Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

2010 nilipeleka mzigo wa vifaa vya electronics kigali mwenyeji wangu yeye hanijui vizuri akawa ananiletea story za kibeho yeye na mkewe ni watusi akanilazimasha twende kibeho nikaenda kufika kwenye Yale makabati ya mafuvu nikahisi kuwa nataka kupandisha mashetani sijui ni pressure akashangaa sana nikamwambia uoga tu.angejua ....

Sent using Jamii Forums mobile app

we nae unaonekana unapumbazwa sana na imani potofu.
mtu aliyepita shule kidogo huwezi kuta anashadadia sijui "mashetani", "bikira maria".
 
Mbona una ni attack sana! Nakukera?

Sent using Jamii Forums mobile app

ulijifanya unajua maana ya neno "kimbari".
mshikaji kafafanua vizuri kabisa kukuelimisha. sasa cha ajabu unajifanye eti wewe na yeye wote maana yenu moja. kumbe ulikua chaka kabisaaaaa...
Usione aibu kuonekana mjinga kwa public, elimu ni bahari
 
Bila upendeleo wowote mbantu yeyote ni rahisi kuishi nyumba moja Mhutu kuliko kuishi nyumba moja na mtusi.

--:Mhutu analala na anakula chochote bila manung'uniko yeyote,unaweza akakaa kwako umemhifadhi ukawa unampaa mikazi migumigumu bila hata malipo na akatulia Tena asiwe na kinyongo chochote na kazi akakupigia fresh ili mradi usimuonyeshe Hali ya kumnyanyasa .

-: Mtusi ni mchaguzi kuanzia eneo la kulala Hadi chakula hata kazi ,kazi za nguvu hapana ukiishi nae kwako unaweza shangaa anataka uishi Kama anavyotaka yeye kwako mungu amewajalia kitu kimoja tu wako very Bright darasani basii

Sasa hii fursa ya kabila moja kuwa na miguvu na jingine kuwa na akili PK angeitumia vizuri kwakweli Rwanda ingekuwa kama nchi moja wapo tajiri barani ulaya ,bahati mbaya ametanguliza mtutu wa bunduki mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna raia humu wana roho mbaya, wanamshawishi baba yetu Bossless ahamishe stori kwenye kitabu

wanatamani stori ingekuwa yao wangetuhamisha watsap kwa kiingilio cha elfu 2
Mungu akaliona hilo ndo maana stori kampa mzee wetu

Ajabu watakopi na kuhamishia FB, ista na watsap, watajifanya wao ndio mzee Bossless na watawachangisha wenzao pesa ya kiingilio ili kupata stori


Sent using Jamii Forums mobile app

BANGO JEUPE dalali tapeli wa nyumba za kupanga Dar.
 
Bila upendeleo wowote mbantu yeyote ni rahisi kuishi nyumba moja Mhutu kuliko kuishi nyumba moja na mtusi.

--:Mhutu analala na anakula chochote bila manung'uniko yeyote,unaweza akakaa kwako umemhifadhi ukawa unampaa mikazi migumigumu bila hata malipo na akatulia Tena asiwe na kinyongo chochote na kazi akakupigia fresh ili mradi usimuonyeshe Hali ya kumnyanyasa .

-: Mtusi ni mchaguzi kuanzia eneo la kulala Hadi chakula hata kazi ,kazi za nguvu hapana ukiishi nae kwako unaweza shangaa anataka uishi Kama anavyotaka yeye kwako mungu amewajalia kitu kimoja tu wako very Bright darasani basii

