Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Mkuu huwa napenda kulisemea kwani huwa nawashangaa watu wanaojiona keki wana kipi cha ziada
Ni kama maoni tu kwani lisipodhibitiwa lina nia ya kutugawa tu na si kutuunganisha...lina nia ovu...
Afterall ukishakua exposed na maisha unaelewa binadamu wote ni wale wale ni suala la watu wapewe exposure na nafasi to prove themselves....

mkoloni ndo kaleta maendeleo ya 'aina' flani ya 'kileo' africa
Hivyo waafrika wenyewe kwa wenyewe kujiona kuna classes ni uzwazwa...wa hali ya juu ...hakuna cha naturally gifted wala nini...wamevumbua nini kipya??..hapo ndo utaona ni advantage ya rule ya mkoloni ndo iliwaweka baadhi ya watu mbele kabla ya wengine sio kwamba wale wengine ni vilaza hamnaa ni fursa tuuu...ndo mana sikuhizi kabila zote wasomi na wafanya biashara wapo...it was just a matter of fursa!!

Kwa uelewa wangu mzungu hio ilikua ni strategy ya kutawala...divide and rule...watu anawavuruga weee huku ye anaendelea kupeta

ss shida ni pale alipoondoka
Ilipasea viongozi waweke sawa hio hali
Tanzania Nyerere alifanikiwa
Bila kuwadhibiti baadhi ya watu wangekua na nchi yao huku wakijiona wao ni elites...unadhani nini kingetokea iwapo ktk hio nchi wamemix na kabila ambalo sio elites kama wao?..by default wenye elimu ndo viongozi... hence kujiona keki ndo kunazaliwa hapo...wale waloachwa nyuma kidogo mfano wale 'wachunga ng'ombe' unadhani wangefanyaje kama sio kuwachabanga elites mapanga tu???!!!

nawasifu viongozi watanzania hasa nyerere ali'contain ukabila udini nk
Ndo mana hadi leo dini za kristo na islamzinapokezana vijiti urais hivyo kila mtu anajiskia anawakilishwa

likewise nyadhifa mbalimbali makabila yooote yapo kwa uchache tu
Magu Kanda ya Ziwa
Samia Zanzibar
Majaliwa kanda ya kusini
Baraza limemix watu kibao
Hivyo hakuna kabila linalojiskia wao wameachwa nyuma..likewise dini wanamix madhehebu yote

Shida Rwanda wachache tutsi bado serikali wanataka wengi wawe wao unafikiri wahutu wanafanyeje?....yanatokea yaliyotokeaa ndugu msomajii

Watu wakishakua exposed wanabadilika
Kabla hata ya wakoloni kuja wa Tutsi walikua wanatawala wahutu soma historia
 
Mkuu wote ni kabila moja sema tu wanatofautiana tuseme Koo yaani za wahutu ni kama wabantu zaidi wa magharibi ya Afrika ila watutsi kama koo za Watu wa Ethiopia/Eritrea huko.

So wakoloni wakawagawa..... Ni sawa na leo mkoloni awagawe wachagga kwa kigezo cha weupe na weusi!! Kuwa wachagga weupe awaite watutsi na weusi awaite wahutu ilihali kabila lilelile tu!!

Na hili sio Rwanda tu limetokea Burundi na DRC pia hizi jamii haziwezi kaa pamoja ni kuchinjana kila siku mpaka leo huko Kivu.

Vita yes ni suala la muda tu ila kagame kajipanga sana mkuu ana support ya serikali zote zinazomzunguka hivyo chance yao labda wasubiri siku amefariki ghafla!! Wapate support ya wahutu wa ndani ambao ni 90% ukijumlisha na wahutu waliopo DRC zaidi ya million 2, jumlisha na wahutu wa Burundi aiseee hao watutsi mbona wanateketezwa ndani ya siku moja tu (Mungu aepushe)

Ila ni suala la muda tu
Kabla hata ya wakoloni kuja watutsi walikua wanatawala wahutu, mkoloni alichofanya ni kutembelea mlele mlele na sera yake ya divide and rule
 
Hawa Wahutu hawana tofauti na sisi kabisa ila hawa Watutsi wanaonekana kabisa kama ni watu fulani wageni hivi,na kama ni mchanganyiko wa asili mbili fofauti.

Ila vita vya hivi kihistoria huwa haviishi, zaidi huwa vinapoa kisha vinaendelea.
Nahisi watakuwa na mchanganyiko wa makabila ya wasomali na ethiopia maana muonekano wao unafanana hv.
 
