ahzan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2022
- 288
- 452
Shukrani shukraniMashallah wallah nimefarijika Sana na Maneno yako mazuri
Umeonyesha ukomavu mkubwa Sana na kujitambua na kubwa hakuna sababu ya Kuwa wanyonge Kwa maneno ya Wavulana wasio jitambua.
Kongole kwako Sana Tu .
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app