Ni kweli na hata wakikaa wenyewe na kujitafakari wanajua kuna mahali walikosea. Na makosa yenyewe ni yale yale ya kutokuwa muaminifu, ulimbukeni wa kutokuwa na subira.Mimi mtazamo wwngu ni tofauti juu ya hili,
Kuna jamaa yangu alikuwa na mpenzi wake ambaye alipanga kwamba mambo yakikaa vizuri anamuoa, lakin kumbe mwanamke alikuwa na mwanaume mwingine, akampiga chini jamaa na hapo wote walikuwa chuo, basi baada ya miaka miwili baada ya kumaliza chuo jamaa akapata mchumba na mwaka watatu wakat jamaa anaelekea kuoa Binti ndio akajitokeza tena akiwa na mtoto huku anaomba msamaha akimuomba jamaa warudiane, na huyo ni msomi mwenye digrii yake ana akili ya kujua mema na mabaya. Nakubaliana na mdau hapo juu kwamba wengi wao wanataka hata wanapokatazwa ni wabishi. Kama umempenda singo Maza oa TU.
Ni kweli mkuu kijana anayetafuta maisha hatakiwi kuoa single mother, kuna mfanyakazi mwenzangu yeye alikuwa anaishi na single mother sasa akamfungulia biashara ya Restaurant yule single mother kafanya hiyo biashara miezi 8 akaifunga jamaa akauliza mbona umefunga biashara single mother akajibu hakuna wateja, Jamaa kupeleza kwa mfanyakazi aliyekuwa anamsaidia, jamaa akaja kujua kumbe mwanamke alikuwa pesa ya mauzo ana tume nyumbani kwao kwaajili ya mtoto wake ndiyo sababu ya mtaji kufilisika.Mimi Kwa kweli nisiwe mnafiki katika hili kwa uzoefu wangu na hao wanawake niliowakuta na watoto......Kwa kweli simshauri kijana anayeanza maisha kuanza maisha na mwanamke aliyekwisha zaa mtoto........
Ni mtihani mkubwa sana Kwa kijana na ni vigumu sana kuushinda.........
Kwa umri wangu huu nimeyaona mengi na yamenikuta mengi kuhusu single mothers lakini mengi katika hayo ni mabaya.......
Nasisitiza tena Kwa kijana ambaye anayeanza maisha na anatafuta mwenza ambaye waje wasaidiane maisha si vizuri kuoa single mothers......ila Kwa mtu mzima ambaye umeshaji establish kitambo na una nyenzo na mali zinazoweza kukuletea hela hata kama umelala unaweza kuoa single mother na mkaishi Kwa amani kabisa........
Niliishi Zanzibar miaka kama 7 kwaiyo nawajua wazanzibari mila na tamaduni zao na Jinsi walivyo kwenye maswala yaki jamii.Wewe Ni mzanzibari? Mkuu
Ni kweli unavyosema inakuwa ngumu kijana kulea mtoto wa mwanaume mwingine na huyo baba mtoto yupo na anafanya kaz, Mimi nilishawai kuwa na Single mother mmoja sijajua ana tatizo la uelewa mdogo kuhusu Maisha, Sasa yeye alikuwa mpenzi wangu tatizo lilianzia alikuwa ana nibebesha majukumu ya baba mtoto wake eti nimsaidie Ada ya mtoto na kodi ya nyumba na chakula, Mimi nikawa mgumu kwasababu nikiingia kwenye huo mtego sitaweza kufanya malengo yangu, sasa alivyoona nasumbua kumtimizia mahitaji yake kuna sikua akaniambia mimi sasa wewe huwezi kuni hudumia ata siku moja kama unaweza nilipie kodi, mavazi, chakula na Ada ya mwanangu Mimi nikamjibu siwezi kufanya hivyo kwasababu wewe siyo mke wangu.Mimi single mother wanachosha hapa tupo nao wawili wanasumbua wanaume za watu wachumba za watu wanafanyaaajabu ili wanaowapate mahitaji ya muhimu .
Single Mother
Imetokea tu au wengine wanaliganda sehemu wasiotakiwa ila kweli wanaume wakisikia unamtoto hata marioo anasepa inakuwa shida kulea kitu ya mtu mwingine
Single mother wengi wanao pata shida ni waliozaa na waume za watu na uzoefu nimejionea, Kama binti umezaa na kijana lazima kijana atakuwa ana toa huduma kwa kiwango cha uchumi wake na waziz wakija wakiume lazima watamjua mjukuu wao, Wanawake wengi walio zaa na waume za watu watoto wao wanakuwa hawajulikani na upande wa baba mtoto inakuja kujulikana mtoto kashakuwa mkubwa au baada ya Baba kufariki.Asante kwa maneno yako na maoni yako
Wewe ni Kati ya Wavulana ambao nimewaongelea hapo,huwa hamkosi sababu maadam Tu mhalalishe uvulana wenu.
