Single Maza kiboko ya Wavulana

Single Maza kiboko ya Wavulana

Asante kwa maneno yako na maoni yako

Wewe ni Kati ya Wavulana ambao nimewaongelea hapo,huwa hamkosi sababu maadam Tu mhalalishe uvulana wenu.

Hakuna kitu cha kijasiri kama kumpenda mwanamke mwenye mtoto,upo tayar kulea mtoto wake na kumfanya wako,hakika hayo ni mapenzi makubwa Sana na inaonyesha jinsi gani mwanaume huyo ni husband material,anaweza kushow love Kwa familia yake,ndio maana nikasema Wanaume waishi Maisha marefu coz hawa ndio wanafanya jamii iwe katika uangalizi wao.

wavulana hata mkimpa mimba binti Tu mnakimbia,je ufaza mtauweza wapi?

kongole Kwa wanaume wote!
Kwahio unajiona mwamba kuoa singo maza 😂😂😂 we ni boya tu in "CAPS LOCK"
 
Asante Kwa maoni yako mkuu

Kwa mujibu ya maelezo yako naona hapo tatizo sio single Maza,Bali tatizo ni hiyo ndugu yako,wakati huyo mama anajenga uchumi wa mtoto huyo ndugu yako alikuwa wapi?

Nadhani shida iko hapo,unless kama utakuwa na maelezo ya ziada
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe unataka awepo wapi, amlazimishe mwanamke mwenye malengo yake. Hebu acheni illogical reasoning. Safari ndani ya ndoa huwa moja ila mwenzako akiwa a side journey ya kwake peke yake sio kosa la partner wake maana mliingia ndani ya ndoa kwa lengo moja. Acheni kutweka vijana wasio na hatia majukumu ambayo sio yao. Siunajua mwanaume naye ni binadamu sio robot wala slave kwa mwanamke.
 
Nilioa single Maza nikaishi nae Kwa miaka 7, then nikamuacha si Kwa usaliti na wala hakuwaki kukumbusha kiporo na mzazi mwenzake

Nategemea tena kuoa single Maza mwingine very soon inshallah

Wako na ukomavu mkubwa na wanajua Maana ya Maisha.


Kwahiyo naongea kitu ninacho kifahamu.
Unakifahamu wewe basi waache vijana wengine maana pia wanakitu wanakifahamu. Katika maisha kila mtu kuna misukosuko amepitia na kujifunza, usifanye njia yako ndio iwe ya wengine.
 
Unakifahamu wewe basi waache vijana wengine maana pia wanakitu wanakifahamu. Katika maisha kila mtu kuna misukosuko amepitia na kujifunza, usifanye njia yako ndio iwe ya wengine.
Mkuu usijizime data sijamlazimisha mtu kuoa single Maza

Nimekuwa nasisitiza kama wewe huwezi kuoa Acha Ila usipige kampeni mbaya

Je hapo nimelazimisha mtu kuoa single Maza?
 
Wapo sahihi mkuu kuna ndugu yetu kaoa Single mother maisha yao ni tofauti naamini hasinge oa single mother changamoto anazozipitia zisinge kuwepo, mfano kwenye kujenga uchumi wa familia utakuta single mother anajenga uchumi wa mtoto wake na malengo yake anayaweka kwa mtoto wake wa nje ni tofauti angekuwa hajazaa wala hasinge waza kujenga uchumi wake binafsi na mtoto wake, Single mother wengi wakiolewa wengi wao wanakuwa na malengo yao binafsi, yani mnaingia kwenye ndoa na mwanamke huku yeye akiwa na malengo tofauti ya familia yani yeye anaingia kwenye ndoa ili mtoto wake hasiteseke na awe maisha mazuri, ni tofauti na ukioa mwanamke ambaye hajawahi kuzaa yeye atakuwa anawaza watoto mliozaa naye.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Akili ya single maza akili yake iko kwa mwanae by 1OO%!!! Ukimdekeza mtoto wake tu unakabidhiwa leseni ya kumla kama mishkaki. Shida ndio hio kila muhuni anajifanya anakea ili ale mzigo
 
Nilioa single Maza nikaishi nae Kwa miaka 7, then nikamuacha si Kwa usaliti na wala hakuwaki kukumbusha kiporo na mzazi mwenzake

Nategemea tena kuoa single Maza mwingine very soon inshallah

Wako na ukomavu mkubwa na wanajua Maana ya Maisha.


Kwahiyo naongea kitu ninacho kifahamu.
Ulimuachaje mtu bila sababu? Acha utoto wewe.
 
Jamaa bhana [emoji23] halaf ni ustadhi wewe ..IttaqLLAH......Nina single mom ..sijutii ...hizi kelele za vijana wa humu wakikua wataacha tu..

Sisi watu wazima hatuwezi kufundishwa na vijana wadogo....

Hizi kelele za kwamba eti kumlisha na kumuhudumia mtoto asiye wako inauma Ni za kitoto..Mbona tunasaidia watu wengi huku kitaa..

