Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Hiv nyinyi vijana wa dot com mnaijua 1b kwel?...au hata hyo 800 au 600...mnaijua kwel au ndo stor za vijiwen....mtuulize sis wenye mijengo.kwa haraka haraka pale lachaz naweza kwambia na mbwbwe zoote zile haizid 250m......usichanganywe ma zile mbao za pellets pale..zile ukizitaka nakupeleka had wanakouza moja 600..mi ka glocery kangu somwea nimeweka hvyo hvyo kama lachaz...achen ku imagine vtu....

Mbongo anajenga nyumba ya 300m ..anakuja tangazia watu oooh hii 800m...nakaaga nasema dah...

Mkuu hebu twende taratibu. Kwa mfano kukodi eneo kama lile kwa mwezi we unadhani anaweza akawa analipa bei gani?
 
Hiv nyinyi vijana wa dot com mnaijua 1b kwel?...au hata hyo 800 au 600...mnaijua kwel au ndo stor za vijiwen....mtuulize sis wenye mijengo.kwa haraka haraka pale lachaz naweza kwambia na mbwbwe zoote zile haizid 250m......usichanganywe ma zile mbao za pellets pale..zile ukizitaka nakupeleka had wanakouza moja 600..mi ka glocery kangu somwea nimeweka hvyo hvyo kama lachaz...achen ku imagine vtu....

Mbongo anajenga nyumba ya 300m ..anakuja tangazia watu oooh hii 800m...nakaaga nasema dah...
Kumbe kwa 300M naweza aanzisha Bar kali huko sinza ausio
 
Mh...! Fedha haina kabila, fedha haina dini, fedha haina baba, fedha haina mama, fedha haina mke/mume. Kwenye mambo ya fedha usimwamini mtu yoyote na wkati wowote. Pigia mstari haya maneno. Mimi nilidhulimiwa na mnyasa (watu wanasema ni watu wapole) na alinikana kwa macho makavu kabisa bila kutetereka.
Kudadadeki
 
Mkuu hebu twende taratibu. Kwa mfano kukodi eneo kama lile kwa mwezi we unadhani anaweza akawa analipa bei gani?
Mkuu...mjini mipango yule urio ni born town kitambo..na wenzio wanavyofanya investment kama hyo usidhan wanafanya fanya tu..kwanza ..mule ndan anaweka appliances zote used..kuanzia Ac..TV..mziki ..vile vitu vya electronics..hawanunuag vipya wajanja hata sku1..pale chin si umeona tiles vipande vipande..kuna sehem vinauzwa vile vipande...vilivyopasuka....majiko yake ni ya kawaida sana..viti ndi usiseme..katumia mbao za pelets..yaan zile mbao ukinunua za lak5..zinafanga maajabu..mabango ya nje kidogo ndo atakua kanunua nunua bei nzur....labda na paa lake...rang sjui na takataka zingne..bei ya kawaida tu..

Kodi ndo atakua anapasuka pale..si chin ya 5m.sasa ukipiga hyo kwa haraka haraka kwanza hata hyo 250m nimezidisha
 
Hiv nyinyi vijana wa dot com mnaijua 1b kwel?...au hata hyo 800 au 600...mnaijua kwel au ndo stor za vijiwen....mtuulize sis wenye mijengo.kwa haraka haraka pale lachaz naweza kwambia na mbwbwe zoote zile haizid 250m......usichanganywe ma zile mbao za pellets pale..zile ukizitaka nakupeleka had wanakouza moja 600..mi ka glocery kangu somwea nimeweka hvyo hvyo kama lachaz...achen ku imagine vtu....

Mbongo anajenga nyumba ya 300m ..anakuja tangazia watu oooh hii 800m...nakaaga nasema dah...
Humu ndani kumejaaa watoto wengi sana under age maana hata comment zao unaziona tu za kitoto kitoto ukifatilia wote wadogo na wanafunzi wa maisha na hawayajui maisha hata kidogo....wanaona sifa kujisifia wanakunywa pombe za mamilioni.....ila zaidi watu tumetofautiana kwa kiasi kikubwa sana kiakili na kimaendeleo....
 
Hahaha acha dhereu, last minute ilikula si chini ya 150M! Ndugu yangu ndio aliisimamia design toka inaanza to the end.
Kuna kitu gani kipya pale ambacho kitaweza kufika hiyo hela kama wengine wanavyosema zile mbao mbao au??tuwe serious humu ndani....na ndugu yako alisimamia design yes what about material coz hapo umeongea vitu viwili tofauti kabisaaa..... Unaweza kuwa na design yes na still ukajenga affordable house...
 
Kuna kitu gani kipya pale ambacho kitaweza kufika hiyo hela kama wengine wanavyosema zile mbao mbao au??tuwe serious humu ndani....na ndugu yako alisimamia design yes what about material coz hapo umeongea vitu viwili tofauti kabisaaa..... Unaweza kuwa na design yes na still ukajenga affordable house...
Ila kuongea rahisi
 
Back
Top Bottom