Single mother bana, tabu tupu

Achana na akili za kivulana, single mother ni akili kubwa

Kama we huwezi muoa single mother wapo wanaweza kuwaoa tulia

""Kweli alisafiri. Picha likaanza kwenye status. Mara ampost mzazi mwenzie na caption like "asante baba kwa kunitunzia mwanangu" yaani ni post za mzaz mwenzie like bado wana uhusiano.""

#YNWA
 
Ila status bana Kuna watu ukiona tu unajua maisha yake yalivo ila Kuna wengine utasugua bench kumjua kwa kutumia status
Kuna jamaa mmoja nilipewa number yake akawa ananitumia mizigo mwaka 2016 mpaka leo hii sijawai kuona sura yake status na always huwa anaweka status mbili huwa anapost kiatu alichovaa na ya pili anaweka pic ya kiongozi yoyote

Pia mara moja moja huwa anapost pic ya mkono wa mwanamke (nadhani ndio demu wake)


Alafu Nina rafiki yangu mmoja muhaya sidhani kama Facebook kuna mtu hajui kuwa ni mechanical engineer Tanapa mwamba lzm always apost pic yake akiwa job na caption pendwa "MNIOMBEE"
 

Hapana wapo watu wengi sana ambao wanajielewa wakiachana na Baba za watoto wao inakua for good na yanabaki malezi tu.
Kuna kuachana alafu kuna kutokua maadui.
Maisha mengine yanaweza kuendelea ikiwemo hata kupostiana.
Sometimes be happy hakua muongo na hakukudanganya.
Hapo wewe unamuita single mother na hapo ulikua unataka mtumia tu aisee[emoji1418]
Na ingekua unatafuta ndoa ingekuaje?
 
Wapo tofauti sana na sisi ni ngumu sana kujua maisha ya mwanaume kupitia account yake ya mtandaoni ila wanawake asilimia kubwa utajua Leo Yuko depressed Leo anahiki
Akiumwa anatupia ki emoji cha dawa, akisafiri anaweka kigari
 
Jamaa anazingua ukioaa single maza au ukidate nae kubali ukweli jamaa aliemzalishaa ana nafasi kubwa kwenye maisha yake kuliko wewe labda awe KAPUKUUU MNOOO.. otherwise utamu atakula akitaka.
 
Huyo fresh nae ana ex/ma-ex wake pia sasa sijui unakwepa nn hapo.
 
Labda kuna kitu watu hawaelewi.
Sio kila mwanamke ambaye ana mtoto na haishi na baba wa mtoto au hajaolewa basi ni single mother.

Wengine hawaishi pamoja tu lakini ni wapenzi na wana mipango yao mingi ya kutimiza. Ni wakati tu haujafika.

Juzi jumamosi nilienda kwenye harusi ambayo maharusi walikuwa na watoto watatu na walikuwa hawaishi pamoja.

Kwahiyo huyo binti pengine yeye na baba mtoto wana mahusiano na hawajaachana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…