Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Single Maza ni Nani Kwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wasiwaandame hata mafisadi badala ya wadada waliotendwa?Kwel sio tabia njema hata kidogo ila pia vijana wana misongo ya ajira , katika jambo kama hilo lazima wawe na shinikizo.
Wajinga sanaWaendesha mijadala ya aina hii si ajabu ni 1.watoto wa nje ya ndoa wamepata malezi ya baba. Kwa kubip au hawakupata kabisa
2.Ni watoto wa single mama completely kwa hivo wana hasira kwa experience zao walizopitia ya kukosa malezi ya baba.
3. Wamewazalisha wadada tofauti tofauti na hawahudumii watoto wao.
4. Dada/mama zao wako katika makundi yote hapo huu.
NIHUZUNI. .."Wahurumieni wanaoteseka "
Ndio wanaona kama wana wamudu mkuuKwanini wasiwaandame hata mafisadi badala ya wadada waliotendwa?
Tulishaongea tumechokaWajinga sana
Jf wafanye jambo sasaTulishaongea tumechoka
Hii ya 2 ndio haswaaa yenyewe, kuna siku nitaleta uzi wa kisaikolojia juu ya haya makundi mawiliWaendesha mijadala ya aina hii si ajabu ni 1.watoto wa nje ya ndoa wamepata malezi ya baba. Kwa kubip au hawakupata kabisa
2.Ni watoto wa single mama completely kwa hivo wana hasira kwa experience zao walizopitia ya kukosa malezi ya baba.
3. Wamewazalisha wadada tofauti tofauti na hawahudumii watoto wao.
4. Dada/mama zao wako katika makundi yote hapo huu.
NIHUZUNI. .."Wahurumieni wanaoteseka "
Namba mbili tutoe hapo tafadhali 😊Hii ya 2 ndio haswaaa yenyewe, kuna siku nitaleta uzi wa kisaikolojia juu ya haya makundi mawili
1. Wanaowasema Single Moms
2. Wanaokataa Ndoa
Haya makundi mawili ni ya kuhurumiwa sana, ni makundi yaliyokosa malezi bora ya wazazi wote wawili, ni makundi yaliyopitia trauma kubwa utotoni.
Umejuaje, nilishawahi kukujaribu nini 😅 ?Namaanisha wanawake we si mwanaume
Wakiitwa wanaume unataka?Safi sana mkuu, na hivi ndio namna sahihi ya kuishi na single mama. Unamsifia, unatengea kibunda, unakula mbususu yake (hakikisha unaipiga haswa), unapita kule. Wewe unahudhulia vikao vizuri na husinzii kwenye vikao, safi sana.
Heee heee, nitakuweka kwenye list, kwa sasa kuna kijana wa kihaya namleaMshangazi naweza kuja kwako me ni kijana mpambanaji na Nina vyombo tayar
View attachment 3249118
I like the spirit💪single mother. single mother hata mtuandame vipi sisi wala hatujali ndo kwanza tunasonga ugali mkubwa na mlenda tunakula na watoto wetu. tunashushia na maji ya dawasa. kikubwa Mungu anatujalia riziki na afya kila iitwapo leo. hamuzi kutuua hivyo tuvumilieni tuendelee kuwakera make hata pumzi tunayoivuta mngeweza mgetuzimia kabisa. poleni kwa tunaowakwaza. binafsi najivunia kuwa maama.
Shughuli mingi 😀😀Mshangazi naweza kuja kwako me ni kijana mpambanaji na Nina vyombo tayar
View attachment 3249118