Hawa watu akili zao huwa kama zimevurugwa,kuna mmoja alishawahi kumwambia mzazi mwenzie eti wewe ndio mwanaume niliowahi kukupenda kuliko wanaume wote hapa duniani,wakati tayari kaolewa na mwanaume mwingine.Hapa ndio utawakumbuka wale wanaosema kama unataka kuoa single mother inatakiwa usikie baba mtoto wake amefariki...
Nimeona hii message,sijui kwanini imenikumbusba ile video ya George Bush Jr akiletewa ujumbe × 2 kuwa World trade center imetunguliwaAll units...
All units...
Return to base...
I repeat return to base abort the mission...
Mission compromised...
Return to base...
Wewe bado dogo pengine upo kwa shemeji yako. Hii mbona cha mtotoya moto
Case closed!!Huyu mwanaume umenikuta nae, sasa mbona unalalamika...ukiniona na mwanaume mpya hapo ndio utasema nimeku cheat.. Lakini huyu umenikuta nae..
Mwisho wa kunukuu...
Copy.. we need an evac immediately.. over and out..All units...
All units...
Return to base...
I repeat return to base abort the mission...
Mission compromised...
Return to base...
Mission is the king,, make sure una maliziaAll units...
All units...
Return to base...
I repeat return to base abort the mission...
Mission compromised...
Return to base...
sasa huyo mwanaume au marioo? Halafu msitake kukuza vitu hivyo hii stori haina ukwel wowte ni changamsha genge tuWewe bado dogo pengine upo kwa shemeji yako. Hii mbona cha mtoto
Bila shaka huyo single mother ana mshahara au anaingiza kipato fulani.Jamaa leo nilikuwa nae sehemu tunagonga moja mbili, sasa ghafra nikaona jamaa kabadilika. Nikamuuliza vipi mbona umechange ghafra!
Jamaa akaniambia Single mother kamtumia meseji inayosema "Asipokuta vyombo vimeoshwa basi ajiandae kumpokea beki tatu atakaeletwa na Baba mzazi wa mtoto wake".
Jamaa kachanganyikiwa, maana hapendi kuona mke wake akipokea msaada wowote toka kwa mzazi mwenzie.
Not when you are compromised...I repeat return to base...Mission is the king,, make sure una malizia
Tatizo Single Maza ni watamu ukiwa hujamuweka ndani anajilipua.Hawa watu akili zao huwa kama zimevurugwa,kuna mmoja alishawahi kumwambia mzazi mwenzie eti wewe ndio mwanaume niliowahi kukupenda kuliko wanaume wote hapa duniani,wakati tayari kaolewa na mwanaume mwingine.Hapa ndio utawakumbuka wale wanaosema kama unataka kuoa single mother inatakiwa usikie baba mtoto wake amefariki...
Kuna watu mna ujinga wa kuzaliwa naoya moto
wewe ndio mjinga mwanaume unatumiwa meseji nisipokuta umeosha vyombo halafu unasema weww ni mwanaume?! Aiseee kweli hata wazee wapumbavu wanazeekaKuna watu mna ujinga wa kuzaliwa nao