kookaburra
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 563
- 1,416
Twende taratibu..taratibu mkuuSijakupata ndugu nikisumila kiaje??
Hapana mkuu ni sehem ya maisha ya mwanadamAlikosea njia
Uongo mbaya huyo dada ananipenda hadi leo🤔 "MAPENZI YAKO NA NGUVU SANA"Kuna wanawake wana mioyo
Asante sana ndugu yanguKabla hujaendelea naomba nikupongeze mkuu kwa kuwa MJINGA
Kaka mi nilianza kugegeda tangu nipo darasa la saba
Sawa nduguSiyo makosa yako, mwanamme yeyote anayetunzwa na mwanamke huwa hana akili, umaskini wa akili kipato mpaka morals.
Ni laana kutunzwa kila kitu na ke.
nb: hakuna haja ya kumalizia.
pia samahani sana endapo nitakua nimekukwazaSawa ndugu
Dah! Una cheti? Nikuunganishe sehemu hivi,wanataka kuajiri msimamizi wa wahuni/zinzi😂🤣🤣🤣🤣Kaka mi nilianza kugegeda tangu nipo darasa la saba
Inaonekana anafanya maamuzi kwa kutumia hisia na sio akili.Uongo mbaya huyo dada ananipenda hadi leo🤔 "MAPENZI YAKO NA NGUVU SANA"
kumhudumia ndo kosa au?Kuna wanawake wana mioyo
Hapana! Ila kuendelea kumng'ang'ania Changudo..kumhudumia ndo kosa au?
huko nilishatoka zaman sana sasa naishi maisha mapya kabisaDah! Una cheti? Nikuunganishe sehemu hivi,wanataka kuajiri msimamizi wa wahuni/zinzi😂🤣🤣🤣🤣
afu hawa wenye miandiko ya hovyo ndo hua wanawawezeaHapana! Ila kuendelea kumng'ang'ania Changudo..