Sinza baadhi ya watu acheni kukaa uchi, yaani wake kwa waume

Sinza baadhi ya watu acheni kukaa uchi, yaani wake kwa waume

Hellow africa

kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu

Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa

Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Screenshot_20230514-200038_Gallery.jpg
 
Watu wazima hao wasikuumize kichwa ,hata wakitaka kutoka uchi watajijua wenyewe.Kwa kuhitimisha ila mjini kuna mitoto jamani.
 
Hellow africa

kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu

Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa

Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Pia kuna sehemu inaitwa kaloleni Arusha, tena huko hakuna joto lakini watu wamejitoa ufahamu
 
Wasanii wetu ndio wanaotuongozA.Simba mara ngapi anavaa kipensi cha ajabu.
 
Mleta uzi umeshindwa kweli kuvaa hizo nguo ujipige picha ili tuone. Sa tutajadili vipi bila kuona? Wengine tuko Gamboshi tunalima na wachawi.
 
Wengine wanaiga nini?
Ma tamthilia hayo...mtu anakesha kuangalia mi series ya movies bac kazi ni kuiga mauchafu uko, nimekuja kugundua baadhi ya wanawake wamejifunza mbinu nyingi za kuchepuka kupitia hayo ma series na matamthiria
 
Hellow africa

kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu

Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa

Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Mkuu we mgeni mjini?
Umekuja mjini na treni kufuatilia mafao yako nn?[emoji1787][emoji1787]
Yaani hayo ni mambo ya kuuliza kabisa au hujui kwamba huko mjini kuna pirau na biriani?
 
Back
Top Bottom