Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Nasubiri mwendelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejaa na kulima shamba vipi kwaniUpo shinyanga?
Ninesoma mwanzo nilipofika kati nikakutana na mambo ya ngono nikapuuza[emoji706][emoji706]WANA JAMVI HABARI ZENU!
Ninachokiandika hapa ni ukwel 100% na imenitokea mm hapa mwenyew wala sio hadithi ya kusimuliwa na m2!!
TUANZIE HAPA.
Mnamo mwaka 2015 nilihitim elim yangu ya kidato cha sita na wakat nipo mtaan nilianzisha mahusiano na dada mmoja hv aliyekua mjasiriamali mzuri 2 mwenye kipato kinachotosheleza maisha ya kawaida ya mtanzania, huyu dada tulishwahi kuachana zaid ya mara 3 yote hiyo kwa7bu ckua nampenda hata kidogo.
Sema nilikua naanzisha mahusian nae then inatokea sababu ndogo 2 namuacha solemba ila hiko kipindi ndo nmemalza shule nilitokea kumpenda tena na hata yy alinipenda kupindukia yaan alikua anahuduumia kwa karibu kila k2 hadi lodge tulizokua tunaenda kula tunda alilipia mwenywe kwa gharama zake (nyumban kwake alikua anaishi na ndug zake hvo haikua jambo la busara mm kua naenda kulia tunda hapo)
Asubh nakutana na sup maji makubwa,mchana wali samaki au nyama choma yaan kiukwel huyu dada alinipenda mnooo maana alikua ananipeleka shopping nachagua nguo ninazotaka hadi boxer alikua ananinunulia tena zilikua znakaribia kuzid idad ya nguo za kuvaa...kiufupi nilienjoy love yaan nilipendeza hadi sio poa.
MIMI NIKAWA KIKWAZO TENA CHA FURAHA YAKE[emoji22]
Nilipozidi kupendeza zaid wanawake wakaanza kunyapia nyapia Ohoooo! Niliwaburuza mbaya mbovu sio kina mama sio mabint yaan nilisaga kama Crusher linavyosaga mawe hadi kuna cku moja cwez sahau nilienda nae mkoa jirani tukala bata mnoo na mzigo alikua ananipa wotee yaan kama wote(alikua ni mwanamke haswaa yaan ni mwanamke kwel kwel maan kuna kipind nikiwa nae faragha hadi mate yanataka kudondoka the way alivyokua sex) ila sisi wanaume bhana bas 2[emoji1784],
Baada ya kama cku 3 hv tukarudi hyo cku yy hakwenda kazin alishind amelala 2 maan ucku wa jana jana alichezea mnooo[emoji23][emoji23].... akat yy kaenda kwake kupumzika mm nikaenda mageton kwa jamaa yangu (by then me nilikua napoa home 2) so pale kwa jamaa angu kuna manz nkampanga hyohyo asubhi na yy akachezea mamb ya studio had kne mchna mchna hv sasa huyo jamaa angu baada ya manz kutoka akaja akaniuliza "prince c umetoka kwa vaccation na shem leo2 sasa mbna tena untoka na mwnamke mwingine asubh yote hii??? Je shem angekufumania ungemjibu nn?? Duh yaan niliinama chn roho yangu ikanisuta sna but sikuacha hyo tabia.
Mara kadhaa tulipokua sote faragha nilikua na tabia ya kuzima cm au kuweka flight mode ambapo baadae aliigundua hyo tabia na cku moja alifanikiwa kuzijua patterns za cm yangu akasoma txt zote na picha zote za wanawake wengine hyo cku nilikua na kama nipo ndoton hv nilikiota kua kuna m2 pemben yangu analia kwa kilio chene kwikwi ndan yake[emoji848] ile najigeuza hv kumbe haikua ndoto bhana ni yeye Mpenzi wang alikua analia kimya kimya huku ameshika cm yangu[emoji1784] aloooo nilihis mwili unepigwa shot ya umeme yaan nilitetemeka balaa maana alikua amelowa hadi kne mapaja maan alikua naked kbsa, machozi yalimwagika kwa kas sana kile kitendo kiukwel kilinifanya nkajioan binadamu wa hovyo sna kne hii sayari maan istoshe hata hyo cm alikua ameninunulia yeye [emoji22]
NITAENDELEA NDUG ZANGU CM ITAZIMA NIKO KNE SAFARINI[emoji2217]
Karibu tena ndug yanguNinesoma mwanzo nilipofika kati nikakutana na mambo ya ngono nikapuuza[emoji706][emoji706]
Hovyo sna mkuuHawa viumbe wanatamaa sana
Ni kwel kbsa ndug yangu haya mamb yanatatiza sanaMwanamke akishaanza kukufokea, jua kuna mwanaume anambembeleza vizuri. Piga chini
Bwashee bado ukufanya mamuzi ya kigang..ex apew atention bro atakuuwa.NINAENDELEA [emoji871]
N.B Nitajitahidi kuandika kadri niwezavyo maana naona kuna baadhi ninawekera na hizo nitaendelea...(tuko na majukumu mengine nje ya jamvi)
HATIMAE NIKAPATA CHOMBO KIPYA
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya jamii nilipata kumuona mdada mmoja hivi ni mrembo haswaaa na hakua mgeni machoni mwangu kwani ni mtu ambaye tunaishi sehemu moja. Ni muda sasa tulikua hatuonana hivo alikua amebadirika sana (kawa mkali tofauti na mwanzoni naanza kumuona).