Hakuna kitu cha kijasiri kama kumpenda mwanamke mwenye mtoto,upo tayar kulea mtoto wake na kumfanya wako,hakika hayo ni mapenzi makubwa Sana na inaonyesha jinsi gani mwanaume huyo ni husband material,anaweza kushow love Kwa familia yake,ndio maana nikasema Wanaume waishi Maisha marefu coz hawa ndio wanafanya jamii iwe katika uangalizi wao.
wavulana hata mkimpa mimba binti Tu mnakimbia,je ufaza mtauweza wapi?
kongole Kwa wanaume wote!
Mkuu unalea mtoto wake angalau kwa %85?Kuna singomother ni mchepuko Wangu Niko nae kwny mahusiano mwaka wa 2 Sasa.
Mengi mabaya yanayozungumzwa humu jf khs singomother siyaoni kabisa kwake.
Ana nafuu sana kuliko hata mamaJ wangu ambae ananipasua kichwa kila kukicha.
Zaid Zaid Mimi Ndo nampasua kichwa huyu singomother.
Mi nadhan suala la usumbufu Ni tabia TU ya mtu.
Hapana
Ukimpata Single mother ambaye anataka kuwa na wewe ili kumlea mtoto wake kwa kupitia kipata chako huyo siyo mzuri kwanini akupe wewe majukumu ya baba mtoto wakati Baba mtoto yupo ana kula Bata tu.Hapana
Je kama baba wa huyo mtoto kakataa mtoto na hataki kuhudumia wewe utafanyaje au mzazi mwenzake afanyaje?Ukimpata Single mother ambaye anataka kuwa na wewe ili kumlea mtoto wake kwa kupitia kipata chako huyo siyo mzuri kwanini akupe wewe majukumu ya baba mtoto wakati Baba mtoto yupo ana kula Bata tu.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Etuglur nini kimekukuta mbona unatetea hoja yako kwa hoja nyepesi.Asante Kwa maoni yako mkuu
Kwa mujibu ya maelezo yako naona hapo tatizo sio single Maza,Bali tatizo ni hiyo ndugu yako,wakati huyo mama anajenga uchumi wa mtoto huyo ndugu yako alikuwa wapi?
Nadhani shida iko hapo,unless kama utakuwa na maelezo ya ziada
Okay, Sasa nimeelewa. Ndiyo maana niliuliza hapo juu nini kimekukuta.Nilioa single Maza nikaishi nae Kwa miaka 7, then nikamuacha si Kwa usaliti na wala hakuwaki kukumbusha kiporo na mzazi mwenzake
Nategemea tena kuoa single Maza mwingine very soon inshallah
Wako na ukomavu mkubwa na wanajua Maana ya Maisha.
Kwahiyo naongea kitu ninacho kifahamu.
Sasa wewe unaona Nani ana makosa hapo,je single Maza au Mume ambaye hajui anataka nini?Etuglur nini kimekukuta mbona unatetea hoja yako kwa hoja nyepesi.
Sipingi singo maza kuolewa ila unavyowatetea unatumia hoja nyepesi sana. Soma hiyo post yako Tena niliyoikwoti. Hapo umeshindwa kutambua kuwa uchumi wa mume unatumika kujenga malengo ya nje ya familia yake.
Hakunaga hiyo tena hao wanakataaga watoto nakusema sio wake akikuaa anaanza usumbufuSingle mother wengi wanao pata shida ni waliozaa na waume za watu na uzoefu nimejionea, Kama binti umezaa na kijana lazima kijana atakuwa ana toa huduma kwa kiwango cha uchumi wake na waziz wakija wakiume lazima watamjua mjukuu wao, Wanawake wengi walio zaa na waume za watu watoto wao wanakuwa hawajulikani na upande wa baba mtoto inakuja kujulikana mtoto kashakuwa mkubwa au baada ya Baba kufariki.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mzee pesa hazitafutwi ili kuwaridhisha wanawake mkuu. Kama nikitafuta pesa kwa malengo hayo, basi ujue nishafeli au nishapoteze njia. Tumia busara ya utu uzima wako mzee.Acha kulialia tafuta hela kijana
Shukrani kwakupokea maoni Chief.Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
Nimeyapokea maoni yako
Karibu sana
Utakuta huyo baba mtoto kakataa kwasababu zao ambazo mtoto hausiki na hakuna mzazi anayekataa mtoto wake wanawake wengi kisingizio chao kwa mwanaume mpya ni kumsingizia baba mtoto kamkataa mtoto na atakwambia nime block na kufuta namba zake, kumbe ukifanya uchunguzi ni usanii mtupu yani Single mother wengi ni waongo, Single mother wakweli ni wale wanao jiweza kiuchumi na baba mtoto ana muhudumia mtoto wake na ata akiingia kwenye mahusiano haingii kuwaajiri ya njaa ya mtoto.Je kama baba wa huyo mtoto kakataa mtoto na hataki kuhudumia wewe utafanyaje au mzazi mwenzake afanyaje?