Vizuri sana mkuu πNo, kuna material hapo nilikuwa naweka in relation to the comment nilikuwa naijibu. By the way mtu kuwa mzito kusoma mambo mengi can say alot about how upo serious kwenye eneo la kujifunza.
Ni aidha nimeongea vitu vingi kwa wakati m'moja ubongo wako umeweka room ndogo sana ya kujifunza na kupokea vitu vipya, au nimeongea contents ambazo zinakuletea "Intrapersonal conflict" baada ya kuzisoma na zikachallenge your beliefs.
Sorry for the red pill [emoji381] effect.
Najua wanaume hatutakiwi kuongea sana ila wanawake mnatubadili. Maana wanaume wasioongea sana wanatakiwa kuwa wanapiga wanawake maana ndio namna yao ya kuonyesha hisia zao wanapokasirishwa na jambo.Too much...umeeleweka mbona.Ninachojua mwanaume asili yake huwa haongei sana mkuu
Sawa mkuu..shukraniNajua wanaume hatutakiwi kuongea sana ila wanawake mnatubadili. Maana wanaume wasioongea sana wanatakiwa kuwa wanapiga wanawake maana ndio namna yao ya kuonyesha hisia zao wanapokasirishwa na jambo.
Tukifanya hivyo mnasema wanaume ni abusive. [emoji23][emoji23][emoji23] Wanawake sijui mpoje.
Hatakiwi kunionesha hili Jambo/majuto/alipokosea na watu waliopita maana naona kama ananipa hofuSheemeji leo umeniuzunisha sana π€¨π€¨ Zulu man naomba uzibe pengo vyema mama wa watu bado moyo unavuja dam
Sema kuna wanaume jau sana na majeuri ole wake mwanaume wa hivi aje kwa dada yangu mwangu naua
But i think its good. Kufight your own weakness. Hii nature ya mwanamke kulea watoto mwenyewe ni kansa kubwa sana katika jamii na madhara yake ni ngumu sana kuyareverse.Wanaodiss single moms mostly wamelelewa na single parent.
Mwamba karibu mtori na chapati [emoji23][emoji23]Fafanua
Msamiati Single mother umeanza miaka ya 1960s,tena umeanzia Marekani katika jamii ya mtu mweusi.Wanajizima data,
U single mum sio mpya duniani upo tangu kuumbwa kwa misingi ya Dunia,unakumbuka Hajir alivyozaa na Ibrahimu na baadae Sara alivyopata mimba,Hajir na mwanae wakaondolewa pale kwenda nchi za uarabuni na mwanae Ishmael,Sasa yule ndio president wa single mum's....siku hizo wanajifanya wanachambaa hawana lolote...pambania Kijana wako ukute ni future president
Asante nakupenda, nakujali. Usiniwazie tofauti, we are family.Sawa mkuu..shukrani
Ondoa mashaka kaka mashaka jina la mtu mwachie mashaka yakeHatakiwi kunionesha hili Jambo/majuto/alipokosea na watu waliopita maana naona kama ananipa hofu
Hapo sawa....Kiukweli naonaga uvivu sana,kuongelea issue ya usingle mama.....naonaga Kama watu Wana exaggerate sana,Kuna watu wengi tu wamelelewa na mama zao bila uwepo wa baba either Kwa wazazi kutengana au Kwa baba kufariki,lakini Leo ni watu Bora kabisa kwenye jamii zetu...Mama ni mlezi,mama ni daktari,ni mpishi,ni dobi,ni mwalimu,ni hakimu ana mengii sana
We acha tu yaani hii dunia ikiamua kukunyasa mbona utateseka sana kiakili π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Nimecheka kweli yaan....sa itakuwaje π€
πππππ U made me cry aisee...msalimu sana mama.Just tell her I say much love to herππHapo sawa....
Mi mwenyewe nipo na mama tu, miaka mingi sasa, bado sijasoma changamoto yeyote....
Hii mitazamo sijui watu wanaitoa wapi...
Najua hukosekani kwenye mada nzito kama hiziπMwamba karibu mtori na chapati [emoji23][emoji23]