These creatures bila kuwasakama wanawake hawajisikii vizuri, maybe inawasaidia kupunguza stress zao.Zifutwe tu, waacheni wanawake wanaojilelea watoto wao wapumzike
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hata mapenzi yanatakiwa kufanywa na watu wawili walioko kwenye ndoa, since tumeivunja hii sheria unaonaje tukiivunja na sheria ya pili uliyoisema hapo juu japo sijajua ni sheria ya wapi.
Met a few claiming it hurts them,whatever that meansWacha weeeeh!! Wanawake hawapendi kutumia kinga damn!!!!
Kweli kabisa, wakija watajitetea tusivue chupi kabla ya ndoa maana hisia huwa wanazo wanaume tu, kwakuwa wanawake hawana hisia they have to be responsible.Kama kusingekuwa na mwanaume anasimamisha kabla ya ndoa kusingekuwa na single mothers.
Wewe usikubali kutawanywa kizembe, tumia vidonge baada ya kutawanywa kama hupendi mipira. Tunakojoa uji mzito wenye millions of mbeguz...Wacha we!!
Si huwa mnakojoa maji, basi hamna shida.
Haha skyWanaume wenyewe hawa wala chips mayai, akimaliza kuvaa condom kila kitu kiko break, mpaka aamke mwisho anasema ngoja tujaribu bila condom. Kesho na keshokutwa ukimtumia message hujaona siku zako ndiyo uadui unapoanza.
Tena tuweke msimamo No Sex B4 the Ring.Kweli kabisa, wakija watajitetea tusivue chupi kabla ya ndoa maana hisia huwa wanazo wanaume tu, kwakuwa wanawake hawana hisia they have to be responsible.
Kuna mwenzao mmoja humu alisema yeye amewarubuni watatu na amezaa nao na hana plan nao eti alikuwa anawakomoa tu, you can just emagine huyo ni mwanaume kabisaaa ambae one day ataenda kuwa furushi la mwanamke huko.
Wanapohitaji wanakuwa wapoleee,ahadi kedekedeee, subiri kinase wanavyogeuka, oooh hatukuwa na plan, plan my foot wakati hukutumia kinga yoyote!!!
Wengine utasikia oooh sitokojoa(walijitetea humu), wengine ooh wanaumia, ila matokeo ya kupiga peku walaa hawataki kuyasikia, hayo ni ya mwanamke peke yake.Wanaume wenyewe hawa wala chips mayai, akimaliza kuvaa condom kila kitu kiko break, mpaka aamke mwisho anasema ngoja tujaribu bila condom. Kesho na keshokutwa ukimtumia message hujaona siku zako ndiyo uadui unapoanza.
Msingetutongoza wala zisingekuwepo hizi ngono kabla ya ndoa.Wewe usikubali kutawanywa kizembe, tumia vidonge baada ya kutawanywa kama hupendi mipira. Tunakojoa uji mzito wenye millions of mbeguz...
Usijelia baadae na malezi ya kibebi pekeyo.
Kwanza muache ngono kabla ya kuolewa...
tunapiga kavu bcz first of all majority of them awafurahii ndom.Na wewe kwanini upige kavu bao la ugenini?
Iko hiviiii, honestly hakuna anaependa hayo madude, ni vile tu there is no way out.Met a few claiming it hurts them,whatever that means
Eway mkuu samahani nilisahau kusema kwa uzoefu wangu, I was wrong kufanya generalization
Labda mnapenda and am the unlucky one kukutana na wasiopenda
Who knows
Mkuu unapokwenda shamba kupanda mbegu si unategemea zitaota, kwanini ufurahie kukojoa na kisha ukwepe majukumu? Kama hataki condomu mwambie wewe huko comfortable bila condom. Ukinunua dove the soap ukamalizia wazungu wako bafuni wala hakuna atakae kulazimisha ndoa mkuu.tunapiga kavu bcz first of all majority of them awafurahii ndom.
Then swala kama hili ni sawa na kulala mlango waz af ukidamka asubuh unalaumu kwann umeibiwa.
huwez kumbebesha mtu majukumu ya ndoa kutokana na mimba ya bahat mbaya or mimba uliotegeshea.
Teh teh teh teeeeh!! As expected le me[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Wewe usikubali kutawanywa kizembe, tumia vidonge baada ya kutawanywa kama hupendi mipira. Tunakojoa uji mzito wenye millions of mbeguz...
Usijelia baadae na malezi ya kibebi pekeyo.
Kwanza muache ngono kabla ya kuolewa...
Kwao it's the only hot thing to talk aboutThese creatures bila kuwasakama wanawake hawajisikii vizuri, maybe inawasaidia kupunguza stress zao.
Umesahau ule uzi uliowekwa humu ikiongelea hilo walivyobadilika!!Tena tuweke msimamo No Sex B4 the Ring.
Vijana hawatongozi siku hizi, at least those days tulitongoza. Jiulize wanafanyaje kuwapata siku hizi.Msingetutongoza wala zisingekuwepo hizi ngono kabla ya ndoa.
Sifahamu mkuu?Vijana hawatongozi siku hizi, at least those days tulitongoza. Jiulize wanafanyaje kuwapata siku hizi.