ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Sijakuelewaafu hawa wenye miandiko ya hovyo ndo hua wanawawezea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewaafu hawa wenye miandiko ya hovyo ndo hua wanawawezea
kumhudumia ndo kosa au?
sio kosa ila ulikuwa ni wakati wa shetani kutawala maisha yangu ndo maana mamb yalikua sio mambokumhudumia ndo kosa au?
yaani hawa majamaa walioko rough ndo hua wanawatesa wadada kwenye mapenziSijakuelewa
Sijakuelewa
Na mimi huwa naona hivyo...yaani hawa majamaa walioko rough ndo hua wanawatesa wadada kwenye mapenzi
yaani hawa majamaa walioko rough ndo hua wanawatesa wadada kwenye mapenzi
USipende kwenda kwa waganga! Ndo alichomaanisha😂Sijakuelewa pia
unaandika kama binti wa form 2 rafiki yanguHapana sio kweli kabisa
Akikutukana usilie😂unaandika kama binti wa form 2 rafiki yangu
Utarogwa shauri yako, mleta mada mwenyewe anapenda shirkiUSipende kwenda kwa waganga! Ndo alichomaanisha😂
Huwa sielewi inakuaje hadi mtu anaenda kwa waganga! Tena mwanaumeUtarogwa shauri yako, mleta mada mwenyewe anapenda shirki
Kwahiyo wanawake ni sawa?Huwa sielewi inakuaje hadi mtu anaenda kwa waganga! Tena mwanaume
Kwangu wote sio sawa! Ila wanawake atleast haina uzito kama wanaumeKwahiyo wanawake ni sawa?
Sidhani kama n sahihi ila mwamba alichokosea ni kubembeleza sana, kulia lia. Huenda angeomba msamaha alafu akaendelea na maisha isingefikia huko ilipofikia.Kwangu wote sio sawa! Ila wanawake atleast haina uzito kama wanaume
Mtu ukimpenda sanaa kuomba msamaha tu haitoshi😂 lazima ulielie unahisi labda atakuonea huruma.Sidhani kama n sahihi ila mwamba alichokosea ni kubembeleza sana, kulia lia. Huenda angeomba msamaha alafu akaendelea na maisha isingefikia huko ilipofikia.
Sasa ndio ulie mwaka mzima 😂Mtu ukimpenda sanaa kuomba msamaha tu haitoshi😂 lazima ulielie unahisi labda atakuonea huruma.
Hao wanaolia mwaka mzima sijui wanawezajeSasa ndio ulie mwaka mzima 😂
Ndio kama mleta mada mpaka anaenda kulia kwa wagangaHao wanaolia mwaka mzima sijui wanawezaje
Huwezi jua alichokua anapewa ndani ukiondoa zile boxers, pesaNdio kama mleta mada mpaka anaenda kulia kwa waganga