Single mothers na vilio vya kushangaza

Single mothers na vilio vya kushangaza

Mi nikigundua mwanamke kwa dhamira yake na bila mimi kujua wala kupanga pamoja alinitegeshea mimba makusudi inabidi nimpeleke mahakamani kwa kosa la kuniingiza kwenye majukumu ambayo sijaplan
 
Tuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi wanaamua kuzaa tu....hasa umri fulani ukifika na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...

Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke

Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..

Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment

Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...

Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika.... tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...

na tuseme tu ukweli hali ya sasa inachangia hawa single moms kuwa wengi mjini + wanaume nao wanaogopa ndoa, so wanaona kuzaa si kigezo saana cha kuoana. well, just this morning a friend of mine amekuja ananilalamikia maskin jamaa ake alie zaa nae kaenda nje ya nchi alkuwa bongo kikaz, so kama vile karud kwao akiahid atarud but hadi saiv jamaa haonekani kama atarud. msichana wa 26yrs, ana mtoto jamaa alikua mme wa watu (wake zaid ya 2). So na hii post imeniwazisha, yes raha ishafanyika matokeo ndiyo hayo, what do we do?😵. Hamana ndoa no serious commitment, mtoto ndyo anawaunganisha. mimi hapa being 29 years sina hata kitoi kimoja, praying for husband tulee watoto wetu (considering mimi nimekua yatima, so najua uchungu wakukua bila wazazi, sitaki mwanangu yamkute kulelewa na one parent only, God forbid). so daaah, inaumiza kichwa hasa.. waeleweni tuu wakiwa na ghubu, wanasafaa yani si kitoto, especially ukiwa huna stable income and support it really kills them.
 
Mi nikigundua mwanamke kwa dhamira yake na bila mimi kujua wala kupanga pamoja alinitegeshea mimba makusudi inabidi nimpeleke mahakamani kwa kosa la kuniingiza kwenye majukumu ambayo sijaplan

utajuaje sasa? labda akwambie mwenyewe. Wanaume mjifunze kukubali matokeo as long as na wewe ulishiriki kuletea hayo matokeo, leeni watoto wenu.
Na wewe mwanadada unayelazimisha ndoa eti sababu ya mimba elewa kwamba ndoa ni zaidi ya kuzaa. msilazimishe ndoa, ndoa ni upendo, matokeo ya kulazimisha ndoa ni uchungu kuliko mjuavyo.
 
Yaani mngejua hivyo vidonge vinavyokuja kuwatesa hao wanawake baadae mngeacha kuwalisha watoto wa wenzenu, mngejua sindano sinavyosumbua baadae nadhani msingeongea chochote humu, nini vijiti ukija kuvitoa unaweza kubleed mwaka mzima, mngejua mateso yanayowapata wenzenu mngeacha kelele humu, hata condom pia zinatesa, zimawasha, zinachubua and all that.... kwakuwa hayawapati nyie wanaume ndio maana mna guts zakusema jukumu lakupanga uzazi ni la KE pekeake.

Kwangu mi the safe way ni kumwaga nje, au kusubiri safe days, haya huyo mwanaume wakumwaga nje yuko wapi? To hell with me heh, huyo mwanaume wakusubiri safe days yuko wapi? Thubutu, si ndio nyie mkinyimwa mnanunaaa na mnaenda kuchepuka? Na mkipewa mkijaza mimba mnakimbia eti hatukupanga, haha mi nafikiri kuwa mwanamke ni shida kuliko shida zenyewe.
Pole sana Binti Kiziwi,you have spoken a very heart touching words!
 
Tuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi wanaamua kuzaa tu....hasa umri fulani ukifika na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...

Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke

Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..

Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment

Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...

Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika.... tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...
Kama tukiacha zinaa haya yote hayawezi kutokea.
 
Back
Top Bottom