Tukupe uzi mzee baba La Napole maana umeumilikiVijana nyie sielew mnashangaa nin..ni vijana wa mkoan nn...hiv unajua usipokua na speed ya utaftaj mjin huku utakua na hasira tu mda wote...ukitaka uone gap la vijana wenzio hudhuria ma event haya...ukiskia sjui diamond ana show nenda ukiskia miss Tz.nenda ukiskia sjui nn.hudhuria.halaf uone vijana umri wako wanaskuma ndiga gan..au wanamilik madem wa aina gan..ukikaa umejifungia ndan tuu utahis wote mko sawa..yaan haujichallenge maisha....vijana tembeen mujionee..msipitwe na muda....
Achana na vijana hawa. Wanahis muda unawasubiri..wanahis u need an extra cash to start somethin ...tatzo hawana hata clue ya whats realy goin on huku kwenye biashara....yule fredy vunjabei katajirikia kariakoo..jamaa sio muoga ndo kinachompa pesa.haogop kuweka hela. .pale kkoo kama unajua mifumo ya pale unatajirika in a minute...mim mwakan ndo naingia rasmi kkoo.mentor wangu amemaliza kaz nimebak mim tuu kuingia miguu miwil kkoo. Hapo kkoo kuna pesa had unaweza hisi ni miujiza..so waache vijana waendelee na day dreamingJamaa yupo Smart tu angalia suala limeanzaje, akitaka kufanya marketing ya chimbo lake nafikiri atatangaza na ID nyengine ambayo sio famous.
Wewe ni muhuniOkay ...am home now..soo lets start like this
Pendeza..nukia...dont wear cheap fragrance..yaan uwe na scent ile ambayo ukipishana na mtu anageuka..lavender si lavender yaan unukie vzur..ujue sis wengne uki wear cheap perfume tunajua[emoji16]
Okay..kwenye nguo najua utakua unajua mwenyew..iwe casual or ki executive fresh tuu
Sasa ukifika pale..usiende kukaa kwenye kiti..maana utamu attract muhudum aje akuskilize..na hapo tayar umefanya kosa
Ukiingia tu moja kwa moja nenda kaunta cheka na mtu wa kaunta kama unamjua vile..kwa sisi wenye sound hii ni kitu rahis sanaaa[emoji16]
Pale sasa..kama unakunywa pombe..usiagize ma bia bia.achana nayo..kama kuna shots you can handle mwambia nipe shot unashtua kwanza..kwa sie ma konki ambao tayar ni famous maeneo hayo..shot ya 4000 nauziwa buk3 na wale wadada[emoji3]....
Kwanza kama kuna mtu hapo anakuangalia atasema dah huyu dada ni foreigne nin..maana una confidence ya hatar...
Hapo inakua tayar buku 4 imeenda...unakaa sasa unamwambia muhudum kama ana spirits au kilev chochote chenye kuanzia 35%...or kama hunywi pombe bas unaagiza chochote hapo nzur ni juice au hata cocktail flan ambayo haina kilev kikal..kama ni mtu wa pombe bas unamwambia akupe red label au k vant or wateva kachupa kadogo..mwambie akupe na li glass likubwa lile. Yaan hapo unaongea nae kama mshkaj kwa confidence. "akuwekee humo kwenye li glass lile la cocktail kubwa akuwekee na limao juu. Yaan aipambe glass vzur..halaf unachkua glass yako then unaenda kaa..kwa wewe mdada nenda kakae kwenye kochi usikae kwenye kiti kigum..tena kwa jeur unakaa hapo na kamto unakaweka vzur unaegemea na miguu kama una mguu mzur unauweka kama umekaa kwenye kochi la nyumban..aisee..mi ukinikuta na shemej yako maeneo.utadhan tuko sebulen kwetu...sasa ukifika muda wa msos...kwanza nilisahau..kama mfuko hauko vzur toka kwako umeshiba kabisaa..pale unafika muda unamwita muhudum akuletee mishkak ile mikubwa miwil. Kwa mdada unashiba kabisa..mishkak yetu ile huwa ni elf4 mmoja..ila ipo ya elf mbili..agiza akuletee pale . Hapo glass lako unavuta tuu mdogo mdogo na straw/mrija..hapo aisee unaweza kaa mda wowote..ukiona kinywaj kimekolea sana na kama una drive..bas badae agiza vimaj unakunywa mdogo mdogo..unashangaa umetumia 50 tuu na umeburudika swaaaf....nenda sehem za kijanja..dj mjanja..sio unaenda mahala dj anapiga bongo fleva tuu kelele nyiiing au bolingo..mi huwez nikuta huko...mi nikiskia johm delinga anapiga mahala nipo..ma dj wajanja wale kina peter more etc..wapo ma dj wajanja hata samak samak..yaan unakula mzik mtamu...ukimaliza hapo unaondoka zako...weekend well spent.
Unataka sehem ya juu..ya kati au ya chini kabisa.Wewe ni muhuni
Hebu taja maeneo unahisi ukienda chenji haibaki ni full kuinjoi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo 50k ukienda nayo manzese uswazi huko we ni king lkn ukija nayo Hyatt hata mlinzi hawezi kukuruhusu kupita getini.....
manake atajua unaenda kuchafua mazingira
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah lolSijui ni kwa nini kuna siku niliingia na hela ya kutosha ila ilivyoisha sikuelewa elewa ikabidi nitoke pale nje opposite kuna MPESA mpaka asubuhi nikaenda kutoa za kutosha tena nikazama ndani asubuhi nimetoka saa 2 mziki bado unapigwa ndani naangalia mfukoni naona zimepungua.....Pale hatari....
