Single Maza kiboko ya Wavulana

Single Maza kiboko ya Wavulana

Mkuu Etugrul Bey
Kuoa single mother hakukufanyi kuwa mwanaume wa shoka.Unaowaita wavulana eti kwakuwa hawataki kuoa au kuwaponda single mother huenda wanajua mengi kuhusu single mother kuliko wewe
Mkuu kama umeoa au unataka kuoa single mother wewe oa tu ila usijipe cheo cha kuwa utakuwa mwanaume wa shoka baada ya kuoa used.
Waoaji wa single mother ni wanaume wasiojiamini, wanapenda mtelezo na kujipa mamlaka kwa wanawake hao kwakuwa wanajua wamepata wanawake waliokata tamaa, wasiojiamini na wapo tayari kuolewa na yeyote yule ilimradi tu anapumua.
Wewe mpuuzi uliyeamua kuoa hao usituingize sisi kwenye upuuzi huo eti kwakuwa tukioa used tutaonekana wanaume wa maana.
Mi pia ni muhanga wa hao watu na sitaki hata kuwasikia ila sina bifu nao, japo roho inauma kuwa mbali na mwanangu ila hamna namna
 
Boss huko nikutumia hisia sasa, nikishapenda ndio itanisaidia nini. ila hata siku moja mwanaume hatoi maamuzi kwa hisia, kama wewe ulivyotumia hisia zako kumdefine wanaume wenzako kuwa ni wavulana. Ni kama vile umesema,najisikia kuwa wanaume wanaofanya hivi ni wavulana. Hizo ni hisia boss, tumia logic.

Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake

Nimeyapokea maoni yako

Karibu sana
 
acheni kuwatupia lawama vijana, maana kijana akishindwa kuisupport hiyo familia lawama zote ni kwake na hamna mtu atakayejali anawatu wangapi nyuma wanamtegemea.
Acha kulialia tafuta hela kijana
 
Mi pia ni muhanga wa hao watu na sitaki hata kuwasikia ila sina bifu nao, japo roho inauma kuwa mbali na mwanangu ila hamna namna
Uishi Maisha marefu

Nimependa kauli yako hutaki kuwasikia lakini huna bifu nao

Shukrani sana
 
Kinachochekeshe kwenye huu uzi ni pale mtu anasema single mother ana akili..
Sijasema hawana akili ila kama kuwa single mother ndio kuwa na akili inafirikisha kidogo..
Single mother ni mwanamke
alipewa mimba na mwanaume mwingine hawa ni changamoto labda tu kama mwanamume huyo alikufa..otherwise ni usijaribu kabisa kuna jirani alioa single mother nilimuhurumia sana hatimaye akafa kifo tata sasa wanaume ndio wanapishana kama kariakoo
Single Maza ni binadamu kama wengine,wapo wema na wabaya

Aliye mbaya ahukumiwe Kwa ubaya wake

Na mwema Kwa wema wake

Kwakufanya hivyo tutatenda haki daima.
 
Kuna singomother ni mchepuko Wangu Niko nae kwny mahusiano mwaka wa 2 Sasa.

Mengi mabaya yanayozungumzwa humu jf khs singomother siyaoni kabisa kwake.

Ana nafuu sana kuliko hata mamaJ wangu ambae ananipasua kichwa kila kukicha.

Zaid Zaid Mimi Ndo nampasua kichwa huyu singomother.

Mi nadhan suala la usumbufu Ni tabia TU ya mtu.
 
Mtuache wengine tushajikubali na usingle mama wetu na hatuna habari na ndoa na wala hatuzifikirii achilia mbali kuzitaka

Kikubwa kwetu ni afya , furaha na uwezo wa kutimiza mahitaji ya watoto wetu basi,

Kila mtu anaishi na kupewa kwa kile anachostahili

So sisi single mama tumewepa kile tunachostahili,haina haja ya kuumia kwa maneno wanayoongea waja ,wala kujishusha thamani na kufikia point ya kutamani au kujifananisha na hao wenzentu ambao si single mama ,walio kwenye ndoa zao na waume zao

Kila mtu anaishi kwa nafasi yake na hii ndo nafasi yetu

Tulishapewa watoto na ni wa kwetu na tushukuru kwa uwepo wao (amna kujuta eti kwanini ilitokea mimi nikawa single mama)

Kubakwa,mjane,kutalakiwa au kutelekezwa vyovyote vile tusianze kujutia mpaka tukajiona hatustahili kwenye jamii

Khaa ebu tuishini maisha yetu na watoto wetu ACHANENI NA HAWA WAJA WA MUNGU

Ndo ishakua sasa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kila la kheri. Never drop the ball
 
Kuna singomother ni mchepuko Wangu Niko nae kwny mahusiano mwaka wa 2 Sasa.

Mengi mabaya yanayozungumzwa humu jf khs singomother siyaoni kabisa kwake.

Ana nafuu sana kuliko hata mamaJ wangu ambae ananipasua kichwa kila kukicha.

Zaid Zaid Mimi Ndo nampasua kichwa huyu singomother.

Mi nadhan suala la usumbufu Ni tabia TU ya mtu.

((Mi nadhan suala la usumbufu Ni tabia TU ya mtu.))

Nakazia hii kauli yako

Shukrani
 
Huo ndio mtihani walionao single mother wengi

Na ni ngumu kuushinda!!! Kwasababu hiyo
Inatuwia vigumu sisi wengine kuwaowa!