Basi nikatupa ndoano yangu na nikabahatika kuipata namba yake ya simu. Siwezi sahau tarehe wala siku hadi muda napewa namba. Nilikua mazingira ya chuo (kwenye vimbweta) nasubiri muda niingie maktaba kula pindi. Kwenye saa 9 hivi alasiri ndo alinitumia namba yake kiukweli nilifurahi sana na nikamuahidi nikitoka kula pindi nitamtafuta.
Kwenye saa 11 jioni nilitoka na nilipofika magetoni nikakoga haraka baada ya kutuliza wenge nikaona huu ni muda wa kutupa karata yangu ya kwanza kwa huyu mrembo.
Nilimpigia simu na akaipokea haraka sana,nkamjulia hali na kujua pia anaendeleaje toka muda ule wa mchana. Hakua na nyodo wala mbwembwe za kina dada wa siku hizi, yeye alinijibu alinipa ushiriano wa kutosha kabsa.
Me: Mambo P
Mrembo: Poa tu nambie...
Me: Sina neno ila nimefurahi sna ulivyopokea simu yangu na kunikirimu vizuri.
Mrembo: Usijari mbona kawaida tu!
Me: Me Prince sijui unanikumbuka?
Mrembo: Sio kukukumbuka tu sema ninakujua vizuri sana.
Me: Ahaaa basi ni vyema.
Mrembo: Poa
Me: P Samahani sana kama nitakua nimekuboa kwa hili ninalotaka kukuambia.
Mrembo: Kwani kuna nini tena??
Me: Wala hakuna kitu.
Mrembo: Sawa nimekuelewa we nambie ila ni kama unajua kitanikera ni bora tu usinambie kabisa.
Me: Hapana siwezi kufanya hivo(kumkera)
Mrembo: Basi sawa
Me: Bila kupepesa wala kufumba macho P nimetokea kukupenda sana na ningefarijika zaidi endapo ningalipita wasaa kwa kua na wewe katika hiki kipindi kifupi cha maisha yangu.
Mrembo: Na X je??(alikua anamjua yule bibie aliyeenda Dar kua nilikuaga natoka nae)
Me: Mmmh!! Yule bhana mambo hayakwenda sawa hivyo tumeshaachana!
Mrembo: Kisa nini tena hadi mkaachana na mlivyokua mnapendana vile?
Me: Naona haikua riziki yangu tu ndo mambo yalienda mlama.
Mrembo: Ahaa basi sawa
Me: Umeniacha njia panda sasa P.
Mrembo: Haya nimekubali!
Me: Kweli??
Mrembo: Ndio ni kwel kabsa.
Me: Asante sana P ninashukuru sana kwa hii nafasi uliyonipa me nakuahidi tu furaha tele katika maisha yangu
Mrembo: Nitashukuru sana endapo utasimamia maneno yako
Me: Ni kweli tena sintokuangusha kabisa!
Mrembo: Haya nitaona
Me: Karibu sana kwenye moyo wangu upate tulizo la roho yako!
Mrembo🙁akacheka sana) ila nyie wanaume bhana
Me: Wanaume wamefanyeje?
Mrembo: Mkiwa mnamtaka mtu hata kwa kutimiza haja zako tu si hua mnatuambiaga kua oooh nakupenda sana mara sijawahi kumuona mwanamke mrembo kama wewe ila mkipata mnachokitaka mnakimbia...
Me: Hao ni hao hao mimi ni mimi mama angu kwani sijaja kwako kwa ajiri ya kuwawakilisha wanaume wote duniani kwani kila mtu yukogo na namna ya interest zake akiwa anamtaka mwanamke.
Mrembo: Mmmh!! Nyie ni waongo sana mjue??
Me: Waongo ni hao mimi nimenyooka kama mchele wa Kyela sinaga hizo mambo mimi!
Mrembo: Yangu macho
Me : Asante sana P asante mnooo na Mungu atufungulie njia sahihi yenye mapito yaliyo mema!
Mrembo: Ameeen!
Kuanzia hapo ndo nikaanza mahusiano na mwanamke mwinginie ingawa yeye alikua nasoma chuo kilichopo mbali kidogo na mkoa ninaosomea.
