Lets Get Together
JF-Expert Member
- Nov 26, 2019
- 258
- 429
Hebu quote aya alipoandika kwamba alisoma chuo kikuu na pia inayoonyesha kwamba alisoma chuo huko huko Rwanda ili tukuamini mkuu. Tusipende kupotosha watu kwa vile tu hatukuelewa vizuri kile kilichoandikwa na wenzetu.Mzee unatudanganya.
Ulikumbana na mawasiliano magumu wakati umesoma chuo kikuu kwa hiyo na kiingereza hawajui hujui?
Kule mwanzo unesema unesoma chuo Kule Kule rwanda halafu wakati unaoata ajira unaenda kuripoti unasema Ni Mara yako ya kwanza kwenda nje ya nchi??
CHAIII HII
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuweni na subira jameni.
Mwandishi anamalizia kuangalia ile muvi ya HOTEL RWANDA ya Idris Elba kisha aje kuendelea kutusimulia
Unakurupuka kama kukuWe Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.
Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.
Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?
Jibu huna Mpira uishie hapa.
" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.
@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
Wee jamaa ni POPOMA, yani sijui wazazi wako walilipia ada ya nini?? Halafu utakuta et na ww una mpenzi!!!!!Mzee unatudanganya.
Ulikumbana na mawasiliano magumu wakati umesoma chuo kikuu kwa hiyo na kiingereza hawajui hujui?
Kule mwanzo unesema unesoma chuo Kule Kule rwanda halafu wakati unaoata ajira unaenda kuripoti unasema Ni Mara yako ya kwanza kwenda nje ya nchi??
CHAIII HII
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae huyo mnambe. JF siku hizi Imevamiwa na wapumbavu kiwango cha SGR.Hebu quote aya alipoandika kwamba alisoma chuo kikuu na pia inayoonyesha kwamba alisoma chuo huko huko Rwanda ili tukuamini mkuu. Tusipende kupotosha watu kwa vile tu hatukuelewa vizuri kile kilichoandikwa na wenzetu.
Watu wanadhani tuna muda wa kufuatilia uzi wake kila siku.Kama ni long stori halafu unaandika vipande namna hii, i bet itakuchukua miaka miwili kuimaliza. Halafu sijui ni nani aliwaambia ukiweka vipande ndio mambo yananoga. Unakuta mtu anaandika itaendelea na hata aya mbili hazijai.
Ngoja nirudie kusoma. Pole mkuu na samahani kwa kukupindisha na Asante kwa kunirudisha kwenye mstari.Hebu quote aya alipoandika kwamba alisoma chuo kikuu na pia inayoonyesha kwamba alisoma chuo huko huko Rwanda ili tukuamini mkuu. Tusipende kupotosha watu kwa vile tu hatukuelewa vizuri kile kilichoandikwa na wenzetu.
Huo ndiyo uungwana wa toka enzi za mababu zetu mkuu.Ngoja nirudie kusoma. Pole mkuu na samahani kwa kukupindisha na Asante kwakunirudisha kwenye mstari.
Sent using Jamii Forums mobile app