Single moms poleni kwa upinzani mkubwa mnaopokea humu, huruma yangu iwafikie

Single moms poleni kwa upinzani mkubwa mnaopokea humu, huruma yangu iwafikie

Safi sana mkuu, na hivi ndio namna sahihi ya kuishi na single mama. Unamsifia, unatengea kibunda, unakula mbususu yake (hakikisha unaipiga haswa), unapita kule. Wewe unahudhulia vikao vizuri na husinzii kwenye vikao, safi sana.
🤣🤣🤣🤣
 
Kwani kuna nini wakuu, mbona kelele hadi huku Magwepande nilipojificha!!
 
Tuko pamoja, nyie ni strrong women ndio maana mnapambana kulea watoto hii midume iliokimbia.

Kama unahitaji faraja nicheck inbox ujisiikie and ukumbukie usichana wako ila mind you, sina hela 😁😁😁😁😁😁😁

Mweusi, mwembaba, sura kama mimi, etc i dont discriminate (in big pun's voice)
Noma sanaa
 
single mother. single mother hata mtuandame vipi sisi wala hatujali ndo kwanza tunasonga ugali mkubwa na mlenda tunakula na watoto wetu. tunashushia na maji ya dawasa. kikubwa Mungu anatujalia riziki na afya kila iitwapo leo. hamuzi kutuua hivyo tuvumilieni tuendelee kuwakera make hata pumzi tunayoivuta mngeweza mgetuzimia kabisa. poleni kwa tunaowakwaza. binafsi najivunia kuwa maama.
Watoto walivo watamu yaani sio shida zetu
 
Tuko pamoja, nyie ni strrong women ndio maana mnapambana kulea watoto hii midume iliokimbia.

Kama unahitaji faraja nicheck inbox ujisiikie and ukumbukie usichana wako ila mind you, sina hela 😁😁😁😁😁😁😁

Mweusi, mwembaba, sura kama mimi, etc i dont discriminate (in big pun's voice)
Sasa kama huna hela si ndio hapo shida yao inapoanzia....?
 
Tuko pamoja, nyie ni strrong women ndio maana mnapambana kulea watoto hii midume iliokimbia.

Kama unahitaji faraja nicheck inbox ujisiikie and ukumbukie usichana wako ila mind you, sina hela 😁😁😁😁😁😁😁

Mweusi, mwembaba, sura kama mimi, etc i dont discriminate (in big pun's voice)
We nae peleka unafki wako huko unajifanya unawasemea huku unawasimanga
 
Hii ya 2 ndio haswaaa yenyewe, kuna siku nitaleta uzi wa kisaikolojia juu ya haya makundi mawili
1. Wanaowasema Single Moms
2. Wanaokataa Ndoa

Haya makundi mawili ni ya kuhurumiwa sana, ni makundi yaliyokosa malezi bora ya wazazi wote wawili, ni makundi yaliyopitia trauma kubwa utotoni.
Samahani mkuu Sisi no 2 tunaomba wala usijichoshe kuleta Uzi wowote kutuhusu labda hao wengine
 
Back
Top Bottom