Hahahaaa ..mkono wa chuma,kila ikifika saa kumi na mbili wanajeshi wanajipanga barabarani Kigali nzima kwa tofauti ya mita 100 hawasemi wala kumgusa mtu tembea na ID masaa 24 ,ikifika saa sita usiku wakikukamata adhabu yako nikutembea nao au kukaa nao hapo hapo Hadi kuche ndo wanakuachia hakuna kesi ya uzururaji.Rwanda siielewi, kama watutsi ni wachache, inakuwaje kwenye uchaguzi Kagame anashinda kwa kura zaidi ya 90% ? wahutu wanampigia kura?
Kwa taarifa yako Sina taaluma yeyote ya uandisha mnisamehe kwa hiloBossless
Barikiwa saana! Nashukuru tumemalizana salama wa salmin. Ukianza kuandika kisa kingine zingatia kurekebisha yale mapungufu ambayo wengi wetu tumeorodhesha!
Ahsante kwa kisa hiki.
Hhhaahhaaa usiombeNimejifunza vita ya wahutu na watutsi ilikua mbaya kuliko mlipuko wa corona
Hiyo no kindergarten achane nae ,Elimu bureYaani ubalozi wa Tanzania nchini Rwanda ulikuwa Kinshasa DRC!! Ama umechanganya habari mkuu
Wewe mbona hujaweka jina lako halisi kwenye avatar yako ,ukiona limefichwa maanake ni confidantial.Bado najiuliza huyu mama aliyekuwa balozi wakati hup yupo wapi? na mbona jina lake linafichwa tungempa heshima yake maana hata ukimgoogle huwezi kumpa hakuna record yeyote kuhusu balozi zetu za wakati ule
Unaweza panda mnazi kwa matumaini ya kula madafu mbele lakini ukafa au ukajikuta hayo madafu wanakula wengine hapo hapo ndivyo ilivyotekes kwa kageme.I see duniani kuna mambo mengi mazito sana ya kuogofya ya kikatiri, yanawapitia binadamu mahala popote,muda wowote haya-repotiwi. Hapo ndipo utajua life is fair. Big up sana kwa huyo mama barozi wa Tanzania nchini Rwanda kipindi hicho. Anastahiri sifa kabisa huko aliko. Ana roho ya kijasiri zaidi ya wanaume wa dar. Alikuwa jasiri haogopi kifo,alikuwa jasiri tayari kupigania anachokiamini, ikimbidi kifo. Mwisho nasema vita vipo tena Rwanda.
KG amepandikiza chuki sana mioyoni mwa wahutu,hawawezi kusamehe kamwe. Sasa basi njia ya kunusuru yajayo inabidi Tanzania kupitia UN tuzivamie hizi nchi mbili Rwanda na Burundi,then tuzifanye ni mikoa ya Tz. Tutawasambaza wengine Lindi,mtwala,mara,mbeya huko ile mikoa yetu miwili mipya Rwanda na Burundi itaunganishwa itakuwa ni eneo moja kwa ajili kambi na mafunzo ya kijeshi tu. JKT wote watakuwa mafunzo yao ni huko
Sent using Jamii Forums mobile app
SikuyaonaBossless use unachanganya matukio ya kinyama na Yale ya raga mhenga mwenzangu, km mbona hujagusa maswala ya Kunyaza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu ikipona nashusha vitu kaa mkao wa kula ntaweka vitu soonBabu la mababu dondosha tena hio kitu ya ndola zambia. Daaah babu limehustle lilienda hadi zambia kuokota siso.
Usianzishe Vita bila kuangalia nyuma ya huyo unaetaka kupigana nae Kuna Nani au nini Utaumia.vita mbayaaWale walikua watu wa kazi wanarekebisha huku wanatungua huku. Hali ilishaeleweka mapema kipindi kile kwamba kitanuka huko ndo wakapelekwa wale kulinda mpaka na kupiga ile mambo yenu yaishie hapo msilete kwetu huku. Ukibisha tuna wewe
Aliekuwa na Dola ya marekani ndo alisavaivu boda na bunjumbura huwezi amini tulifika boda wanaochange hela wakawa hawayataki mafaranga ya rwanda ,unayapeleka wapi? .Vita...Vita...Vita...Vita ..Yaani kama alishindwa kuisimulia familia yake aliyokumbana nayo huko Rwanda ndiyo atakuwa tayari kuja kukusimulia wewe mtu baki? Pia huwezi jua zile pesa nyingi alizorudi nazo alizipataje kati kati ya mauaji/vita maana kumbuka kutokana na simulizi ya babu hapo kipindi hicho ilikuwa ni biashara ya kubadilishana bidhaa kwa bidhaa na siyo bidhaa kwa pesa. Sasa huyo hizo pesa alizipata kwa kufanya biashara gani? Inabaki siri yake.
Usiku ? Unaona mizoga tu .Hizo maiti kibao ni kama ngapi na ilikuwa ni akinanani kwa mlivyo waona
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap .Ukimsoma vizuri mtoa mada kuna vitu/hataki kuvielezea in detail sana hatuwez kujua chief ila naamini na sisi tukifanya homework yetu tunamjua tu maana baloz sio mtu mdogo
Taylor ni mzuri kwa hiyo fani bunduki sana.
ila kilichotokea Rwanda usipime. Jamaa wanasema usipoteze muda na risasi kata miwa tu fasta. Hapo ni mapanga shaa, jembe la kichwa, nyundo sekunde tu watu hao wamemaliza kazi wanaangalia next station. Unakuta wanapigiwa call inyenzi wako 200 shule flani nendeni kazini unaambiwa wakifika pale hamna maswali.
Kwa kweli watusi wana haki kuhate hao jamaa interahamwe.
Ile hata mjerumani alichofanya Auschwitz haifiki.siku 100 tu mtu milioni+ ziliondoka
Ukiona wanajeshi pale lugalo ndo unasema wanajeshi wale wale ni maifisa tu na wasaidizi ukikutana na wazee w battle utakimbia.Nyerere alikuwa na wanajeshi wazuri sana! Sijui hawa wala vihepe wa sasa hivi tunaowaona huku mitaani.
Yani hapo unaweza kuta hiyo difenda ilitokea tz ikapita pori kwa pori hadi Rwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe dume jike Mbona unatulisha matango ambayo thread nzima hayajazungumziwa?wewe nae unapumbazwa unaonekana zuzu unakubali tu.
hivi na akili zako timamu (japo zipo robo kilo) unaamini kwamba eti commando mmoja ni sawa na wanajeshi 100!!!
kwamba risasi ikimpiga kichwani hafi?
kwamba gari lao likitupiwa grumeti halilipuki?
Kama ni huyo mama Samia si amfuate tu amueleze,hata amkumbushe walikopitia ampe maisha
Kule ni thread ingine, jamaa walikua usiku kwa usiku tu wanapiga kiberiti watu, list kwa list, wakipungua wanaletwa wengine.ila mziki wa Rwanda ilikua ni fasta sana haina kuremba ikifika jioni kagiza kanaanza watu wanaaga kabisa wake zao km naingia mzigoni nipikie ugali. Kazi ni hiyo kuua watuMkuu unaweza kuto summary ya kiliicho tokea ujeruman ili kutatua tatizo kama ilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah huko kuchomana mishkaki ilikua kawaida tuwalikua na unyama wao pia wa kula watu pia unyama unyama wa aina yoyote vitani haukosekani
Pia ni miongoni mwa notorious warlords wa africa.. Ningependa kama kuna mtu alikuwaga huko atusimulie