Hawa Wahutu hawana tofauti na sisi kabisa ila hawa Watutsi wanaonekana kabisa kama ni watu fulani wageni hivi,na kama ni mchanganyiko wa asili mbili fofauti.

Ila vita vya hivi kihistoria huwa haviishi, zaidi huwa vinapoa kisha vinaendelea.
Nahisi watakuwa na mchanganyiko wa makabila ya wasomali na ethiopia maana muonekano wao unafanana hv.
 
K

Kwa mantiki hiyo mkuu, naamini kwa namna moja au nyingine wahutu watakua wanajipanga kulipiza ili washike hatamu wawachomoe Watusi.

Swali in je wanatumia mbinu gani kujipanga? Tuliona Kagame alitumia RPF akitokea msituni.
Kagame alitokea Seal Team Six, ni kikosi Bora zaidi Marekani Cha makomandoo alikuwa huko mpaka muda mfupi kabla ya mapigano ya Rwanda kuanza.
Intellijensia ya kupindua nchi ilitengenezwa nje ya Afrika na hii RPF walikua chombo tu, ila kilichotokea wakati na muda mfupi baada ya uvamizi hakikuwa ndani ya plan.

.......Wamarekani walikuwa wanahitaji mshirika mpya baada ya kupoteza Kongo na Angola.
 
Nasikia majamaa yalikuwa kama mazombi ,,,,utapiga risasi hola linakufuata kibabe Mpaka likucharange ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa wamelewa muda wote.kitu kilichosababisha wawe na ujasiri wa hali ya juu.mfano kikundi cha interahamwe cha watu 200 kwa siku kinaweza kuua watu hata 5000.kubaka wanawake50.kwenye ubakaji hali ilikuwa mbaya sana.kumbuka wahutu hawaoi watusti lakini wanawatamani sana lwa jinsi walivyoumbika vizuri.wakati wa mauaji walikuwa wanachagua wanawake wazuri wanawapeleka kuwafugia kwenye magodown.kwahiyo wanakwenda kuua watu .wakichoka wanakunywa pombee bwiii.wanarudi walipohifadhi wanawake wa kitusti.wanachakata papuchi kwa zamu.kwamba wanaonja utamu wa wanawake wa kitutsi maana hawawaoi.
Hali hiyo inapelekea kuambukizana magonjwa ya ngono.imagine kwa siku mnapokezana wanawake hata 20.nyinyi mko 200au 150.mnajikuta gono imesambaa kwa interahamwe karibu wote achilia mbali ukimwi. Wakawa wanajiuliza mbona tunaumwa sana huku chini.hawa wanawake wa kitutsi wachawi sana leo tunaua wote...wakirudi wanauwa wote halafu wanawafukia kwenye kaburi moja.nina rafiki interahamwe alihamia hapa tz..alinihadithia..cha ajabu uchaguzi wa tz anapiga kura..na namba ya nida anayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hivyo visa vilivyotokea wakati wa civil war kwanini uviite genocide ilihali ni majeshi ya pande mbili yaliyokuwa yanapigana?

Ila ukiangalia matukio ya kuanzia April 1994 ni kwamba ni jamii moja ilichochewa na viongozi wao kushambulia jamii nyingine ili kuwamaliza kabisa tofauti na matukio ya kuanzia 1990 ambayo ni majeshi ya pande mbili yalipigana sio raia.
Mkuu kuna vita kati ya majeshi mawili na kuna vita nyingine ya kikabila. Sio wahutu wote waliua watutsi ila ni INTEREHAMWE ndio walihusika na ndio maana kuna wahutu kibao tu walichinjwa na INTEREHAMWE licha ya kuwa kabila moja la Hutu.

Ambacho unatakiwa ufahamu watutsi pia walichochewa na huo ushahidi ulipelekwa huko ICGTR Arusha kuwa watutsi walikua recruited na kupewa mafunzo ili kupambana na wahutu ''uraiani'' so genocide ilikua pande mbili.

Ila kwakuwa watutsi ni wachache ndio maana ikamezwa na genocide ya wahutu kuua watutsi ila wao pia waliua raia kwa raia.

Hata mtoa mada kaeleza hapo kuwa wahutu waliokua wanakimbia vita nao walichinjwa sababu ni wasaliti so unaweza ona wahutu kma wahutu hawakuwa wauaji ila INTEREHAMWE ndio ilitekeleza mauaji.

