Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

Kimya mkuu
 
Jamaa hajakaza kamba mbona hampinduagi mm Kuna mama mtoto wangu mmoja nimejilia tunda kimasihara juz Kati na kaolewa na tulikua tumezinguana Sana Tena Sana mm sito kuja kuoa single mother najua tachapiwa kimasihara 😎😎😎
 
Du wakati nasoma huu uzi muda huu 22hr30, kuna Single mom hua namkwepa sana mana Alisha nipa papuchi sana amenitumia sms muda huu NIJE, imebidi nicheke tu mana hata sijamaliza huu uzi. Mungu awasaidie Single mama
Umemjibu vipi?
 
Jamaa hajakaza kamba mbona hampinduagi mm Kuna mama mtoto wangu mmoja nimejilia tunda kimasihara juz Kati na kaolewa na tulikua tumezinguana Sana Tena Sana mm sito kuja kuoa single mother najua tachapiwa kimasihara 😎😎😎
Huyu ni huyo....mpe pole mkuu
 
🤣🤣🤣🤣, katika ubora wako mkuu, sukuma nyama.
Ayaaaa Sasa Mimi sinywi pombe, sio mtu wa starehe za kwenye Ma Bar, Nina Maisha huru Nina familia, alafu bado Kijanaaa kijanaaaaaa ....


Kwanini nisile mbususu Babuuu!! Mbususu zenyewe now days ni nyingiiii ,zinataka tu uwe mwanaume mwenye Thamani basi!!.

Huhangaiki hata !!.
 
Hongera kwa kukuza aisee. Mimi nililelewa na mama pekeake mpaka aliponiacha wakati nipo form 6. Am so proud of you singo mamas, siwezi wadharau nisije pata laana bure.
Asante sana, ubarikiwe sana ...Yaan sana
 
Shida inaanziaga hapo kwenye sentesi ya kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…