Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Eti bikira Maria alitokea akaonya shubaaaajit toa upuuzi wako hapa
Hata ukichek baadhi ya movie walizoigiza kuhusu haya mauji
Pia baadhi ya kesi viongozi wengi wa kanisa walichochea haya mauaji, watu wanakimbilia kanisani viongozi wa kanisa wanakwenda kuwastua wauaji wanakuja kufanya yaoo
Hayo ya kutokea bikra Maria ni swagger tuu kutoana mchezoni
Hakuna loloteeee
 
Makabila gani hayo yenye nia ya kuligawa taifa? Yataje kama una uhakika na ulichoandika?
Mkuu ungekua mtanzania unaefuatilia mambo ya nchi hii ungeshaelewa
Nina uhakika na nilichoandika
Ila kwa kua huu uzi si wa TZ ni wa Rwanda tuendelee na hio mada
Afterall...TZ kwa sasa ni ngumu kuigawa walishadhibitiwa watu wa aina hiyo
 
Babu nahitaji mchele wajukuu zako wale asee nikipata kama kilo 50 sio haba .nisaidie namna yakukupata nioe no tugmfanye biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maoni yangu
Siasa haina nguvu hasa kwa watanzania
Ni kitu u can change ama kuhama
Yani hamna wafia siasa au chama
Mange alijaribu hii siasa na alifeli
Watanzania were not up to it

Tofauti na powerful forces za ukabila
Kabila ni lako tu u have no choice umezaliwa hapo by default
Ukabila is the strongest force ikifuatiwa na dini mana watu hujitoa mhanga kabisaa kisa imani
then siasa ya mwisho kabisa
 
JK ana mazuri yake na mabaya yake. JPM pia hivyo hivyo. Kuna kitu kinachotakiwa kufanyika kwenye Taifa hili sio hadi tuuane kama wakenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yale hayakuwa mauaji dhidi ya watutsi tu bali ilikuwa ni VITA yaani wakati wahutu wanachinja watutsi na hao Watutsi wanachinja wahutu kutumia vikundi vyao vya waasi mfano INTEREHAMWE/FDLR,APERHUTU kwa Wahutu na be it UPRONA/RPF kwa watutsi na ndio maana kule Uganda kwenye mitaala ya shule haiitwi Rwanda genocide kule tulisoma inaitwa Rwanda civil war yaani VITA sio Mauaji!!

Ila yaonekana kagame alikua kajipanga zaidi hivyo baada ya kushinda vita naye akalipiza kisasi akawachinja hao wahutu wakakimbilia DRC ambapo aliwafuata na kuwateketeza na tokea hapo nguvu ikahama kutoka kwa Wahutu ikaja kwa watutsi na imekua hivyo mpaka leo.

Wahutu sio kwamba wali-fight for nothing" ila walishashinda vita tokea 1959 na wakajikomboa kutoka mikono ya watutsi so walienjoy uhuru wao mpaka 1990 ambapo uvamizi wa Watutsi ulianza. Hivyo ile vita ilikua ni ya kujilinda zaidi dhidi ya uvamizi wa watutsi na sio kuvamia watutsi kama unavyodhani. Yaani kama watutsi wasingetishia kuvamia Rwanda kulikua hakuna haja ya wao kuwaua maana madaraka yalikua kwa wahutu.

Hope umepata picha mkuu
 
Amini kwamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
"toka siku ile ndo niliwaona live wanajeshi wa rwanda majitu yamepanda sura ngumu macho mekundu"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]badala ya kusikitika nmecheka
 
JK ana mazuri yake na mabaya yake. JPM pia hivyo hivyo. Kuna kitu kinachotakiwa kufanyika kwenye Taifa hili sio hadi tuuane kama wakenya

Sent using Jamii Forums mobile app


Baya n baya tuu ndugu hata ulipake rangi gan bado litakugharimu japo mistake alioifanya n kuruhusu kila kitu kiende kwa kila mtu anavyotaka Sasa lazima utengeneze makundi mawili makubwa wenye nguvu na Mali vs wenye nguvu na hawana Mali na Kama unavyojua pesa huwapi kwa wachache Sasa Hawa wengi walishaanza kuingia road mdogo mdogo rejea wanasiasa wa 2012 - 2015, rejea wale madogo Mara daa Mara MWANZA Kule Arusha nako.

Hapo ndo utajua ukiwa rais n mwiko kuruhusu Uhuru wa vitu flan hv Tena kwa nchi Kama Tanzania ilivyo
 
Unarudi kufanya nini?

Anzisha na wewe uzi wako tutakuja kusoma.hii tabia ya kuanzisha stori ndani ya stori ni ya kiboya sana.
 
Ndio maana PK anaogopa kuachia ngazi kwani anajua fika kitanuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachoshangaza kabisa hakuna kabila linaloitwa watusi au kabila linaloitwa wahutu yaani hawa watu wanaongea Lugha Moja ila tofauti yao ni Races tu basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unanichanganya mkuu.inamana gani kusema hakuna kabila ya tusi na hutu? Sasa waliokuwa wanaopigana ni kabila gani vs kabila gani.maana tumesikia ni Vita ya wahutu na watusi.
 
Unatambuaje kuwa huyu kabila hii huyu kabila hii?
 
Bonge la ushauri, huto balozi nimemsaka hata kwa google hakuna info zake.
Amenivutia sana kumfahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…