So hivi vikundi ndio viliua zaidi kuliko hata raia wa kawaida so tusipandikizwe chuki kuwaona wahutu ni wanyama mkuu
 
Wengi wao walikuwa wabeligi na wafaransa kuna siku wao kwa wao walichapana uwanja wa ndege wa Kigali waziri wa ulinzi wa Rwanda kipindi hicho ndo akaingilia kati kusuluhisha ugomvi wao.sasa walinzi gani hao eti UNAMIR.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihisho kidogo: UNAMIR haikua na wanajeshi kutoka France.
Wafaransa walikuja mwezi wa 6/1994 na hawakufika Kigali bali walitengeneza kilichoitwa ZONE TURQUOISE ambayo ilikua mikoa 4 magharibi mwa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifika Rwanda utaona kama nchi yenye utulivu wa kutosha. Hata uhalifu mkubwa kama ujambazi na uporaji wa kutumia silaha umedhibitiwa kwa kiasi kikubwa,iliyobakia ni udokozi mdogomdogo tu.

Lakini ukiangalia kwa undani utagundua kua Rwanda kuna tension ya hali ya juu sana miongoni mwa raia wake. Ule utulivu na amani ni kama vimeshikiliwa na kamba nyembamba. Unahisi kwenye nyoyo za watu kuna kutokuridhika flani hivi na kilichokuwepo ni kuogopa mkono fulani wa chuma

Kwa maoni yangu Rwanda ya baada ya Kagame lazima iwe handled very careful vinginevyo kitanuka tena! Nilisafiri kutoka Kigali kwenda Goma DRC kupitia Gisenyi na pote upitapo na kuonana na watu na kuongea nao unahisi ni watu wenye wasiwasi sana na hasira! Tuiombee Rwanda yasijirudie yaliyopita
Rwanda na Burundi wanahitaji suluhisho la kimataifa (UN) sio wenyewe kwa wenyewe hili ni 'time bomb' na PK analijua hilo ndomaana watusi wengi wenye uwezo jeshini na serikalini akiwemo PK wanafamilia mbili kwenye nchi tofouti hususani Ug na Congo, wanajua vzri kulipuana ni suala la mda tu

Conciliation au maridhiano baina ya hayo makabila mawili ningumu kwasabb chuki yao haina msingi ni ya asiri,

ni suala la UN kuingilia kati na kutawanya hivi vi nchi vi wili Burundi inchukuliwe na Tz na Rwanda iuunganishwe na DRC, then UN indeploye jeshi kubwa la kulinda Amani kwa kipindi cha miaka 10. Wa tusi million 4 tu hawatafanya lolote kwenye nchi ya watu 70m watamezwa tu.

hiyo mbinu ilishawahi kutumika ulaya mwaka 1830 ili kupunguza Austria Bel na Uholazi, ila tu wazungu ni selfish kwenye masuala ya Africa Rwanda itaingia tena kwenye genocide nyingine within half a century na itakua mbaya zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikuwa wamelewa muda wote.kitu kilichosababisha wawe na ujasiri wa hali ya juu.mfano kikundi cha interahamwe cha watu 200 kwa siku kinaweza kuua watu hata 5000.kubaka wanawake50.kwenye ubakaji hali ilikuwa mbaya sana.kumbuka wahutu hawaoi watusti lakini wanawatamani sana lwa jinsi walivyoumbika vizuri.wakati wa mauaji walikuwa wanachagua wanawake wazuri wanawapeleka kuwafugia kwenye magodown.kwahiyo wanakwenda kuua watu .wakichoka wanakunywa pombee bwiii.wanarudi walipohifadhi wanawake wa kitusti.wanachakata papuchi kwa zamu.kwamba wanaonja utamu wa wanawake wa kitutsi maana hawawaoi.
Hali hiyo inapelekea kuambukizana magonjwa ya ngono.imagine kwa siku mnapokezana wanawake hata 20.nyinyi mko 200au 150.mnajikuta gono imesambaa kwa interahamwe karibu wote achilia mbali ukimwi. Wakawa wanajiuliza mbona tunaumwa sana huku chini.hawa wanawake wa kitutsi wachawi sana leo tunaua wote...wakirudi wanauwa wote halafu wanawafukia kwenye kaburi moja.nina rafiki interahamwe alihamia hapa tz..alinihadithia..cha ajabu uchaguzi wa tz anapiga kura..na namba ya nida anayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utaharibu huu uzi kwa propaganda!! Ni lini hao wahutu walitamani wanawake wa kitutsi kingono?? Mkuu chuki huwezi ona uzuri wa mtu.

