Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Mambo ya nusu bei[emoji39]Kuna jirani yangu ndio tabia yake sasakazoea naona morng unamkuta njee na boksa anafagia uwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya nusu bei[emoji39]Kuna jirani yangu ndio tabia yake sasakazoea naona morng unamkuta njee na boksa anafagia uwanja
Huko hakuna joto sababu mnaishi marehemu watupu huwa hakuna zile shughuli za uzalishaji wa jotoMchina mbona uku makaburini hakuna joto
Ni kweli kabisa maana wanyama wenyewe hutembea uchi kabisaWenyewe wanakwambia "Unyama mwingi" " full unyama "
Ni full kupigana miti mpaka siku Yesu atakaporudi[emoji1]Mnaishije sasa
Kujisitiri n jambo la heri labda uwe mpaganiKisichokuhusu Achana nacho!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]unaposikia afya ya akili wewe una dhani nn hasa kinazungumzwa ?
Hatari sana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nadhani kuna watu hawana ufahamu kuwa boksa ni aina ya chupi tu. Nakumbuka kuna siku niliwahi kuleta uzi nikisema niliwahi kupanda bodaboda mida ya alfajiri jamaa anaendesha amevaa boksa kuna watu wakadhani ni chai tu.
WW haujui kuwa wanaume tumeumbiwa mateso mkuu watu hawatak mateso wameleftWanaume nao wanatangaza nini?
Wala sio chai sikuiz limegeuka vazi la kutokea kabisaNadhani kuna watu hawana ufahamu kuwa boksa ni aina ya chupi tu. Nakumbuka kuna siku niliwahi kuleta uzi nikisema niliwahi kupanda bodaboda mida ya alfajiri jamaa anaendesha amevaa boksa kuna watu wakadhani ni chai tu.
WW haujui kuwa wanaume tumeumbiwa mateso mkuu watu hawatak mateso wameleft
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipite huko hautaona hivyo vituko. Mimi naweza kaa miezi hata sita sijakatiza huko sinza.
Ni full kupigana miti mpaka siku Yesu atakaporudi[emoji1]
Halafa utasikia janaume fulani maeneo ya kule wapi sijui eti ana demu anataka kuoa anakaa Sinza aka ndembendembe rojorojo kitu laini maji kama yote bwereree
Mambo ya nusu bei[emoji39]
Mkuu we mgeni mjini?
Umekuja mjini na treni kufuatilia mafao yako nn?[emoji1787][emoji1787]
Yaani hayo ni mambo ya kuuliza kabisa au hujui kwamba huko mjini kuna pirau na biriani?