Mwenendo na maadili mabovu vinaathiri wengi - ni maslahi na urithi wa jamiiKisichokuhusu Achana nacho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenendo na maadili mabovu vinaathiri wengi - ni maslahi na urithi wa jamiiKisichokuhusu Achana nacho!
Swali gani hili.kuhusu afya ya akili unamzungumzia mtoa mada au wakaa uchi
Kila mtu anaishi maisha yake mkuu kikubwa uzima, kesho ukisikia milio na kuna turubai jua jioni tunaenda kuzikaMnaishije sasa
Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Dah![emoji23] So poaJoto kali
Pia kuna sehemu inaitwa kaloleni Arusha, tena huko hakuna joto lakini watu wamejitoa ufahamuHellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Unaliliapicha sana,unataka uone nini? Au ndio hamasa unatafutia hapa kwenyepicha?Ninyi mnaojadili mmeona anacholalamikia? Kwanini hakuweka picha?
Ma tamthilia hayo...mtu anakesha kuangalia mi series ya movies bac kazi ni kuiga mauchafu uko, nimekuja kugundua baadhi ya wanawake wamejifunza mbinu nyingi za kuchepuka kupitia hayo ma series na matamthiriaWengine wanaiga nini?
Kapicha muhimu angalau nasi tuwaoneUmeshindwa hata kupakua picha mtandaoni utuwekee!!?
Sinza yote iyoWapimwe mkojo
Sinza ipi sasa sinza kubwa ujue
SoC03 - Jinsi Fursa nchini Burundi zinazoweza kubadili maisha na kuongeza kipato chako
UTANGULIZI Habari za muda huu wanajamvi,Kila mtu anahistoria yake katika safari ya utafutaji wa riziki,Wapo wenye historia za kusikitisha,kufurahisha na kuelimisha. Mwaka 2019 wakati dunia imekumbwa na mlipuko wa uviko 19,Na kupelekea kazi,Masomo na Shughuli mbalimbali kusimama.Nilipata...www.jamiiforums.com
Mkuu we mgeni mjini?Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Anauza kijambioKwa mwanamke utasema anauza mbunye yake haya kwa mwanaume nae auzankengele?