Vijana tafuteni pesa ndio mwiba wa kila kitu...kanuni Ni ileile tu Demu akizingua piga chini..ova
Boss umeshasema ni mtu mzima, unajua kijana anaeanza maisha ya leo anaanza na kipato gani? Hii si 1990s au 2010s ni 2022. Unajua kijana alietokea kwenye familia ya wastani ya kitanzania anaanzia na kipato cha kiasi gani? Unafikiri ataweza kusupport watu wa tatu kwa mpigo ilihali mmoja tu yeye mwenyewe anaishi kwa kubangaiza. Narudia tena, acheni kuwatupia lawama vijana, maana kijana akishindwa kuisupport hiyo familia lawama zote ni kwake na hamna mtu atakayejali anawatu wangapi nyuma wanamtegemea.
 
S/mother’s wengi/wote wameshaharibika mfumo wao wa ufikili
Hi ni kutokana na jamii inavyowaona/mfano ni hapa jukwaani pia kila siku tunawaongelea na kuwasema, japo sababu kubwa ni wao wenyewe!!
Hivyo wao ndio sababu ya haya yote

Utamchukua leo mtaanza maisha
Utajitoa na kumpenda kama mkeo..
Anasuka na kupendeza...
Kwa bahati mbaya nowadays kuna mitandao ya kijamii inatuunganisha!!
Anaweka picha zake huko ,jamaa anamuona anamtamani
Anaanza kumtongoza[emoji3]
Kwasababu wanakiunganishi(mtoto wao) inakua ngumu kumblock
Atakataa leo,kesho na keshokutwa....mtondogoo atakuja na gia ya mtoto

My brother umekwisha!!!
Na kwasababu hiyo inatuwia vigumu sana kuwachukua
Je hapa nan tatizo
Yeye anajua yupo na mimi iweje tena aende huko?
Huo ndio mtihani walionao single mother wengi
 
Cha muhimu kila mmoja ajue anaweza akakosea kwenye maisha. Mimi naona bora single mama kuliko mtoa mimba. Mwanamke aliyefanya abortion hafai kuolewa na anastahili kutengwa. Single Mama ni mtu mwenye utu kumleta kiumbe duniani. Ila katika kundi lazima washenzi pia wawepo. Sijajua kama kuna sababu za kisayansi ila single mama wengi wanashindwa kujizuia kutofanya mapenzi na waliowazalisha.

Hili jambo limekuwa kikwazo kikubwa kwao kuaminika. Pia single mama wengi ni watu waliokuwa na viburi sana kabla hawajazalishwa na kutelekezwa. Yaani utakuta kijana yuko serious lakini binti anajibu jeuri kuwa wewe sio type yangu. Akishatelekezwa ndo anataka amkubalie jamaa. SINGLE MAMA SALAMA KWA KUOA NI AMBAYE MUMEWE YUKO KABURINI. Hawa wengine pasua kichwa.
 
Wapo sahihi mkuu kuna ndugu yetu kaoa Single mother maisha yao ni tofauti naamini hasinge oa single mother changamoto anazozipitia zisinge kuwepo, mfano kwenye kujenga uchumi wa familia utakuta single mother anajenga uchumi wa mtoto wake na malengo yake anayaweka kwa mtoto wake wa nje ni tofauti angekuwa hajazaa wala hasinge waza kujenga uchumi wake binafsi na mtoto wake, Single mother wengi wakiolewa wengi wao wanakuwa na malengo yao binafsi, yani mnaingia kwenye ndoa na mwanamke huku yeye akiwa na malengo tofauti ya familia yani yeye anaingia kwenye ndoa ili mtoto wake hasiteseke na awe maisha mazuri, ni tofauti na ukioa mwanamke ambaye hajawahi kuzaa yeye atakuwa anawaza watoto mliozaa naye.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Very Correct
 
Kwa maoni yangu,kuendelea kuzaa nje au kutoendelea inategemea na Tabia au hulka ya huyo mwanamke

Hii hutokea hata Kwa hawa ambao hawajazaq bado,kama utulivu ni zero lolote laweza tokea

Ila Kwa single Maza ambaye akapata mtu akamuoa Kwa asilimia kubwa hatoruhusu kutokea Hilo kwasababu kwake yeye kupata hifadhi Kwa mwanaume mwengine na kulea mtoto wake ni bahati kubwa Sana na ni Jambo la kujivunia Sana,lazima atakuwa Makini ili asipoteze nafasi aliyopata..

Kikubwa iwe Kwa single Maza au kigoli ni kuomba Mungu upate mtu sahihi

Shukrani
Mara nyingi huanzaga hivyo kama isemavyo, ila wakishazoea hutaacha kuona rangi halisi. Mwanzoni penzi ni tamu, ngoja lifike katikati sasa yaani kwaujumla ni psychological conditioning ambayo haiepukiki.
 
Hizi ni baadhi ya kauli za wavulana juu ya single maza "ukioa single Maza ukae tayar kuchapiwa", "single Maza sio WA mtu mmoja",,, "single Maza ana wakwe pande mbili na mawifi pande mbili",,,"unaoa single Maza Una akili timamu kweli?"

