bhakamu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 813
- 787
Lakini macho hayana pazia eti, wafiche tu hayo mavibumbu Yao bhanaNakazia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini macho hayana pazia eti, wafiche tu hayo mavibumbu Yao bhanaNakazia.
Mimi sikai mkoaHapana bhna na mkoan nasikia mnaiga
Kumbe poaMimi sikai mkoa
Mjini shule, unataka wakajiuze wapi? Wengi wanasema Dodoma ni mbali, wanawasubiri wabunge warudi mjini.Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Weka picha ya wanaotembea na boksa, nashindwa kuamini hiliUndeleee kutembea na boksa yako sio
Weka picha ya wanaotembea na boksa, nashindwa kuamini hili