Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
Njoo mjiniTupia tupicha , wa mikoani bado tuna tongo tongo...😳😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo mjiniTupia tupicha , wa mikoani bado tuna tongo tongo...😳😳
Huko siwezHamia mbagala mkuu
😂😂😂😂 kwahiyo unatak kusemaje?Mimi hii nyumba nayoishi kuna jirani toka nimehamia sijawahi kumuona na mwanandani, inawezekana huwa anavaa wakati mvua inanyesha tu
hahahahaha duhSasa wakifunika bidhaa nani atashawishika kununua?
UpumbavuWenyewe wanakwambia "Unyama mwingi" " full unyama "
Joto wanaona peke yao tuWanasema Sinza Joto
😂😂😂 akili yako unaijua mwenyeweNimeiingia mnadani Corner Bar Sinza kupunguza nguvu na stress katika kuchagua wakunitumikia naangalia mapaja na trako sasa mvaa hijabu hapa haauzi.
Waige vinavyowafaa.Wengine wanaiga nini?
akataaaJoto kali.
We umeona Sinza tu ? Fika Tabata ujionee dunia inaenda Kasi sana,Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Ahahah kuna wasijua kuchaagua vya kuiga piaWaige vinavyowafaa.
Mnaishije sasaWe umeona Sinza tu ? Fika Tabata ujionee dunia inaenda Kasi sana,
Magasho wazee wa upinde unajua wanavaaje au kwa kua ana madevu ndio yamekupagawisha ? Kuna uvaaji fulani hivi km amevaa jump suit sio jump suit yaan kibukta na vest Pana Pana mapaja yote njeKwa mwanamke utasema anauza mbunye yake haya kwa mwanaume nae auzankengele?