ni kweli lakini kiasi ninachokwambia kitaboresha afya yako unachanganya na majiwine ni pombe ! mi sinywi pombe
Basi nenda kanisani kama umbea uta utaupata Wakutosha waki MunguKukusanya umbea
Alafu tabia yakubadirisha majina ww unadhumuni ganiKirikuu leo kaongea point 😹😹😹
Kwaiyo siku zote nipo pumbalessKirikuu leo kaongea point 😹😹😹
Vijana mrudieni Mungu muishi kwa imaniNimegundua jf walevi wengi sana
Usiende barWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
Kunywa juiceWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
Ukiwa bar ww kula Nyama tu na majiWakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya huwezi kunywa saa moja
2.Grand malta
-Hii inanikera inaleta nzi, mapovu kibao
3.Maji na Energy
Nzuri sana unakuwa na kavibe lakini shida haya maenegy kunywa energy mbili si kiaafya siyo poa naona nakunywa sana…
Hebu nipeni vinywaji vinavyoburudisha bila ya kileo
(1) Sio lazima kwenda Barheee nisaidieni jaman huyu jamaa
Amesema huko ndio anakutana na watu wanaompa michongo.Kwani lazima uende bar?
Nna ban bana kirikuu mambo mdogo angu??Alafu tabia yakubadirisha majina ww unadhumuni gani
Kwani wewe hujui 😹😹😹Kwaiyo siku zote nipo pumbaless