Swali kwenu wavulana hao ambao sio single Maza mnao chapiwa kwenye ndoa zenu hawana mawifi pande mbili? Hawana wakwe pande mbili? Na Hadi mnachapiwa hivi nyie mnaakili kweli?

Sikilizeni nyie wavulana tofauti ya single Maza walio zalishwa na wake zenu walio zalishwa ndani ya ndoa zenu na wanaume wengine ni moja Tu, mawifi na wakwe WA single Maza wanajulikana tayar ila nyie WA kwenu hawajulikani bado, kwahiyo msishupalie Sana kauli zenu juu ya single Maza wakati nyie mnalea watoto ambao sio wenu!

Mfano mzuri ni Yule mchungaji na katibu,nadhani mmeona alioa mwanamke sio single Maza lkn watoto Kwa mwonekano wanaonekana sio WA mwenye mke,sijui mmenielewa vizuri hapo? Kwahiyo msiwa nyanyase masingle Maza coz hawa kupenda kuwa hivyo Ila ni mazingira Tu sometime Yana wafanya wajikute katika Hali hiyo.

Mnawasema vibaya Sana single Maza,je nyie Hamna wadogo zenu WA kike au dada zenu WA kike,je shangazi zenu au mama zenu wadogo? Mnapinga kabisa wasiolewe,ebu chukulia ndio mdogo wako au dada yako je ungependa aziniwe tu kila siku Bila kuolewa?

Kutwa kucha mnashabikia upumbavu tu dhidi ya single Maza, mapovu yanawatoka kisa mnawapiga Vita single Maza wa watu Tu tena saa nyingine nyie ndio sababu ya wao kuwa single Maza. Ebu acheni huo upuuzi mara moja, kuna wengine wamebakwa na wengine ni manyanyaso ya kijinsia halafu nyie mnaongea ujinga Tu dhidi Yao!

Kwenu wanaume unapo amua kumuoa single Maza basi hakikisha unapenda na watoto wake, hakuna mwanamke anayependa kuishi mbali na mtoto wake, huwa wana majonzi Sana baadhi ya wanawe wanaishi vizur halafu mwanae mwingine sijui yupo kwa mjomba huko au shangazi hata kula yake ni shida, halafu unategemea utapewa penzi zuri na mkeo wakati humpendi mwanae? Hayo mahaba ya kukupa wewe yatatokea wapi wakati unabagua wanawe?

Wanaume wenzangu mjitafakari sana na mfanye mkeo afurahie uwepo wa wanawe wote ndani ya familia moja, wanaume Mungu awape Maisha marefu.

Ni hayo Tu!
Kwahiyo Mkuu sababu ya kuwaita Wanaume wenzio ''Wavulana'' ni kwakuwa hawapo tayari kula Single Mothers au?

Na kuoa Single mother's ndio Uanaume?
 
Kinachochekeshe kwenye huu uzi ni pale mtu anasema single mother ana akili..
Sijasema hawana akili ila kama kuwa single mother ndio kuwa na akili inafirikisha kidogo..
Single mother ni mwanamke
alipewa mimba na mwanaume mwingine hawa ni changamoto labda tu kama mwanamume huyo alikufa..otherwise ni usijaribu kabisa kuna jirani alioa single mother nilimuhurumia sana hatimaye akafa kifo tata sasa wanaume ndio wanapishana kama kariakoo
 
Mkuu usijizime data sijamlazimisha mtu kuoa single Maza

Nimekuwa nasisitiza kama wewe huwezi kuoa Acha Ila usipige kampeni mbaya

Je hapo nimelazimisha mtu kuoa single Maza?
In real sense umelazimisha, maana umemdefine mwanaume jasiri ndio huwa hivyo. Yaani ukamsigina na misifa ambayo siyo zinazomdefine mwanaume au mume. Hivyo umelazimisha kitu kisicho na uhalisia.
 
In real sense umelazimisha, maana umemdefine mwanaume jasiri ndio huwa hivyo. Yaani ukamsigina na misifa ambayo siyo zinazomdefine mwanaume au mume. Hivyo umelazimisha kitu kisicho na uhalisia.
Kwahiyo wewe hujapenda mkuu?
 
Kwahiyo Mkuu sababu ya kuwaita Wanaume wenzio ''Wavulana'' ni kwakuwa hawapo tayari kula Single Mothers au?

Na kuoa Single mother's ndio Uanaume?
Kusambaza sumu mbaya dhidi ya single Maza ni uvulana

Mwanaume kama hataki kuoa single Maza anapiga kimya

Mvulana atapiga kampeni mbaya kuchafua wadada WA watu
 
Kwahiyo wewe hujapenda mkuu?
Boss huko nikutumia hisia sasa, nikishapenda ndio itanisaidia nini. ila hata siku moja mwanaume hatoi maamuzi kwa hisia, kama wewe ulivyotumia hisia zako kumdefine wanaume wenzako kuwa ni wavulana. Ni kama vile umesema,najisikia kuwa wanaume wanaofanya hivi ni wavulana. Hizo ni hisia boss, tumia logic.
 
Back
Top Bottom