Single mother bana, tabu tupu

Yaani una mahusino ya kimapenzi na mimi then umposti mwanaume mwengine kwamba unamsifi 'asante kunilelea mwanangu' kisa bando lako na simu yako Ni hakuna mwanaume timamu atakubaliana na huo upuuzi na hata akipotezea hayo MAHUSIANO hayatofika mbali.

Unapokuwa kwenye MAHUSIANO inabidi ujue Nini maana ya mahusino na gharama zake kwa akili hizi mutaendelea kuwasema wanaume kwanini wanachukia Single Mother kumbe tatizo ni wenyewe hawajielewi na mwisho wa siku maisha ni ya huyo single mother asipojielewa atapigwa Sana na kutupwa.

Single Mother mujielewe
 
Yaani upo kwenye MAHUSIANO na mwanaume X then unampostiposti mwanaume Y eti kwasababu mulia hana for good

Somo la mahusiano lianzishwe mashuleni
 
Wewe ndio una kiherehere umtongoze mwenyewe kwa shida zako mbaya zaidi anakueleza kuwa ana mtoto na baba yake yupo,,,unifanya romantiki kumtoa hadi auti leo nakuja kuposti bondi yake kwa furaha zake na ni haki pia una chukia,,unachukia nini sasa kama si uwendawazimu wako,,,ulitaka akuposti wewe kwa minajili ipi,,huna kumbukumbu ya aina yoyote kwake zaidi ya autini zakishamba na akakuona boya hata kugusa hujagusa,,akaamua kuipeleka kwa mzazi mwenzie wewe umezubaa tuu unaleta ujuxi kwenye k***maa utalialia kila siku!!!
 
Mkuu upo sahihi lakini kumbuka hawa single mother kilasiku ndio wanalialia kuwa wanaume mbona wanakataa kjwaoa wanawasema kwani wao hawana sifa za kuolewa, Sasa kwamantiki siwataendelea kulia kilasiku maana hao naona ndio wanatia ujinga wanaume wanakuwa na nia ya kuwastiri

Kumbuka mwanaume Kama jamaa mtoa mada Hana Cha kupoteza je huyo single mother akiendelea na hayo uliyosema ni sahihi kufanya kuna mwanaume timamu atatengeneza malengonae Kama huyo aliyempa mtoto just alipiga tu.

Liangalie hili jambo kwa ange hii.
 
Swala la kuolewa halina uhusiano na usingomaza mbona kuna wengine hata hao watoto hawana na hawajaolewa pia na ni wengi kuliko hao masingo maza,,,alafu usingo maza hausabishwi na yeye mwenyewe au wamezaliwa nao huo usingo maza kama kalio,, lazima mwanaume ahusike pia,,,tatizo lipo kwa pande mbili zote Me na Ke tusijitoe katika hili,,,kuepuka haya yote kila mmoja asimame kwenye nafasi yake###KipenziChaMasingoMaza###
 
Naona hata hatuelewani hapa u aandika POINT lakini OUT OF PONT (OP) nachaeleza tofauti unachandika tofauti

Have nice day
 
Hao wanawake mara nyingi wanajikuta wanatumikia mabwana wawili, huyo mwenye mtoto ndio kipaumbele zaidi tena usiombee baba mtoto awe mshenz mshenz aisee atakut*mbea huyo mama kila atapojisikia hamu.. wanawake wachache sana hukazaga kwa baby dady wao
 
Wewe ni mpumbavu.
Kumbuka, sijakutukana ila nimekuita kwa jina lako.
Punguzan povu. Ameshauri tu kuwa, "ukimkuta single mother anapigana na nyoka, wewe msaidie nyoka kumuua single mother " kosa lake nn hapo
 
Inasikitisha kuwachukulia poa single mothers.....ikiwa wewe mwenyewe yawezekana kabisa ni single father ambae hujiijui tu...

Hujajitambua kwa kuwa hubebi mimba.....!
Mimba ni matokeo ya yale tuyoyafanya gizani na hao single mothers.....

Lakini wahanga wanabaki kuwa wao...kutokana na nature hiyo.

Wanaume wengi tulishatelekeza sana watoto kwa hawa tunaowaita single mothers...iwe either kwa kujua wazi ama kutokujua!
 
Nilipata singo mama mmoja ni mtumishi wa Serikali kule Musoma.
Aliniambia mzazi mwenzake yupo Mwanza ila wameeachana anatoa tu huduma za mtoto.
Kila siku tukawa tunawasiliana kwenye simu. Ila ikifika weekend tu hapatikani hewani. Juma tatu ikifika naona facebook ametupia picha zinazoonyesha mandhari ya jiji la Mwanza.
Nikamuacha hata bila kumuambia.
 
Punguzan povu. Ameshauri tu kuwa, "ukimkuta single mother anapigana na nyoka, wewe msaidie nyoka kumuua single mother " kosa lake nn hapo
Hapo hauoni kosa? Wewe nawe ni mpumbavu kama yeye kumbe.
 
😂😂😂Dadeq nimecheka mniombee Kuna muda mambo yanaweza kuwa hayaendi kwa kuweka public mtu anaona unachofanya anaingiwa na husda ndo mana hata serikali Ina Siri zake raia hawapaswi kujua
 
Halafu kuna mpuuzi anasema tunawaonea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…