Single Maza kiboko ya Wavulana

Single Maza kiboko ya Wavulana

Malezi na changamoto za kimaisha yamechangia pakubwa ongezeko la single mamaz..
 
Mimi mtazamo wwngu ni tofauti juu ya hili,

Kuna jamaa yangu alikuwa na mpenzi wake ambaye alipanga kwamba mambo yakikaa vizuri anamuoa, lakin kumbe mwanamke alikuwa na mwanaume mwingine, akampiga chini jamaa na hapo wote walikuwa chuo, basi baada ya miaka miwili baada ya kumaliza chuo jamaa akapata mchumba na mwaka watatu wakat jamaa anaelekea kuoa Binti ndio akajitokeza tena akiwa na mtoto huku anaomba msamaha akimuomba jamaa warudiane, na huyo ni msomi mwenye digrii yake ana akili ya kujua mema na mabaya. Nakubaliana na mdau hapo juu kwamba wengi wao wanataka hata wanapokatazwa ni wabishi. Kama umempenda singo Maza oa TU.
Ni kweli na hata wakikaa wenyewe na kujitafakari wanajua kuna mahali walikosea. Na makosa yenyewe ni yale yale ya kutokuwa muaminifu, ulimbukeni wa kutokuwa na subira.
 
Mimi Kwa kweli nisiwe mnafiki katika hili kwa uzoefu wangu na hao wanawake niliowakuta na watoto......Kwa kweli simshauri kijana anayeanza maisha kuanza maisha na mwanamke aliyekwisha zaa mtoto........

Ni mtihani mkubwa sana Kwa kijana na ni vigumu sana kuushinda.........

Kwa umri wangu huu nimeyaona mengi na yamenikuta mengi kuhusu single mothers lakini mengi katika hayo ni mabaya.......


Nasisitiza tena Kwa kijana ambaye anayeanza maisha na anatafuta mwenza ambaye waje wasaidiane maisha si vizuri kuoa single mothers......ila Kwa mtu mzima ambaye umeshaji establish kitambo na una nyenzo na mali zinazoweza kukuletea hela hata kama umelala unaweza kuoa single mother na mkaishi Kwa amani kabisa........
Ni kweli mkuu kijana anayetafuta maisha hatakiwi kuoa single mother, kuna mfanyakazi mwenzangu yeye alikuwa anaishi na single mother sasa akamfungulia biashara ya Restaurant yule single mother kafanya hiyo biashara miezi 8 akaifunga jamaa akauliza mbona umefunga biashara single mother akajibu hakuna wateja, Jamaa kupeleza kwa mfanyakazi aliyekuwa anamsaidia, jamaa akaja kujua kumbe mwanamke alikuwa pesa ya mauzo ana tume nyumbani kwao kwaajili ya mtoto wake ndiyo sababu ya mtaji kufilisika.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mimi single mother wanachosha hapa tupo nao wawili wanasumbua wanaume za watu wachumba za watu wanafanyaaajabu ili wanaowapate mahitaji ya muhimu .


Single Mother
Imetokea tu au wengine wanaliganda sehemu wasiotakiwa ila kweli wanaume wakisikia unamtoto hata marioo anasepa inakuwa shida kulea kitu ya mtu mwingine
Ni kweli unavyosema inakuwa ngumu kijana kulea mtoto wa mwanaume mwingine na huyo baba mtoto yupo na anafanya kaz, Mimi nilishawai kuwa na Single mother mmoja sijajua ana tatizo la uelewa mdogo kuhusu Maisha, Sasa yeye alikuwa mpenzi wangu tatizo lilianzia alikuwa ana nibebesha majukumu ya baba mtoto wake eti nimsaidie Ada ya mtoto na kodi ya nyumba na chakula, Mimi nikawa mgumu kwasababu nikiingia kwenye huo mtego sitaweza kufanya malengo yangu, sasa alivyoona nasumbua kumtimizia mahitaji yake kuna sikua akaniambia mimi sasa wewe huwezi kuni hudumia ata siku moja kama unaweza nilipie kodi, mavazi, chakula na Ada ya mwanangu Mimi nikamjibu siwezi kufanya hivyo kwasababu wewe siyo mke wangu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Asante kwa maneno yako na maoni yako

Wewe ni Kati ya Wavulana ambao nimewaongelea hapo,huwa hamkosi sababu maadam Tu mhalalishe uvulana wenu.

Hakuna kitu cha kijasiri kama kumpenda mwanamke mwenye mtoto,upo tayar kulea mtoto wake na kumfanya wako,hakika hayo ni mapenzi makubwa Sana na inaonyesha jinsi gani mwanaume huyo ni husband material,anaweza kushow love Kwa familia yake,ndio maana nikasema Wanaume waishi Maisha marefu coz hawa ndio wanafanya jamii iwe katika uangalizi wao.

wavulana hata mkimpa mimba binti Tu mnakimbia,je ufaza mtauweza wapi?

kongole Kwa wanaume wote!
Single mother wengi wanao pata shida ni waliozaa na waume za watu na uzoefu nimejionea, Kama binti umezaa na kijana lazima kijana atakuwa ana toa huduma kwa kiwango cha uchumi wake na waziz wakija wakiume lazima watamjua mjukuu wao, Wanawake wengi walio zaa na waume za watu watoto wao wanakuwa hawajulikani na upande wa baba mtoto inakuja kujulikana mtoto kashakuwa mkubwa au baada ya Baba kufariki.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kuna singomother ni mchepuko Wangu Niko nae kwny mahusiano mwaka wa 2 Sasa.

