Single Maza kiboko ya Wavulana

Single Maza kiboko ya Wavulana

Daah hapa nipo njia panda kwasababu,unajua Kwa kawaida mama hupenda wanawe wote unless kama huyo mume nae ana mtoto wa nje,hapo ndo mwanamke hataonyesha mapenzi Kwa hao watoto

Lakini kama ni damu yake hapo naona ni Jambo jipya kabisa Kwa mwanamke kubagua watoto wake
Sio kweli

Mtoto daraja la kwanza ni huyo uliyemkuta nae.
Wale wengine ni raia daraja la pili, na itahitajika focus yako kuwaendeleza.

Na kama alikubali kukaa na wewe akiwa hana upendo wa dhati,
Subiri watoto wawe wakubwa basi utaona kila aina ya vimbwanga na kutothaminiwa juu.

Atakuwa yeye na mtoto wake wakipanga mipango usio shirikishwa na akiwa wa kiume utaisoma namba.

Ila unajitahidi kupingana na uhalisia
Sijui lengo lako ni nini?
 
Njian ninayoifikilia inafaa kuishi na Single Mother akakuheshim angalau kwa muda, ni usimfanye awe stable economically. Acha mshahara wake umtoshe. Husika na Mambo ya muhimu tu. Extra mwachie mwenyewe. Ingawa hili litazua tatizo lingine, atagawa mbususu huko ili atimize hizo extra za mwanae.

Haitatosha, Ila atatunza heahima japo kidogo. Kumpa miradi, kujenga nyumba kwenye kiwanja Cha jina lake, na mengine, hamna kitu utakua unafanya. Vikikamilika na akiwa na full control, shida itaanza.
 
Kama hupendi kuoa single mother si usioe? Huwezi kuoa wanawake wote duniani, kila mmoja ana machaguo yake.

Yanini kuwafanya wengine wajisikie vibaya kwa maandiko yako, kwann unapiga kampeni mbaya dhidi ya watu wengine?

Hatma yako ni mbaya usipoomba msamaha.
 
Mtuache wengine tushajikubali na usingle mama wetu na hatuna habari na ndoa na wala hatuzifikirii achilia mbali kuzitaka

Kikubwa kwetu ni afya , furaha na uwezo wa kutimiza mahitaji ya watoto wetu basi,

Kila mtu anaishi na kupewa kwa kile anachostahili

So sisi single mama tumewepa kile tunachostahili,haina haja ya kuumia kwa maneno wanayoongea waja ,wala kujishusha thamani na kufikia point ya kutamani au kujifananisha na hao wenzentu ambao si single mama ,walio kwenye ndoa zao na waume zao

Kila mtu anaishi kwa nafasi yake na hii ndo nafasi yetu

Tulishapewa watoto na ni wa kwetu na tushukuru kwa uwepo wao (amna kujuta eti kwanini ilitokea mimi nikawa single mama)

Kubakwa,mjane,kutalakiwa au kutelekezwa vyovyote vile tusianze kujutia mpaka tukajiona hatustahili kwenye jamii

Khaa ebu tuishini maisha yetu na watoto wetu ACHANENI NA HAWA WAJA WA MUNGU

Ndo ishakua sasa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ukiwa kama mwanadamu lazima uwe na matamanio. So mnasema hamna mpango wa kuolewa means mnampango wa kuziniwa tu. Na ikitokea imeingia mimba nyingine na nyingine ni kwa kila mtoto kuwa na baba yake. Mpaka hapa tayari mnatupa picha single mother ni watu wa aina gani. Sio kwamba tuna wanyanyapaa but mifumo ya maisha mlochagua inatupa wakati mgumu sana kuwaelewa nyie viumbe
 
Hizi ni baadhi ya kauli za wavulana juu ya single maza "ukioa single Maza ukae tayar kuchapiwa", "single Maza sio WA mtu mmoja",,, "single Maza ana wakwe pande mbili na mawifi pande mbili",,,"unaoa single Maza Una akili timamu kweli?"
Mtoa mada we single mother au umeowa single mother mbona unatokwa na Mipovu?

Kiufupi nimekufatilia nyuzi zako kadhaa nimeona we ni mtu wakusoma mavitabu ko akili yako imejaa nadharia zidi kuliko uhalisia. Tunakusubiri ukue then tutazungumza nawewe
 
Mwanamke Bora aolewe then Apate taraka yake kihalali then aanze kuwa single mother , kuliko Mtu kupewa mimba na kuzalia kwao hiyo haifai kabisa
 
Sio kweli

Mtoto daraja la kwanza ni huyo uliyemkuta nae.
Wale wengine ni raia daraja la pili, na itahitajika focus yako kuwaendeleza.

Na kama alikubali kukaa na wewe akiwa hana upendo wa dhati,
Subiri watoto wawe wakubwa basi utaona kila aina ya vimbwanga na kutothaminiwa juu.

Atakuwa yeye na mtoto wake wakipanga mipango usio shirikishwa na akiwa wa kiume utaisoma namba.

Ila unajitahidi kupingana na uhalisia
Sijui lengo lako ni nini?
Mkuu hawa bado watoto kuna vitu vingine tuwaache wakue watajua wenyewe.