Yule bibie mwingine nilikua nachati nae vizuri tu. Kuna siku nilikaa na kutafakari matendo aliyonifanyia huyu mwanamke (kwani yule jamaa nilapata namba za simu na nilimpigia na yeye akasema vile vile kua yule bado ni manzi yake na hawajahi kuachana, na hata hiyo siku anakuja mjini alilala kwangu mbona??).
Asubuhi moja nilimpigia simu akasema anaenda kanisani hivo akitoka tutaongea. Alivyotoka tu akanipigia. Sikua na muda wa kupotezea mimi nilimuambia kua kuanzia leo mimi na yeye basi yaani asithubutu kuyasogela maisha yangu kwani habari zake zote ninazo mkononi hivyo hana la kujitetea tena)
Kama kawaida yake alifoka sana. Mi nilimsililiza tu na nikaa kmya ila ipomaliza kuongea nikamwabia aingie whatsup. Alipoingia tu nilimtumia zile picha pamoja na screenshots za mazunguzo na yule jamaa akimwambia kua ataenda kulala kwake baada ya sherehe.
Alinipigia simu huku akiwa na wenge la hatari akaniomba msahama na kunambia huyo jamaa ni kweli ilitokea hivyo ila sasa ameamua kabisa kua na mimi na hawezi rudiana na huyo jamaa tena kwani anachofikiria ni maisha yake tu basi.
Msimamo wangu ulikua ni ule ule kwamba mimi na yeye ni basi. Akanambia ananipa wiki mbili nijifikirie juuu ya maamuzi yangu ili nisije jutia baadae.
Jibu langu lilikua ni."hata kama nitaishi miaka 1000 kwenye hii dunia, jibu lang halitobadika hadi naondoka duniani.
Alilia sana ila me nlikua kama naangalia Isidingo "The Need" maana sikua nampa attention tena.
Nilikata simu nikaendelea mamb yangu Hiyo siku alipiga simu sana wala sikuitafuta tena no yake..
Me na baby mama wangu mpya mambo yalikua niya moto sana.
Zilipita kama siku 5 hivi yule manzi wangu wa Dar alinipigia simu huku alikilia kwa uchungu sana kwani aliona nimemuweka dp baby wangu mpya(walikua wakifahamiana vizuri sana).
Aliniomba namba zake ampigie waongee kama wanawake ili walimalize hilo jambo la kichukuliwa mwanaume na mwanamke anayefahamiana naye.
Nilikaa chini nikatafari juu ya kumpa no ila jibu lilikuja ni NO kwani nilihofia angeweza kuongea uongo ambao ungepelekea mimi kupigwa chini.
Nilichomwambia tu kua nitampigia na wewe nitakupigia baadae halafa nitawaweka kwenye CONFERENCE
Ili kila mtakalo ongea na mimi nisikie na endapo utaongea maneo ya kichinganishi nitakata simu na hautoongea nae tena.
Alikubali na niapiga simu na nikawa nawasikiliza:
X: P mambo vipi?
P: Safi tu za kwako?
X: Ni njema kabisa
P: haya nambie maana nimeambiwa ulikua unaniulizia sana
X: Ni kweli niko na shida sana na wewe na shida yenyewe ni kuhus Prince.
P: Shida gani hiyo?
X: Ni kuhusu Prince
P: Sawa nakusikiliza...
X: Hivi P kwani ulikua hujui kama Prince ni mpenzi wangu?? Mimi na yeye tuligombana tu na nipo tayari kuzitoa tufauti zetu ili tuendelee na mapenzi yetu hivo ninakuomba uniachie Prince wangu kwani ninampenda sana.
P: Sawa mi sina neno kazi ipo kwa Prince
X: Hivi Prince kati ya mimi na P unampenda nan hasa?
Me: Ninampenda P, ninampenda sana!
X: Tafadhari P usinifanyie hivo yaliyopita si ndwele tugange yajayo baba angu!!
Me: Kama imeshindikana kurudisha masaa nyuma basi ujue mimi siwezi kurudi kwako abadani!! Naomba uniache na usinisumbue tena!!!
X: Akaanza kulia na alilia hadi kamasi zikawa zinatoka kwani nilimiskia akipyenga mara kadhaa wakati akilia.
Sikupindish maneno hata kidogo mi nilimueleza hali halisi na nilipoona anazidi kulia nikamwambia nitaikata simu muda si mrefu akiendelea kulia.
Alipunguza kulia ila akanambia," kama mimi X mimi nilikutoa huko kusikojulikana hadi P akakuona kua unafaa kua nae basi Mungu atanilipia, ila tu P nikuahidi kua hamtadumu hata miezi 6 na Prince kwani tabia ya kutorizika na mwanamke pia kama mtadumu zaid ya hiyo miezi 6 labda mimi sio X. Akakata simu huku bado analia[emoji848]
BAADA YA MIAKA MIWILI PENZI LANGU JIPYA LIKAINGIA DOSARI[emoji22]
NITAENDELEA[emoji2217]