Tuko pamoja, nyie ni strrong women ndio maana mnapambana kulea watoto hii midume iliokimbia.
Kama unahitaji faraja nicheck inbox ujisiikie and ukumbukie usichana wako ila mind you, sina hela πππππππ
Ulivyosimama kwa haraka sasa.Asante, kwa niaba yao
View attachment 3249109
Mbona kawapongeza tu mkuu? Kwamba wasitajwe kabisa?Huu sio uungwana.
Mnaowaita singo maza ni dada zetu na wadogo zetu sisi wanaume.
Pili hizo mimba tuliwatia sisi wanaume, na wengine tuliwaaacha bila sababu.
Itosho sasa hii mijadala ya kipumbavu.
Moderator
Maxence Melo
Kama kipindi cha nyuma mlivyozuia baadhi ya mijadala liangalieni na hili.
Kuna kundi linanyanyasika humu na ni member wenu
Hakuna cha kupongeza hapo, amewatusi kijanja tu.Mbona kawapongeza tu mkuu? Kwamba wasitajwe kabisa?
Ngoja tuone mkuuHakuna cha kupongeza hapo, amewatusi kijanja tu
Tumewahi kupiga picha namna kundi hili linavyojisikia kwa kuandamwa kila siku?Ngoja tuone mkuu
Mshangazi naweza kuja kwako me ni kijana mpambanaji na Nina vyombo tayarAsante, kwa niaba yao ila inbox wasikanyage.
View attachment 3249109
Namaanisha wanawake we si mwanaumeAsante, kwa niaba yao ila inbox wasikanyage.
View attachment 3249109
Waendesha mijadala ya aina hii si ajabu ni 1.watoto wa nje ya ndoa wamepata malezi ya baba. Kwa kubip au hawakupata kabisaHuu sio uungwana.
Mnaowaita singo maza ni dada zetu na wadogo zetu sisi wanaume.
Pili hizo mimba tuliwatia sisi wanaume, na wengine tuliwaaacha bila sababu.
Itoshe sasa hii mijadala ya kipumbavu.
Moderator
Maxence Melo
Kama kipindi cha nyuma mlivyozuia baadhi ya mijadala liangalieni na hili.
Kuna kundi linanyanyasika humu na ni member wenu
Kwel sio tabia njema hata kidogo ila pia vijana wana misongo ya ajira , katika jambo kama hilo lazima wawe na shinikizo.Tumewahi kupiga picha namna kundi hili linavyojisikia kwa kuandamwa kila siku?
Tumekuwa wabinafsi wa kijinga sana humu.