Hiv nyinyi vijana wa dot com mnaijua 1b kwel?...au hata hyo 800 au 600...mnaijua kwel au ndo stor za vijiwen....mtuulize sis wenye mijengo.kwa haraka haraka pale lachaz naweza kwambia na mbwbwe zoote zile haizid 250m......usichanganywe ma zile mbao za pellets pale..zile ukizitaka nakupeleka had wanakouza moja 600..mi ka glocery kangu somwea nimeweka hvyo hvyo kama lachaz...achen ku imagine vtu....
Mbongo anajenga nyumba ya 300m ..anakuja tangazia watu oooh hii 800m...nakaaga nasema dah...
Kumbe kwa 300M naweza aanzisha Bar kali huko sinza ausioHiv nyinyi vijana wa dot com mnaijua 1b kwel?...au hata hyo 800 au 600...mnaijua kwel au ndo stor za vijiwen....mtuulize sis wenye mijengo.kwa haraka haraka pale lachaz naweza kwambia na mbwbwe zoote zile haizid 250m......usichanganywe ma zile mbao za pellets pale..zile ukizitaka nakupeleka had wanakouza moja 600..mi ka glocery kangu somwea nimeweka hvyo hvyo kama lachaz...achen ku imagine vtu....
Mbongo anajenga nyumba ya 300m ..anakuja tangazia watu oooh hii 800m...nakaaga nasema dah...
Labda eneo liwe lakwako na utaanzisha bar ya kawaida sanaKumbe kwa 300M naweza aanzisha Bar kali huko sinza ausio
Kali tu...pale kwa mbele si uwoya alikua na ka dude kake..pale kama unaenda wanyama ...unahis kale kalifika hata 30m...Kumbe kwa 300M naweza aanzisha Bar kali huko sinza ausio
KudadadekiMh...! Fedha haina kabila, fedha haina dini, fedha haina baba, fedha haina mama, fedha haina mke/mume. Kwenye mambo ya fedha usimwamini mtu yoyote na wkati wowote. Pigia mstari haya maneno. Mimi nilidhulimiwa na mnyasa (watu wanasema ni watu wapole) na alinikana kwa macho makavu kabisa bila kutetereka.
Naomba hata nisiseme. Na sisi tuko na changamoto nae. Hoping hatutafika kupelekana mbali
Hahaha acha dhereu, last minute ilikula si chini ya 150M! Ndugu yangu ndio aliisimamia design toka inaanza to the end.Kali tu...pale kwa mbele si uwoya alikua na ka dude kake..pale kama unaenda wanyama ...unahis kale kalifika hata 30m...
Kidiwise unamaanisha Kidimbwi....?Ukitaka watoto wakal nenda kidiwise au pale tanzanite building victoria kwenye swiming pool kule juu
Mkuu...mjini mipango yule urio ni born town kitambo..na wenzio wanavyofanya investment kama hyo usidhan wanafanya fanya tu..kwanza ..mule ndan anaweka appliances zote used..kuanzia Ac..TV..mziki ..vile vitu vya electronics..hawanunuag vipya wajanja hata sku1..pale chin si umeona tiles vipande vipande..kuna sehem vinauzwa vile vipande...vilivyopasuka....majiko yake ni ya kawaida sana..viti ndi usiseme..katumia mbao za pelets..yaan zile mbao ukinunua za lak5..zinafanga maajabu..mabango ya nje kidogo ndo atakua kanunua nunua bei nzur....labda na paa lake...rang sjui na takataka zingne..bei ya kawaida tu..Mkuu hebu twende taratibu. Kwa mfano kukodi eneo kama lile kwa mwezi we unadhani anaweza akawa analipa bei gani?
Kwani kishakufaKali tu...pale kwa mbele si uwoya alikua na ka dude kake..pale kama unaenda wanyama ...unahis kale kalifika hata 30m...
Humu ndani kumejaaa watoto wengi sana under age maana hata comment zao unaziona tu za kitoto kitoto ukifatilia wote wadogo na wanafunzi wa maisha na hawayajui maisha hata kidogo....wanaona sifa kujisifia wanakunywa pombe za mamilioni.....ila zaidi watu tumetofautiana kwa kiasi kikubwa sana kiakili na kimaendeleo....Hiv nyinyi vijana wa dot com mnaijua 1b kwel?...au hata hyo 800 au 600...mnaijua kwel au ndo stor za vijiwen....mtuulize sis wenye mijengo.kwa haraka haraka pale lachaz naweza kwambia na mbwbwe zoote zile haizid 250m......usichanganywe ma zile mbao za pellets pale..zile ukizitaka nakupeleka had wanakouza moja 600..mi ka glocery kangu somwea nimeweka hvyo hvyo kama lachaz...achen ku imagine vtu....
Mbongo anajenga nyumba ya 300m ..anakuja tangazia watu oooh hii 800m...nakaaga nasema dah...
Upo juu kule minaonaga kwenye Video tu zakina Lunya, Rosa lee nkKidiwise unamaanisha Kidimbwi....?
hapo Tanzanite building,Victoria bar ipo floor ipi!??
Ile ya uwoya ndo kabisaa..nisiongee sanaHahaha acha dhereu, last minute ilikula si chini ya 150M! Ndugu yangu ndio aliisimamia design toka inaanza to the end.
Pale pa uwoya pa kiseing kweli nishakaaga kunywa pale.....Kali tu...pale kwa mbele si uwoya alikua na ka dude kake..pale kama unaenda wanyama ...unahis kale kalifika hata 30m...
Barabara ya mori kama unaenda kwa Kakobe mkuu.La chaz ipo sehemu gani sinza? Na bia kubwa ni sh ngapi? Nataka niwe naenda kupoza koo.
Kuna kitu gani kipya pale ambacho kitaweza kufika hiyo hela kama wengine wanavyosema zile mbao mbao au??tuwe serious humu ndani....na ndugu yako alisimamia design yes what about material coz hapo umeongea vitu viwili tofauti kabisaaa..... Unaweza kuwa na design yes na still ukajenga affordable house...Hahaha acha dhereu, last minute ilikula si chini ya 150M! Ndugu yangu ndio aliisimamia design toka inaanza to the end.
Kutoka Sinza Mori kwenda Mwenge mpakani kuna balabalaBarabara ya mori kama unaenda kwa Kakobe mkuu.
Huo mtaa wote ni laana usipite kwa mguu usiku ukiwa umeongozana na mtu wa heshima utaaibika.
Ila kuongea rahisiKuna kitu gani kipya pale ambacho kitaweza kufika hiyo hela kama wengine wanavyosema zile mbao mbao au??tuwe serious humu ndani....na ndugu yako alisimamia design yes what about material coz hapo umeongea vitu viwili tofauti kabisaaa..... Unaweza kuwa na design yes na still ukajenga affordable house...
Unatokea petrol station ya BIGBONKutoka Sinza Mori kwenda Mwenge mpakani kuna balabala