Wacha weeeh, bas sawa ngoja niagize .Oh sawa ! Bac agiza ata maji mm nitalipa ...nakumbukia enzi nipo la chaz
Baada ya kuungua ndo pamebaki hivyo?Eti hapa 1b imeteketea[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]...mi niko na jamaa mmiliki hapa hana hata presha, anajua ukweli View attachment 1719412
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namuambia ukweli mtoto wa mjini, pub yake inayokimbiwa na wateja lolHa ha ha usinichekeshe best[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Yaan best 1m unamaliza siku 1, kwa pombe gan yaan?Hii ni kweli kabisa..mimi muhanga
[emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo tuvamiee tukawaokoee mkuutotoz ndo basi tena
Sasa ushuani ndo kwenye hela na wako watu wazima, lazima kuna sehemu unakwamaa wee.Hamna..kapo ushuan sana tatzo..mtaa una wazee weng watu wazima wazima ..nakahamisha hata hvyo nkipata hela
ππ bwana mdogo weee unamaliza chuo mimi nikiwa Senior consultant I na hapo lazima upitie:Vijana nyie sielew mnashangaa nin..ni vijana wa mkoan nn...hiv unajua usipokua na speed ya utaftaj mjin huku utakua na hasira tu mda wote...ukitaka uone gap la vijana wenzio hudhuria ma event haya...ukiskia sjui diamond ana show nenda ukiskia miss Tz.nenda ukiskia sjui nn.hudhuria.halaf uone vijana umri wako wanaskuma ndiga gan..au wanamilik madem wa aina gan..ukikaa umejifungia ndan tuu utahis wote mko sawa..yaan haujichallenge maisha....vijana tembeen mujionee..msipitwe na muda....
πππ huyu huyu anaelia lia humu khs vibinti uchwara kila siku mkuu?Jamaa yupo Smart tu angalia suala limeanzaje, akitaka kufanya marketing ya chimbo lake nafikiri atatangaza na ID nyengine ambayo sio famous.
Oh waoh ..Wacha weeeh, bas sawa ngoja niagize .
Well explained! A million dollar attitude. [emoji41]Okay ...am home now..soo lets start like this
Pendeza..nukia...dont wear cheap fragrance..yaan uwe na scent ile ambayo ukipishana na mtu anageuka..lavender si lavender yaan unukie vzur..ujue sis wengne uki wear cheap perfume tunajua[emoji16]
Okay..kwenye nguo najua utakua unajua mwenyew..iwe casual or ki executive fresh tuu
Sasa ukifika pale..usiende kukaa kwenye kiti..maana utamu attract muhudum aje akuskilize..na hapo tayar umefanya kosa
Ukiingia tu moja kwa moja nenda kaunta cheka na mtu wa kaunta kama unamjua vile..kwa sisi wenye sound hii ni kitu rahis sanaaa[emoji16]
Pale sasa..kama unakunywa pombe..usiagize ma bia bia.achana nayo..kama kuna shots you can handle mwambia nipe shot unashtua kwanza..kwa sie ma konki ambao tayar ni famous maeneo hayo..shot ya 4000 nauziwa buk3 na wale wadada[emoji3]....
Kwanza kama kuna mtu hapo anakuangalia atasema dah huyu dada ni foreigne nin..maana una confidence ya hatar...
Hapo inakua tayar buku 4 imeenda...unakaa sasa unamwambia muhudum kama ana spirits au kilev chochote chenye kuanzia 35%...or kama hunywi pombe bas unaagiza chochote hapo nzur ni juice au hata cocktail flan ambayo haina kilev kikal..kama ni mtu wa pombe bas unamwambia akupe red label au k vant or wateva kachupa kadogo..mwambie akupe na li glass likubwa lile. Yaan hapo unaongea nae kama mshkaj kwa confidence. "akuwekee humo kwenye li glass lile la cocktail kubwa akuwekee na limao juu. Yaan aipambe glass vzur..halaf unachkua glass yako then unaenda kaa..kwa wewe mdada nenda kakae kwenye kochi usikae kwenye kiti kigum..tena kwa jeur unakaa hapo na kamto unakaweka vzur unaegemea na miguu kama una mguu mzur unauweka kama umekaa kwenye kochi la nyumban..aisee..mi ukinikuta na shemej yako maeneo.utadhan tuko sebulen kwetu...sasa ukifika muda wa msos...kwanza nilisahau..kama mfuko hauko vzur toka kwako umeshiba kabisaa..pale unafika muda unamwita muhudum akuletee mishkak ile mikubwa miwil. Kwa mdada unashiba kabisa..mishkak yetu ile huwa ni elf4 mmoja..ila ipo ya elf mbili..agiza akuletee pale . Hapo glass lako unavuta tuu mdogo mdogo na straw/mrija..hapo aisee unaweza kaa mda wowote..ukiona kinywaj kimekolea sana na kama una drive..bas badae agiza vimaj unakunywa mdogo mdogo..unashangaa umetumia 50 tuu na umeburudika swaaaf....nenda sehem za kijanja..dj mjanja..sio unaenda mahala dj anapiga bongo fleva tuu kelele nyiiing au bolingo..mi huwez nikuta huko...mi nikiskia johm delinga anapiga mahala nipo..ma dj wajanja wale kina peter more etc..wapo ma dj wajanja hata samak samak..yaan unakula mzik mtamu...ukimaliza hapo unaondoka zako...weekend well spent.
Imeisha hiyooooohOh waoh ..
Investment pale ni ya kawaida tuPlot ndiyo gharama pale. Lakini jengo hata milioni 70 halifiki.