Sinza baadhi ya watu acheni kukaa uchi, yaani wake kwa waume

Sinza baadhi ya watu acheni kukaa uchi, yaani wake kwa waume

Ma tamthilia hayo...mtu anakesha kuangalia mi series ya movies bac kazi ni kuiga mauchafu uko, nimekuja kugundua baadhi ya wanawake wamejifunza mbinu nyingi za kuchepuka kupitia hayo ma series na matamthiria

Ahahahah kwahiyo tuwakataze
 
Hellow africa

kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu

Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa

Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Tupia vipicha kidogo tufanye assessment.
 
Anachokisema mleta mada, mimi pia huwa nakifikiria sana pindi ninapokutana na mtu aliyevaa namna hiyo.

Mimi kuvaa pensi inaishia kuwa exposed mbele ya mke wangu pekee.

Imagine wengine wanatembea nje huko kama hawa wanaozungumziwa hapa.

Hatukatai maendeleo ya usasa ila inapitiliza sana, tuchuje vya kufuata na kufanya, sio kila kitu cha kufuata na kukifanya
 
Hellow africa

kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu

Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa

Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
sinza ni kamtaa fulani hivi kahovyo..
 
Anachokisema mleta mada, mimi pia huwa nakifikiria sana pindi ninapokutana na mtu aliyevaa namna hiyo.

Mimi kuvaa pensi inaishia kuwa exposed mbele ya mke wangu pekee.

Imagine wengine wanatembea nje huko kama hawa wanaozungumziwa hapa.

Hatukatai maendeleo ya usasa ila inapitiliza sana, tuchuje vya kufuata na kufanya, sio kila kitu cha kufuata na kukifanya
Ata pensi zipo za heshima lakini sio vile vinjunga wanavyo vaa ni booksa zile
 
Picha vipi mkuu.Humo mlimani City ni kawaida kukuta watu wanatembea vifua mbele na kwa kujiamini wakiwa na vyupi
 
Hellow africa

kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu

Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa

Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Upo powaa....

Kapicha kidogo tuone 😊 😊🤓😂
 
Ni sinza hii hii ya Sheby namjua/
namwita sheby ameuchubua/
au I'm not sure/
nikiangalia body ya ya gari ngaringari mwendo kama pasta joshua.....
Ati kuna habari/
Kwamba watu wanaponda mali/

[emoji445]Mind your business[emoji445]
Darasa

Punchlines
 
Hellow africa

kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu

Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa

Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Hili la wabongo kusema ''now day'' huwa linaniacha hoi kweli kweli.
 
Hellow africa

kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu

Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa

Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi
 
Utashangaa. Tunaishi Sinza na bado Tunampenda na kumtii Mungu pamoja na yote hayo. Ni uamuzi tu.
 
Back
Top Bottom