Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
- Thread starter
-
- #361
Sasa useme na umuambie Nani?... Ulikuwa huna pakusemea ndio maana ulikuwa unakaa kimyaUmeongea ukweli, hii ilishawahi kunitokea
Mimi huwa sio muongeaji wa mambo yanayotokea ndani ila mwanamke alikuwa na tabia ya kuwapigia simu wajomba zake na kunisema vibaya kwa majirani ili mimi nionekane mbaya, nikarudisha kwao
Siku mjomba wake namueleza mambo yote yaliyotokea, akaniambia, "Tatizo lako mjomba ulikuwa husemi"
Siku nilipoanzisha hii thread kuna member humu aliniomba namba yangu halafu akanitumia 10kπππMods wakiona hizi mada wanafurahi sana...
Alafu wale nadhani tuwatoe kwenye kundi la single mazaz wale ni wajaneNaomba tupate muongozo kuhusu hili la single mothers.
Hawafai tena kuolewa
Na wanaobidi kuolewa ni single mothers wote waliofiwa na wanaume zao.