Juzi tumetoka kusuruhisha ndoa: mwanamke(single mother) kazini na baba wa mtoto wake wa nje then anajitetea kwenye kikao et kisa kaambiwa na mganga ili mtoto Wake huyo apone ni lazima akutane kimwili na mzazi mwenzake.
 
Sio kweli

Mtoto daraja la kwanza ni huyo uliyemkuta nae.
Wale wengine ni raia daraja la pili, na itahitajika focus yako kuwaendeleza.

Na kama alikubali kukaa na wewe akiwa hana upendo wa dhati,
Subiri watoto wawe wakubwa basi utaona kila aina ya vimbwanga na kutothaminiwa juu.

Atakuwa yeye na mtoto wake wakipanga mipango usio shirikishwa na akiwa wa kiume utaisoma namba.

Ila unajitahidi kupingana na uhalisia
Sijui lengo lako ni nini?
Point niliyo isoma kwako ni kama hajakupenda Kwa dhati ndio huenda vimbwanga vinatokea

Hata hii IPO hata Kwa ambao sio single Maza vile vile

Labda kuna kitu hamjanielewa,sisemi single Maza wote ni Wazuri laa hasha! Natambua kuna Wazuri na wabaya

Ninacho pinga Mimi ni kuwa laani wote Kwa makosa ya baadhi Yao,hapo sio Sawa hata kidogo

Waacheni wanao penda kuwaoa na waoe
 
Mtoa mada we single mother au umeowa single mother mbona unatokwa na Mipovu?

Kiufupi nimekufatilia nyuzi zako kadhaa nimeona we ni mtu wakusoma mavitabu ko akili yako imejaa nadharia zidi kuliko uhalisia. Tunakusubiri ukue then tutazungumza nawewe
Mimi sio WA nadharia Tu hata vitendo nimefanya pia

Nimeoa single Maza na ninajua uzur wao,ndio maana napinga kampeni zenu mbaya juu ya hawa wanawake

Kama hupendi kuoa single Maza Acha Ila si vizuri kuwafanya waonekane hawana maana
 
Mkuu hawa bado watoto kuna vitu vingine tuwaache wakue watajua wenyewe.

Juzi tumetoka kusuruhisha ndoa: mwanamke(single mother) kazini na baba wa mtoto wake wa nje then anajitetea kwenye kikao et kisa kaambiwa na mganga ili mtoto Wake huyo apone ni lazima akutane kimwili na mzazi mwenzake.
Je ambao sio single Maza hawazini nje na kuzaa na wanaume wengine mkuu?

Mmejawa na hofu kupitiliza poleni Sana

Sio kila single Maza ni mbaya,acheni kauli mbaya juu ya hawa viumbe
 
Ngoja ninyamaze kimya tu...

Ila kaka kwa YALIYONIKUTA kwa hao dada zangu mimi BINAFSI
Naomba nikae upande wa wabaya! Tu
Pole mkuu ndio changamoto za Maisha

Kwenye kundi la mamba hata kenge nao wapo

Kama hutojali unaweza fungua code tujifunze kitu kama hutaki usijali mkuu
 
Pole mkuu ndio changamoto za Maisha

Kwenye kundi la mamba hata kenge nao wapo

Kama hutojali unaweza fungua code tujifunze kitu kama hutaki usijali mkuu


S/mother’s wengi/wote wameshaharibika mfumo wao wa ufikili
Hi ni kutokana na jamii inavyowaona/mfano ni hapa jukwaani pia kila siku tunawaongelea na kuwasema, japo sababu kubwa ni wao wenyewe!!
Hivyo wao ndio sababu ya haya yote

Utamchukua leo mtaanza maisha
Utajitoa na kumpenda kama mkeo..
Anasuka na kupendeza...
Kwa bahati mbaya nowadays kuna mitandao ya kijamii inatuunganisha!!
Anaweka picha zake huko ,jamaa anamuona anamtamani
Anaanza kumtongoza[emoji3]
Kwasababu wanakiunganishi(mtoto wao) inakua ngumu kumblock
Atakataa leo,kesho na keshokutwa....mtondogoo atakuja na gia ya mtoto

My brother umekwisha!!!
Na kwasababu hiyo inatuwia vigumu sana kuwachukua
Je hapa nan tatizo
Yeye anajua yupo na mimi iweje tena aende huko?
 
Mkuu hawa bado watoto kuna vitu vingine tuwaache wakue watajua wenyewe.

Juzi tumetoka kusuruhisha ndoa: mwanamke(single mother) kazini na baba wa mtoto wake wa nje then anajitetea kwenye kikao et kisa kaambiwa na mganga ili mtoto Wake huyo apone ni lazima akutane kimwili na mzazi mwenzake.
Khe
 
Kama hupendi kuoa single mother si usioe? Huwezi kuoa wanawake wote duniani, kila mmoja ana machaguo yake.

Yanini kuwafanya wengine wajisikie vibaya kwa maandiko yako, kwann unapiga kampeni mbaya dhidi ya watu wengine?

Hatma yako ni mbaya usipoomba msamaha.
Ni ushauri wa bure tu kutokana na Mikasa iliyotukuta, wengi tulikua wabishi. Tuliambiwa tukakataa,

Any way Single mother awe ni last option. Huna namna, oa single mother.
 
Back
Top Bottom