Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

wewe nawe babu zima unakua na mishebeduo kama demu.
Ukiambiwa fact kubali, wengi tumeshakushtukia tangu mwanzo.

Ulikua unabwabwaja ukidhani hakuna wanaojua story ya Rwanda kuliko wewe imekula kwako πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Utabiduliwa ww alaa!
unaleta masihara hapa
 
J Mkaushie huyo itakua kasahau kumeza dawa zake πŸ˜‚
 
Babu la mababu dondosha tena hio kitu ya ndola zambia. Daaah babu limehustle lilienda hadi zambia kuokota siso.
Hilo jina enzi zetu tunasaka makopo ya bia za Stella na sufuria flani hivi ndo zilikua dili na soko kuu lilikua kigogo mburahati kule. Unakwenda katika mabomba ya Dawasco kuna konekta zao flani zilikua dili pia acha tu
 
Umeharibu hapo mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unavosema watusi wana haki ya kuwachukia intarahamwe ambao ni wahutu, kumbuka watusi nao walikua wanawaua wahutu kwa kutumia vkundi vyao vikiongozwa na RPF.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo badae,na mpaka leo mtusi analipiza,General Nyamwasa aliwafagia wahutu pale Kibeho na wakaendelea nao mpaka Congo huko msituni wameuliwa sana mpaka Congo Brazzaville huko kimya kimya battle chini kwa chini. Kabila senior alikua anaona utani wakamshughulika fasta.maana ishu ilikua tunakuweka ila hawa watu tunawahitaji kaleta ubishi kilichotokea mnakijua.

Mpaka sasa nguvu ile ya wahutu hamna kivile washavunjwavunjwa sana.
Na ndio kuna mdau kasema kapita huko watu hawana raha wapo km wana visasi hivi moyoni ndio wahutu hao nchi nzima.

Tusiombee hao jamaa siku wapate upenyo walianzishe safari hiyo watafuta kila kitu.
PK mwache awe mkali tu
 
Yeah wahanga wanasema wauaji walisisitiza hakuna kupoteza risasi bure ilikuwa ni mapanga majambia mikuki rungu na silaha nyingine za jadi.
 
Hilo jina enzi zetu tunasaka makopo ya bia za Stella na sufuria flani hivi ndo zilikua dili na soko kuu lilikua kigogo mburahati kule. Unakwenda katika mabomba ya Dawasco kuna konekta zao flani zilikua dili pia acha tu
Hahahhahaha uswahilini watoto walikua hawali mpaka wauze siso
 
Ila kuua watu 500,000+ kwa panga, nyundo, rungu sio mchezo. Hawa jamaa walichafukwa na nini hivi? Hata kama propaganda zilikua za kiwango gani?

Hii unaweza ikawa rekodi ya dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Risasi hazikutumika sana,wengi walikufa wanaoza tu kwa majeraha,jamaa walikua wanatembeza kichapo wanahama hata hawaangalii umekufa hujafa.
 
Duuuh watu wamepitia wakati mgumu sana
 
Acha Bangi, umeona green guard tu? Sio Red Brigade

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahutu waliua watutsi rais mhutu akiwa madarakani, akafa kwenye ajali ya ndege, akaingia Kagame aliyekuwa anapambana kutokea msituni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I see duniani kuna mambo mengi mazito sana ya kuogofya ya kikatiri, yanawapitia binadamu mahala popote,muda wowote haya-repotiwi. Hapo ndipo utajua life is fair. Big up sana kwa huyo mama barozi wa Tanzania nchini Rwanda kipindi hicho. Anastahiri sifa kabisa huko aliko. Ana roho ya kijasiri zaidi ya wanaume wa dar. Alikuwa jasiri haogopi kifo,alikuwa jasiri tayari kupigania anachokiamini, ikimbidi kifo. Mwisho nasema vita vipo tena Rwanda.

KG amepandikiza chuki sana mioyoni mwa wahutu,hawawezi kusamehe kamwe. Sasa basi njia ya kunusuru yajayo inabidi Tanzania kupitia UN tuzivamie hizi nchi mbili Rwanda na Burundi,then tuzifanye ni mikoa ya Tz. Tutawasambaza wengine Lindi,mtwala,mara,mbeya huko ile mikoa yetu miwili mipya Rwanda na Burundi itaunganishwa itakuwa ni eneo moja kwa ajili kambi na mafunzo ya kijeshi tu. JKT wote watakuwa mafunzo yao ni huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Historia ya Kagame ni ndevu sana, Ramani ya kuichukua Rwanda ilichorwa kwa msaada wa Museven, kwani walikuwa pamoja katika jeshi la Uganda. Huyu ni mojamoja kwa moja anahusika na kilichotokea
 

Dingii unaanza kutuyeyusha dingii!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…