Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Shetani anajiinua.Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Thnking capacityunaposikia afya ya akili wewe una dhani nn hasa kinazungumzwa ?
Hao ni wehu!!! Mtu mwenye akili timamu hawezi kuvaa hivyo.unaposikia afya ya akili wewe una dhani nn hasa kinazungumzwa ?
Kwahio sinza ndio kuna joto kali kuliko kwingine?Joto kali
Wanamuinua bhnaShetani anajiinua.
Usodoma na ugomora ndio unaingia Sasa Kwa nguvu.Wanamuinua bhna
Nakazia.Mambo yao waachie wenyewe...
Undeleee kutembea na boksa yako sioKisichokuhusu Achana nacho!
Aibu sanaMambo yao waachie wenyewe...
Afya ya akili kwa kila mtu na angle yakekuhusu afya ya akili unamzungumzia mtoa mada au wakaa uchi
Nipo Tegeta Nyuki huku wanavaa hivyo hivyo..sasa shida itakua nini?Kwahio sinza ndio kuna joto kali kuliko kwingine?
Kwa mwanamke utasema anauza mbunye yake haya kwa mwanaume nae auzankengele?Nipo Tegeta Nyuki huku wanavaa hivyo hivyo..sasa shida itakua nini?
You dont have fram workUmeshindwa hata kupakua picha mtandaoni utuwekee!!?
Live and let live!Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?