Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Nimeelewa unaongelea wanawake wa aina gani kumbe cyo mke unaongea kuhusu slay queen πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo mke firisika uone kama anakupenda wewe au huduma zitokanazo na hela yako
 
Huyo mke firisika uone kama anakupenda wewe au huduma zitokanazo na hela yako
πŸ€”πŸ€”πŸ€”Ila wewe unatongoza wanawake wa aina gani tajiri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
6. Baada ya kuhangaika mama mambo yamemunyokea na jamaa mambo yake hayayeleweki,anaamua kujilipua akahurumiwe. Hawa nao wapo
 
Kuwa single maza ni dhambi na ni laana.
 
Labda tu alidhani ingekuwa rahisi kwa yeye binafsi kulitatua hilo suala kumbe ndio hivyo tena.
 
Kuna viumbe very stabbon asikwambie mtu....

Kuoa single mother nikama kununua shamba lenye mgogoro....

Oa single mother ikiwa mumewe amefarik
 
Unaweza usitake mazoea ila huyo mtoto ndio anayeleta mazoea...
Ahhhhh wapi. Kama mtoto anakuwa busy na masomo yake,akirudi likizo jamaa anamjali kama mwanae,af ndo anamuita baba,unadhani ingekuwa rahisi kihivyo kwamba mtoto achangie mazoea? Mama mwenyewe keshaumizwa,mtoto akidai nimesikia hili na hili,si unamwambia baba yako ni huyu huyu!
Wengine tu hujisahau,na yeye ndo kilichomtokea,na hapo tayari uaminifu alishavunja.
Sema tu watu wazima kila wakivurugana, victims ni watoto. Baada ya wa kwanza, hato hao wengine wanaishi maisha ambayo hayakuwa stahili yao
 
mimi na waambiaga vijana kuoa single maza hakuna tofauti na kukopa mke wa mtu alafu ukaishi nae
 
Nakuunga mkono mkuu

Sio kila single mother katelekezwa bali wengine wanavunja ndoa zao makusudi na mwisho wa siku ndio mambo kama hayo yanatokea.
 
Huyo jamaa aliyemuoa sister ako alifanikiwa kupata mtoto naye...ok, sometimes huwa tunafanya maamuzi flani tukidhani tuko sahihi au salama kwa namna flani,simlaumu sister ako ila aliteleza kumficha jamaa,alipaswa kumuambia mshikaji toka mwanzo yule fala alipoanza kumdai mwanae..alimkosea sana mwamba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…