Kuhusu kubaka hao INTEREHAMWE wamebaka wanawake kibao huko Mashariki ya DRC nao watutsi?? Kubaka huwa ni silaha ya vita kama kuonyesha dominance kuwa ''Tumewaua na tumewachukua na wake zenu'' na imetumika tokea miaka ya Utawala wa rumi huko ndio sembuse wahutu??

Tupunguze propaganda mkuu
 
Rwanda na Burundi wanahitaji suluhisho la kimataifa (UN) sio wenyewe kwa wenyewe hili ni time bomb na PK analijua hilo ndomaana watusi wengi katika wenye uwezo jeshini akiwemo PK wanafamilia mbili kwenye nchi tofouti hususani Ug na Congo wanajua vzri kulipuana ni suala la mda tu

Conciliation au maridhiano baina ya hayo makabila mawili ningumu kwasabb chuki yao haina msingi ni ya asiri,

ni suala la UN kuingilia kati na kutawanya hivi vi nchi vi wili Burundi inchikuliwe na Tz na Rwanda iuunganishwe na DRC, then UN indeploye jeshi kubwa la kulinda Amani kwa kipindi cha miaka 10. Wa tusi million 4 tu hawatafanya lolote kwenye nchi ya watu 70m watamezwa tu.

hiyo mbinu ilichawahi kutumika ulaya mwaka 1830 ili kupunguza Austria Bel na Uholazi ila tu wazungu ni selfish kwenye masuala ya Africa Rwanda itaingia tena kwenye genocide nyingine with half a century.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umewaza mbali sana ila suluhisho lilishatolewa na mtawala wa kitutsi huko Burundi Prince Rwagasora? Aliamua kuoa Mhutu ili kuua ukabila ila watutsi wenzie walikataa na wakamuua.

So kama wakipitisha azimio waoane ili kumaliza tofauti zao itazaa matunda maana itakua ngumu kuua mtu sababu baba mhutu mama mtutsi cjui mjomba mtutsi alafu shangazi mhutu!! Hakuna vita hapo

RIP prince Rwagasore uliona mbali ila wenzio walikupuuza leo wanajuta
 
We ndo umenielewesha sasa.ahsante kiongozi
Kwa jinsi nilivyosoma na kufuatilia hayo yalikuwa mapigano ya koo na koo, maana kwenye tamaduni zote wako sawa.

Kinachokuja kuwatofautisha ni muonekano wa koo la Kitusi na Koo la Kihutu.
 
Mkuu kagame hakujipanga "msituni" bali alikua na back up ya serikali za kitutsi za Uganda na Burundi ambao pia baada ya kushika hatamu walimsaidia kuwateketeza wahutu waliokimbilia huko DRC.

Wahutu changamoto ni kwamba hawapo organized wala kimkakati kila mtu anapambana kivyake sasa ambacho wanaweza ni kutumia back up ya serikali za kihutu mfano Nkuruzinza na walitakiwa wahakikishe DRC anashinda mtu ambaye hayuko puppet wa Kagame!! Wamechelewa sana.

Maana kagame wakimvamia tu Museveni na Magu watamsaidia so watafeli!! Hapo bado DRC itawafukuza..... Ila kagame na watutsi walikua makini kabla ya uvamizi wanahakikisha serikali za jirani zipo mfukoni.

Hata alopovamia wahutu DRC alihakikisha ameshaongea na kaunda wa Zambia na Dos santos wa Angola kuwa wasiingilie vita. Sasa wahutu hawana ushawishi huo kwenye serikali zetu hivyo vita itakua ngumu sana

Fursa yao pekee ni kuhakikisha Nkuruzinza hatolewi kwa gharama yoyote lasihivyo ndio utakua mwisho wa ndoto zao kurudi Rwanda.
Hapa sasa nimepata mwangaza. Nashukuru. Naanza kuelewa kwanini Nkurunzinza hachomoki Burundi.
 
Mkuu inaonyesha hali ilikuwa tete, kama helcopta zingetumika zingeweza kushambuliwa na sura ya vita ingebadilika kutoka ya kikabila na iwe ya Rwanda na Tanzania.
Ikiwa ndege ya rais ilipigwa chini lolote lingeweza kutokea kwa ndege zetu pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maybe Yes, lakini yale mazungumzo ya radiocall baina ya Balozi na mtu asiyejulikana yananipa picha tofauti kuwa kulikuwa na uwezekano kabisa wa kufikisha chopper hapo bila kutunguliwa.
 
Back
Top Bottom