Jamaa bhana π halaf ni ustadhi wewe ..IttaqLLAH......Nina single mom ..sijutii ...hizi kelele za vijana wa humu wakikua wataacha tu..Mpaka sasa umepata single mazas wangapi huko pm?
Mi nilikua siamini maneno ya watu hasa humu JF. Wanamaneno mazuri sana akiwa na shida. Wanaonesha upendo wa dhati kweli akiwa na shida. Sio short term, in a long term. Short term huwez wajua.Can you stop generalizing?
Okay, ninamaanisha kuwa tayari umetanguliwa kwa magoli utawezaje kudhibiti hilo wakati tayari limetokea?Mkuu swali lako kama nimelielewa kama sijalielewa,,,,tafadhali naomba uliweke vizuri au lifafanue
Shukrani
Je hapa unazungumzia mtoto wake ambaye unaishi nae pamoja au yupo nje hukoNi binadamu Ndio, Ila mtoto wao kwanza. Wanaonesha care na upendo kwa watoto wao kuliko wewe baba na watoto mliowazaa, hua tunaweza maana yake ni kwamba yule jamaa wa mwanzo anapendwa na kuthaminiwa sana kuliko nyie wengine.
Humu Jf sina mahusiano na mwanamke yeyoteMpaka sasa umepata single mazas wangapi huko pm?
Kudhibiti kwa maana gani,yaani ana mtoto tayar ndio wauliza utadhibiti vipi asizae tena nje au unamaanisha kipiOkay, ninamaanisha kuwa tayari umetanguliwa kwa magoli utawezaje kudhibiti hilo wakati tayari limetokea?
Wakati unaendelea kukaa paleKwa alichonifanya yule single maza nikioa single maza niiteni bull dog nimekaa pale kwenye uzi wa riki boy
Tayari ameshazaa, kwa hiyo unadhani utadhibiti vipi isitokee tena bila ya kujua chanzoKudhibiti kwa maana gani,yaani ana mtoto tayar ndio wauliza utadhibiti vipi asizae tena nje au unamaanisha kipi
Anaish naeJe hapa unazungumzia mtoto wake ambaye unaishi nae pamoja au yupo nje huko
Nyosha maelezo mkuu mbona kama hujiamini hvkampeni imerudi tena ?
Big boys ni kama KGB tupo Makini Sana kugundua uhaini wowote ulevipi, ulikua unatembea na K yake eeh
Daah hapa nipo njia panda kwasababu,unajua Kwa kawaida mama hupenda wanawe wote unless kama huyo mume nae ana mtoto wa nje,hapo ndo mwanamke hataonyesha mapenzi Kwa hao watotoAnaish nae
Kwahiyo wewe unakimbia majukumu ya kumlea mtoto ambaye sio wako au sio?Ishu single mama issue ni je mtoto yupo Kwa baba yake au Kila kitu single mother kama ni single mother na ANAISHI NA MTOTO WAKE YAAN BABA YAKE HAWAJIBIKI HAPO TATIZO!!!!ILA KAMA NI SINGLE MOTHER NA BABA YAKE KAMCHUA NI FRESH TU
Afadhali wewe hujawa mnafiki mkuuUsipumbazwe na maneno ya humu.
Hawa single maza tunawaponda tu hapa jukwaan ila huku field ndio tunakomaa nao..
Ka single maza kangu kamoja hiv dah..katam sana.
Ila hapa jukwaan lazima tuwapopoe si unajua maisha bila unafiki hayaendi?
Salute kwako mkuuJamaa bhana π halaf ni ustadhi wewe ..IttaqLLAH......Nina single mom ..sijutii ...hizi kelele za vijana wa humu wakikua wataacha tu..
Sisi watu wazima hatuwezi kufundishwa na vijana wadogo....
Hizi kelele za kwamba eti kumlisha na kumuhudumia mtoto asiye wako inauma Ni za kitoto..Mbona tunasaidia watu wengi huku kitaa..
Vijana tafuteni pesa ndio mwiba wa kila kitu...kanuni Ni ileile tu Demu akizingua piga chini..ova