Akina The Boss wanajua kizazi kikishaharibika he has nothing to luz, atakwenda kwa mwingine ambae iko vizuri.I hate mwanaume anaemwambia gal wake anywe vidonge ili Ku prevent pregnancy coz its obvious hana future nae na anacheza na kizazi cha mwenzie....hayo madawa yanayoenda kwenye kizazi sio mazuri kabisa...especially Kwa mabinti ambao hawajazaa kabisa
Ni kawaida mkuu hilo linafahamika ila kuna presha kubwa inayotoka kwenye jamii yetu kwamba itamuona mtu wa tofauti pindi umri wa kuolewa ukifika na akawa hajaolewa kama wenzake.Its natural mtoto Wa kike akifika miaka 25 hujikuta akiitaji mwenza.so mhemko Wa ndoa kuanzia umri huo in lazima
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Steve Bing ni mMarekani mfanyabiashara tajiri, alijidai yeye ni senior Batchelor, alimdate actress mwingereza Elizabeth Hurley, walikwenda for a week break kwenye romantic place, Liz alijua kabisa yuko kwenye danger days, baada ya romance za wiki, mimba ilikamata, Steve alipinga sana kuwa mimba si yake, Liz alimdanganya kuwa yuko kwenye pills, baada ya siku aibu imemkuta DNA test imeprove mtoto ni wake.
Kutokana na pesa ya jamaa, Liz na mtoto wanavuta £1million kwa mwaka kama child support kutoka kwa Steve na Damiani ni mtoto pekee wa Steve Bing mpaka sasa hivi na ndiye mrithi wa mali zote za baba yake.
Msituone ni wajinga tukiona opportunity tunazitumia pia.
Kumbe unajua kuwa ukipanda lazima uvune, then its good. Vuneni tuu na muache kutupia makelele.Skuzote nasema hakuna mimba ya bahat mbaya kana mwanamke yuko over 20
Wakat yuko danger day anajua kabsa hapa staliwi kufanya chochote
Na wakat akiwa free anajua hapa
Naweza fanya nnavotaka hata akikutana nao 100 hakiaribik kitu maana n starehe
Sasa mnavosema mimba n za
Bahat mbaya cjui mnamaanisha nn
Makosa yote hufanywa na wanawake wenyw kuzaa wanataka wenyw
Hamkushikwa lazma mkawekewa hzo mimba
Kama hawa single mother wapo kama utitiri huku mtaan
Makosa yao wnyw af kuja kutulaumu wanaune
Unaandaa shamba wakat wa mvua af unasubir mkulima aje kupanda na mvua inanyesha
Unategemea hzo megu ziozee
Sahauuu
Lazma uvune ulichopanda
Zifutwe tu, waacheni wanawake wanaojilelea watoto wao wapumzikeSasa same mada kila siku mwisho zinaonekana hazina maana tena.
Bora hata mods wangeziunganisha zooote ijulikane moja maana hakuna jipya kila siku ni yale yale tuuu.
Na ndio watu washagundua ndio mada zinazoibukaga na comments nyingi.
Tena ikibidi mfuko wa rambo kabisa maana nyie ndio sperm donors wazuri na wenye makelele humu.Kwa hiyo sky makapuku kama sisi ndo mnatuambia tuvae condom mbili mbili kabisa?
Na wewe kwanini upige kavu bao la ugenini?wadada mnaruhusu kupigwa kavu mkipata mimba mnaforce kuolewa.hyo kitu haipo bcz sifa ya mke syo kupata mimba na kuzaa tu.
Basi humu mtakuja kujiteteaaaaa hadi thread itetemeke, kila single dad atamlaumu mwanamke, lets gooo blame game ilianzia Eden.Hili linaukwel sanaa mm yamenikuta na ni kama hiii story umeitoa kichwan mwangu
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Hata mapenzi yanatakiwa kufanywa na watu wawili walioko kwenye ndoa, since tumeivunja hii sheria unaonaje tukiivunja na sheria ya pili uliyoisema hapo juu japo sijajua ni sheria ya wapi.Jukumu la kupanga kuzaa, kabla ya ndoa ni la mwanamke peke yake, why..coz you have no ties with him. Hamjafungamanishwa kwa lolote, zile ni tamaa za ngono tu zinawafanya mkutane kimwili...
Uzazi unapangwa na watu wawili walioko kwenye ndoa.
Kama kusingekuwa na mwanaume anasimamisha kabla ya ndoa kusingekuwa na single mothers.Basi humu mtakuja kujiteteaaaaa hadi thread itetemeke, kila single dad atamlaumu mwanamke, lets gooo blame game ilianzia Eden.
Wacha we!!Jukumu la kupanga kuzaa, kabla ya ndoa ni la mwanamke peke yake, why..coz you have no ties with him. Hamjafungamanishwa kwa lolote, zile ni tamaa za ngono tu zinawafanya mkutane kimwili...
Uzazi unapangwa na watu wawili walioko kwenye ndoa.
Sasa same mada kila siku mwisho zinaonekana hazina maana tena.Mkuu at least ata hizi Mada zina mashiko kuliko nusu za mada za hili jukwaa
Hivi inafosiwa vipi kumuoa mtu ambae hauna malengo nae??wadada mnaruhusu kupigwa kavu mkipata mimba mnaforce kuolewa.hyo kitu haipo bcz sifa ya mke syo kupata mimba na kuzaa tu.
Kuna lililokukuta kaka, kilio hiki si cha bure, jambo la busara ni kutunza mwanao tu naamini na wewe unayajua madhara ya kutembea pekupeku. Wajibu wa kujikinga ni wa wote wawili, usianze kumlaumu mwenzio kwa sababu hakujinaniliu peke yakeTuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi
wanaamua kuzaa tu.....hasa umri fulani ukifika
na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...
Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa
na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke
Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment
au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo
mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..
Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment
Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa
wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...
Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha
kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe
ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika....
tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...