Mengi mabaya yanayozungumzwa humu jf khs singomother siyaoni kabisa kwake.

Ana nafuu sana kuliko hata mamaJ wangu ambae ananipasua kichwa kila kukicha.

Zaid Zaid Mimi Ndo nampasua kichwa huyu singomother.

Mi nadhan suala la usumbufu Ni tabia TU ya mtu.
Mkuu unalea mtoto wake angalau kwa %85?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ukimpata Single mother ambaye anataka kuwa na wewe ili kumlea mtoto wake kwa kupitia kipata chako huyo siyo mzuri kwanini akupe wewe majukumu ya baba mtoto wakati Baba mtoto yupo ana kula Bata tu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Je kama baba wa huyo mtoto kakataa mtoto na hataki kuhudumia wewe utafanyaje au mzazi mwenzake afanyaje?
 
Asante Kwa maoni yako mkuu

Kwa mujibu ya maelezo yako naona hapo tatizo sio single Maza,Bali tatizo ni hiyo ndugu yako,wakati huyo mama anajenga uchumi wa mtoto huyo ndugu yako alikuwa wapi?

Nadhani shida iko hapo,unless kama utakuwa na maelezo ya ziada
Etuglur nini kimekukuta mbona unatetea hoja yako kwa hoja nyepesi.
Sipingi singo maza kuolewa ila unavyowatetea unatumia hoja nyepesi sana. Soma hiyo post yako Tena niliyoikwoti. Hapo umeshindwa kutambua kuwa uchumi wa mume unatumika kujenga malengo ya nje ya familia yake.
 
Nilioa single Maza nikaishi nae Kwa miaka 7, then nikamuacha si Kwa usaliti na wala hakuwaki kukumbusha kiporo na mzazi mwenzake

Nategemea tena kuoa single Maza mwingine very soon inshallah

Wako na ukomavu mkubwa na wanajua Maana ya Maisha.


Kwahiyo naongea kitu ninacho kifahamu.
Okay, Sasa nimeelewa. Ndiyo maana niliuliza hapo juu nini kimekukuta.
 
Etuglur nini kimekukuta mbona unatetea hoja yako kwa hoja nyepesi.
Sipingi singo maza kuolewa ila unavyowatetea unatumia hoja nyepesi sana. Soma hiyo post yako Tena niliyoikwoti. Hapo umeshindwa kutambua kuwa uchumi wa mume unatumika kujenga malengo ya nje ya familia yake.
Sasa wewe unaona Nani ana makosa hapo,je single Maza au Mume ambaye hajui anataka nini?

Kama mume anajua anataka nini,basi si anasema wife mbona sielewi hapa mambo yanavyoenda,Nataka mambo yawe moja mbili tatu
 
Single mother wengi wanao pata shida ni waliozaa na waume za watu na uzoefu nimejionea, Kama binti umezaa na kijana lazima kijana atakuwa ana toa huduma kwa kiwango cha uchumi wake na waziz wakija wakiume lazima watamjua mjukuu wao, Wanawake wengi walio zaa na waume za watu watoto wao wanakuwa hawajulikani na upande wa baba mtoto inakuja kujulikana mtoto kashakuwa mkubwa au baada ya Baba kufariki.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hakunaga hiyo tena hao wanakataaga watoto nakusema sio wake akikuaa anaanza usumbufu
 
Single maza wa kuoa ni yule aliyefiwa na mumewe basi. Hawa wengine ujasiriamali unawatosha
 
Don't generalise, wapo masingle mums wanaojielewa sana.Walishaachika na wazazi wenza ila wanasimamia majukumu ya watoto wao kwa asilimia zote Wala hawamtegemei mtu Wala kudanga.

Kwanza mtoa mada unatakiwa uelewe kwamba Hakuna single mum aliyejitakia Hali hiyo ya kuwa single mother, maybe ilitokea kwa bahati mbaya labda mtu alifiwa na mzazi mwenza na akaapa kuishi hivyo bila ya kuolewa Wala kudanga.

Mungu na awafanyie wepesi masingle mothers wote Duniani 🙏
 
Acha kulialia tafuta hela kijana
Mzee pesa hazitafutwi ili kuwaridhisha wanawake mkuu. Kama nikitafuta pesa kwa malengo hayo, basi ujue nishafeli au nishapoteze njia. Tumia busara ya utu uzima wako mzee.
 
Je kama baba wa huyo mtoto kakataa mtoto na hataki kuhudumia wewe utafanyaje au mzazi mwenzake afanyaje?
Utakuta huyo baba mtoto kakataa kwasababu zao ambazo mtoto hausiki na hakuna mzazi anayekataa mtoto wake wanawake wengi kisingizio chao kwa mwanaume mpya ni kumsingizia baba mtoto kamkataa mtoto na atakwambia nime block na kufuta namba zake, kumbe ukifanya uchunguzi ni usanii mtupu yani Single mother wengi ni waongo, Single mother wakweli ni wale wanao jiweza kiuchumi na baba mtoto ana muhudumia mtoto wake na ata akiingia kwenye mahusiano haingii kuwaajiri ya njaa ya mtoto.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom