Single mother bana, tabu tupu

Mmh Mungu atusaidie jaman, pepo la kutamani mtoto kabla ya ndoa shindwa kwa jina la Yesu.
 
Hao wanawake mara nyingi wanajikuta wanatumikia mabwana wawili, huyo mwenye mtoto ndio kipaumbele zaidi tena usiombee baba mtoto awe mshenz mshenz aisee atakut*mbea huyo mama kila atapojisikia hamu.. wanawake wachache sana hukazaga kwa baby dady wao
Huu uzi ufunge mis kashamaliza
 
Single maza oyeee


oyee


jamani mbona siskii?? Ongezeni sauti kdogo. Waacheni wapumue ... Dunia haijawahi kua fair, kati ya singo maza na mgumba je?
 
Kwaiyo Hannah yupo dunia kwa niaba ya kuwa mfano kwa wengine?
 
Halafu anakuja mpumbavu mmoja ametoka huko machakani...
Ni singo maza,Hajui kuhusu ndoa,hajui uhuru wa mtu,kato**wa hajaoga,ananuka janaba,na kapua kake ameweka juu et "wewe mpumbavu,sijakutukana nimekuita jina"...
Aisee kaa mbali na singo maza,
 
Umepaniki!!! Hahahahaha hujui unachozungumza na huwezi kunipangia kitu..eti ndoto za kuwa kama mumeo hahaha....
Ooh kumbe ulikesha? Haukuwa na usingizi? Oops hata hivyo stress haziwezi kukuruhusu upate usingizi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kila siku tunasisitiza mashamba yenye migogoro sio ya kununua
 
Asante baba kwa kunitunzia mwanangu..lol mwanamke tu hayuko smart....

Ni upuuzi kuweka maisha yako kwenye status..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…