Ndio tuache ubakaji jamani, kumbe idadi ya wanaume wanaobakwa ni kubwa kiasi hiki!! Sikuwahi kufikiria.Wanadai wanategeshewa mimba kama tunawabaka vile.
ni kutukatisha tamaa ili tusizae na tutazaa tuWanadai wanategeshewa mimba kama tunawabaka vile.
Wakati wazungu wanatoka hujui kuwa ni mbegu?Mi nikigundua mwanamke kwa dhamira yake na bila mimi kujua wala kupanga pamoja alinitegeshea mimba makusudi inabidi nimpeleke mahakamani kwa kosa la kuniingiza kwenye majukumu ambayo sijaplan
Na nyie si mnapenda kuckikizia wazunguWakati wazungu wanatoka hujui kuwa ni mbegu?
Tuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi wanaamua kuzaa tu....hasa umri fulani ukifika na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...
Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke
Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..
Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment
Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...
Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika.... tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...
Hahaha sasa kosa ni la aliyeona au aliyesikia tangazo?Na nyie si mnapenda kuckikizia wazungu
Mi nikigundua mwanamke kwa dhamira yake na bila mimi kujua wala kupanga pamoja alinitegeshea mimba makusudi inabidi nimpeleke mahakamani kwa kosa la kuniingiza kwenye majukumu ambayo sijaplan
Serious mara ya mwisho lini umewahi kumwambia mtu a-withdraw?Hahaha sasa kosa ni la aliyeona au aliyesikia tangazo?
Sio vidonge?
Pole sana Binti Kiziwi,you have spoken a very heart touching words!Yaani mngejua hivyo vidonge vinavyokuja kuwatesa hao wanawake baadae mngeacha kuwalisha watoto wa wenzenu, mngejua sindano sinavyosumbua baadae nadhani msingeongea chochote humu, nini vijiti ukija kuvitoa unaweza kubleed mwaka mzima, mngejua mateso yanayowapata wenzenu mngeacha kelele humu, hata condom pia zinatesa, zimawasha, zinachubua and all that.... kwakuwa hayawapati nyie wanaume ndio maana mna guts zakusema jukumu lakupanga uzazi ni la KE pekeake.
Kwangu mi the safe way ni kumwaga nje, au kusubiri safe days, haya huyo mwanaume wakumwaga nje yuko wapi? To hell with me heh, huyo mwanaume wakusubiri safe days yuko wapi? Thubutu, si ndio nyie mkinyimwa mnanunaaa na mnaenda kuchepuka? Na mkipewa mkijaza mimba mnakimbia eti hatukupanga, haha mi nafikiri kuwa mwanamke ni shida kuliko shida zenyewe.
Kama tukiacha zinaa haya yote hayawezi kutokea.Tuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi wanaamua kuzaa tu....hasa umri fulani ukifika na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...
Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke
Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..
Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment
Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...
Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika.... tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...
We nani anapenda kusikilizia uchafu?Na nyie si mnapenda kuckikizia wazungu
Manii ni uchafu?We nani anapenda kusikilizia uchafu?
Ndio, tena yananuka[emoji57] [emoji57]Manii ni uchafu?
Hahahaha...yananukiaNdio, tena yananuka[emoji57] [emoji57]
Mi naonaga hii battle ya single moms inakuzwa na jf.
Huko nje hali halisi haiko hivyo