kuamua kuoa single maza ni kwa hisani tu asijeniletea ubabe eti lazima nitunze mwanaye akiniomba kwa hekima I can do but siyo kwa namna atakavyo yeye.
Ana miaka 8 wa kike, Je wewe Wa kwako ana umri gani?mwanao ana miaka mingap?
Wa kiume, ana miaka miwili tu..alipofariki mamake mama yake mkubwa alimchukua kumlea.
Amina..! Kumbuka kupambana na halo yako.
wa kiume,ana miaka miwili tu..alipofariki mamake mama yake mkubwa alimchukua kumlea.
Thanks friend, Mungu atubariki.Pole mpendwa...... Mungu hamuachi mwenye haki, atamkuza mtoto katika hekima na kimo
Sina mtoto Naomba kuwa mama kwa huyo mtoto
Nice. Gud dadMleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.
Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!
For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu
Sent using Jamii Forums mobile app
I love it, always watoto wa kike huwa na mapenzi na baba zaidi kuliko mama hasa wakiwa wadogo na huyo wa kiume kama angekuwepo mama yake basi ungemuona ambavyo angempenda mama yake, ni ishu ya kisaikolojia, hongera kwa kuwatunza vema, keep it up.Nice. Gud dad
Such A Loving Father!...... Congrats [emoji122][emoji122]Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.
Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!
For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu
Sent using Jamii Forums mobile app