Dear sister unaesoma line hi
Me n mwanaume nakuambia anaekupenda ni huyo aliekuowa

Huyo mwingine ni kwasababu tu anakuona cheep na huwez kuruka tu ndio maana akikumwagia shahawa zake anasepa hadi akutamani tena

Sanuka
Lindakipochi chako kwa ustawi wa ndoa yako.
 
Cha muhimu kila mmoja ajue anaweza akakosea kwenye maisha. Mimi naona bora single mama kuliko mtoa mimba. Mwanamke aliyefanya abortion hafai kuolewa na anastahili kutengwa. Single Mama ni mtu mwenye utu kumleta kiumbe duniani. Ila katika kundi lazima washenzi pia wawepo. Sijajua kama kuna sababu za kisayansi ila single mama wengi wanashindwa kujizuia kutofanya mapenzi na waliowazalisha. Hili jambo limekuwa kikwazo kikubwa kwao kuaminika. Pia single mama wengi ni watu waliokuwa na viburi sana kabla hawajazalishwa na kutelekezwa. Yaani utakuta kijana yuko serious lakini binti anajibu jeuri kuwa wewe sio type yangu. Akishatelekezwa ndo anataka amkubalie jamaa. SINGLE MAMA SALAMA KWA KUOA NI AMBAYE MUMEWE YUKO KABURINI. Hawa wengine pasua kichwa.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa

Umetafunaaa afu umepuliza
Alafu ukamaliza kabisa
 
Mimi mtazamo wwngu ni tofauti juu ya hili,

Kuna jamaa yangu alikuwa na mpenzi wake ambaye alipanga kwamba mambo yakikaa vizuri anamuoa, lakin kumbe mwanamke alikuwa na mwanaume mwingine, akampiga chini jamaa na hapo wote walikuwa chuo, basi baada ya miaka miwili baada ya kumaliza chuo jamaa akapata mchumba na mwaka watatu wakat jamaa anaelekea kuoa Binti ndio akajitokeza tena akiwa na mtoto huku anaomba msamaha akimuomba jamaa warudiane, na huyo ni msomi mwenye digrii yake ana akili ya kujua mema na mabaya. Nakubaliana na mdau hapo juu kwamba wengi wao wanataka hata wanapokatazwa ni wabishi. Kama umempenda singo Maza oa TU.
 
Hizi ni baadhi ya kauli za wavulana juu ya single maza "ukioa single Maza ukae tayar kuchapiwa", "single Maza sio WA mtu mmoja",,, "single Maza ana wakwe pande mbili na mawifi pande mbili",,,"unaoa single Maza Una akili timamu kweli?"

Swali kwenu wavulana hao ambao sio single Maza mnao chapiwa kwenye ndoa zenu hawana mawifi pande mbili? Hawana wakwe pande mbili? Na Hadi mnachapiwa hivi nyie mnaakili kweli?

Sikilizeni nyie wavulana tofauti ya single Maza walio zalishwa na wake zenu walio zalishwa ndani ya ndoa zenu na wanaume wengine ni moja Tu, mawifi na wakwe WA single Maza wanajulikana tayar ila nyie WA kwenu hawajulikani bado, kwahiyo msishupalie Sana kauli zenu juu ya single Maza wakati nyie mnalea watoto ambao sio wenu!

Mfano mzuri ni Yule mchungaji na katibu,nadhani mmeona alioa mwanamke sio single Maza lkn watoto Kwa mwonekano wanaonekana sio WA mwenye mke,sijui mmenielewa vizuri hapo? Kwahiyo msiwa nyanyase masingle Maza coz hawa kupenda kuwa hivyo Ila ni mazingira Tu sometime Yana wafanya wajikute katika Hali hiyo.

Mnawasema vibaya Sana single Maza,je nyie Hamna wadogo zenu WA kike au dada zenu WA kike,je shangazi zenu au mama zenu wadogo? Mnapinga kabisa wasiolewe,ebu chukulia ndio mdogo wako au dada yako je ungependa aziniwe tu kila siku Bila kuolewa?

Kutwa kucha mnashabikia upumbavu tu dhidi ya single Maza, mapovu yanawatoka kisa mnawapiga Vita single Maza wa watu Tu tena saa nyingine nyie ndio sababu ya wao kuwa single Maza. Ebu acheni huo upuuzi mara moja, kuna wengine wamebakwa na wengine ni manyanyaso ya kijinsia halafu nyie mnaongea ujinga Tu dhidi Yao!

Kwenu wanaume unapo amua kumuoa single Maza basi hakikisha unapenda na watoto wake, hakuna mwanamke anayependa kuishi mbali na mtoto wake, huwa wana majonzi Sana baadhi ya wanawe wanaishi vizur halafu mwanae mwingine sijui yupo kwa mjomba huko au shangazi hata kula yake ni shida, halafu unategemea utapewa penzi zuri na mkeo wakati humpendi mwanae? Hayo mahaba ya kukupa wewe yatatokea wapi wakati unabagua wanawe?

Wanaume wenzangu mjitafakari sana na mfanye mkeo afurahie uwepo wa wanawe wote ndani ya familia moja, wanaume Mungu awape Maisha marefu.

Ni hayo Tu!
Kama uko kwenye kampeni ya kuwatetea,shida inaaza kwa hao walio pata ndoa tayari ndio wanawajengea ulakini.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom