Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

na CCM ndo watakao iangamiza nchi kwa kuleta machafuko, angalia kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa walichokifanya, kama siyo uungwana wa kijinga wa watanzania wa kukubali kudhulumiwa haki zao hiyo tu ilikuwa ni tiketi ya kuipeleka nchi kwenye machafuko.

Msimuliaji wa kisa hiki kuna jambo moja la maana sana kalielezea kuwa ukiona vyama vya siasa vimeanzisha vikundi vyao vya ulinzi ujue kuwa imani kwa jeshi la polisi imekwisha na kinachofuata hapo ni nchi kuingia kwenye machafuko.

Nterahamwe kikosi kikuu cha mauaji kilikuwa ni kikundi cha ulinzi kilichoanzishwa na chama tawala na ndicho kilichoendesha mauaji ya hatari sana nchini Rwanda ambayo kwa kiasi fulani na mimi niliyashuhudia kwa kuwa nilikuwa karibu na maeneo hayo ndo maana sina swali lolote kwa msimuliaji wa kisa kwa kuwa na mimi niliguswa.

Ukiachilia mauaji ya kuuawa kamanda Mawazo, kwa macho yangu nimeshuhudia wagombea 2 wa upinzani wanapigwa mapanga mbele yangu na vijana wa kikundi cha ulinzi cha CCM katika uchaguzi wa serekali za mitaa wa mwaka 2014 kwa kuwa tu CCM walitaka wapite bila kupingwa.

Hata hivi vikundi vya ulinzi ndani ya vyama waanzilishi walikuwa ni CCM.
 
Kuna nyuzi huwa zinasababisha tufahamu kiwango cha IQ za watu flani flani Muraa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
pamoja sana chief
 
Mbona mnasema wanaongea lugha moja tena? Mnanichanganya
 
Haya jazia jaziaa nyama hizo.eti mbona mnasema wanaongea lugha moja sasa inakuaje tena wanapigana?
Sadly this is not ur home utupangie tufanye nini ooopss...kikubwa tufate sheria za JF

hujaona wadau walokua rwanda pia miaka hio wamejazia nyama tumeelewa zaidi
 
Kama jk alipenyeza watu wake hizo nchi imekuwaje sasa iko v. versa kwamba watoto wa rwanda ndo wako kwenye tz system?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo balozi alikuwa akiitwa nani??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya jazia jaziaa nyama hizo.eti mbona mnasema wanaongea lugha moja sasa inakuaje tena wanapigana?
Chanzo cha kupigana ni kabila moja/tutsi minority kujiona bora kuliko wengine/hutu majority kwa zaidi ya miaka 200

Ilianzia kwa 'divide and rule' ya mkoloni
Hata alivyoondoka wakaendelea kujiona wao ndo watu wengine ni sub class

Nmeeleza kifupi hapo nyuma uliponishushua
Zaidi soma google yako bayana
 
Mkuu ungekua mtanzania unaefuatilia mambo ya nchi hii ungeshaelewa
Nina uhakika na nilichoandika
Ila kwa kua huu uzi si wa TZ ni wa Rwanda tuendelee na hio mada
Afterall...TZ kwa sasa ni ngumu kuigawa walishadhibitiwa watu wa aina hiyo
Hao watusi wa bongo naamini huko mbeleni watawaibua wahutu wao wenyewe.

Hii arrogance ya kujifaragua kuwa wao ndo 1st class citizens ikipata watu wa kutia kiberiti hisia za upande wa pili,kwisha habari.
 
Endelea kueelezea sasa nimekuruhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…