Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye

Kuna jamaa yangu kampangia chumba&sebule singo mother wa watoto wawili (miaka 2&4), anasema kupata sex Ni mpaka ajipange Ela ya gesti wakati alikompagia pango kalipia miezi 6. Nae soon anakaribia kutema BUNGO[emoji23]
 
Akiwa mjinga ndio yatakuwa ya shida mkuu.
Mbona baba wa kambo wengi wanaishi na watoto wao wa kambo vizuri tu?
Shida ni pale mama asipotaka kukubali yule baba wa kambo asimame kama baba na sheria zake katika malezi zifuatwe.
Tatzo liko hapo,
Yaani baba ukienda against na mtoto inaonekana unamnyanyasa, kumbe ndo malezi yenyewe.
 
kinajua kucheza amapiano na singeli

😃😀🙆👆

Ndugu, inaonekana huna upendo na watoto wadogo.

Sema usemavyo, huyo ni mtoto na anahitaji malezi na maelekezo.

Pia huyo mwanamke umeshindwa kumridhisha kisaikolojia ili asione utofauti wa baba mzazi na baba mlezi wa mtoto.

Ukiweza kumpenda huyo mtoto hakika huyo mwanamke ungemgusa moyo wake na angetulia.
 
Mkuu usisikilize hao wanaosema huna busara ku deal na mtoto, huyo dem kwa ulivomuelezea ni furushi na hata ukizaa nae watoto wako watakua na akili kama za mama yao sababu ndo anashinda nao muda mwingi na pia hata kama una muda sasa hivi huwezi jua harakati zitakuweka bize kiasi gani huko mbele
 
Happy New Year to you too. You are one of a kind wallahi. Kama Wanyaki wote wana amsha amsha kama wewe aisee kuna haja ya kutafuta Mnyaki maana maisha yatachangamka hatari 😁😁🖐
Waoooh waooohhhh😍😍Thank you for your compliment . Unajua haya maneno huwa siyapati kabisa basi leo siku yaangu ni njeeema.
Wanyaki wote wana amsha amsha asikwambie mtu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwamba mvumilivu sana
 
Anatulia vipi ilihali mama anamtenganisha mtoto kisaikolojia na mlezi, Kakishakua hatomsikiliza kabisa mlezi wake (baba wa kambo)..Ki ufupi ni kwamba huyo mtoto hapendeki kwasababu ya mama yake na mwanaume mwenye heshima zake hawezi kuona mtoto anaharibika chini ya himaya yake iwe ni wake au sio wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…