Sasa hii fursa ya kabila moja kuwa na miguvu na jingine kuwa na akili PK angeitumia vizuri kwakweli Rwanda ingekuwa kama nchi moja wapo tajiri barani ulaya ,bahati mbaya ametanguliza mtutu wa bunduki mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Welcome back baba etu
Msalimie wife
 
ulijifanya unajua maana ya neno "kimbari".
mshikaji kafafanua vizuri kabisa kukuelimisha. sasa cha ajabu unajifanye eti wewe na yeye wote maana yenu moja. kumbe ulikua chaka kabisaaaaa...
Usione aibu kuonekana mjinga kwa public, elimu ni bahari
Nilisemakea tafsiri yangu na nikakubali kusahihishwa.halafu unaniita mjinga..tuheshimiane hata kama hatujuani.ungekuwa na wewe unaeleza unachokijua badala ya kudakiadakia hoja za watu.tumia lugha nzuri tafadhali na kwa mtazamo wa kujenga sio kubomoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nimesikitika sana nimehudumia member wa JF bila utapeli hadi leo niko huru hapa kutangaza kazi zangu

sijaelewa huyu member mwenzangu wa muda mrefu nimemkosea nini, kuniita tapeli kwenye uzi wa kinyama kama huu

Mimi nina post zangu humu za udalali na page yangu insta ipo active sijawahi chafuliwa kwa tuhuma za utapeli
Ana strees za maisha huyu mama[emoji23][emoji23][emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina wasi wasi na wahaya mana wako hivyo hawana undugu kweli na watutsi?
Bila upendeleo wowote mbantu yeyote ni rahisi kuishi nyumba moja Mhutu kuliko kuishi nyumba moja na mtusi.

--:Mhutu analala na anakula chochote bila manung'uniko yeyote,unaweza akakaa kwako umemhifadhi ukawa unampaa mikazi migumigumu bila hata malipo na akatulia Tena asiwe na kinyongo chochote na kazi akakupigia fresh ili mradi usimuonyeshe Hali ya kumnyanyasa .

-: Mtusi ni mchaguzi kuanzia eneo la kulala Hadi chakula hata kazi ,kazi za nguvu hapana ukiishi nae kwako unaweza shangaa anataka uishi Kama anavyotaka yeye kwako mungu amewajalia kitu kimoja tu wako very Bright darasani basii

Sasa hii fursa ya kabila moja kuwa na miguvu na jingine kuwa na akili PK angeitumia vizuri kwakweli Rwanda ingekuwa kama nchi moja wapo tajiri barani ulaya ,bahati mbaya ametanguliza mtutu wa bunduki mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wote ni kabila moja sema tu wanatofautiana tuseme Koo yaani za wahutu ni kama wabantu zaidi wa magharibi ya Afrika ila watutsi kama koo za Watu wa Ethiopia/Eritrea huko.

So wakoloni wakawagawa..... Ni sawa na leo mkoloni awagawe wachagga kwa kigezo cha weupe na weusi!! Kuwa wachagga weupe awaite watutsi na weusi awaite wahutu ilihali kabila lilelile tu!!

Na hili sio Rwanda tu limetokea Burundi na DRC pia hizi jamii haziwezi kaa pamoja ni kuchinjana kila siku mpaka leo huko Kivu.

Vita yes ni suala la muda tu ila kagame kajipanga sana mkuu ana support ya serikali zote zinazomzunguka hivyo chance yao labda wasubiri siku amefariki ghafla!! Wapate support ya wahutu wa ndani ambao ni 90% ukijumlisha na wahutu waliopo DRC zaidi ya million 2, jumlisha na wahutu wa Burundi aiseee hao watutsi mbona wanateketezwa ndani ya siku moja tu (Mungu aepushe)

Ila ni suala la muda tu

Unapomalizia na sentensi hiyo unamaanisha unaombea suala litokee??
nakuona kama mjinga hivi
 
Dah nimesikitika sana nimehudumia member wa JF bila utapeli hadi leo niko huru hapa kutangaza kazi zangu

sijaelewa huyu member mwenzangu wa muda mrefu nimemkosea nini, kuniita tapeli kwenye uzi wa kinyama kama huu

Mimi nina post zangu humu za udalali na page yangu insta ipo active sijawahi chafuliwa kwa tuhuma za utapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ananishambulia kinoma[emoji23][emoji23].nahisi kuna wilaya haipo sawa kwenye moja ya mikoa ya mwili wake..[emoji23][emoji23]hasa kule kaskazini unguja[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom