Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Tuwekee Bank Statement ya 2020
 
Soo what...being that..soo what...you had ur time. I got mine...
 
[emoji23][emoji23][emoji23] huyu huyu anaelia lia humu khs vibinti uchwara kila siku mkuu?

Dogo ni furahisha genge huyo.
Hahahaha....bro...livin in different worlds..mim nna bachelor with horns from udsm class 2013..tena Coet...ni vile niko hiv yaan...mtoto wa mjin halaf nna akili kichwan..

Sio wew tu ambae hunielew .hata sekondar pia walikua hawanielew hata chuo pia...muaandaaj wa ma concert..tours lakin wakija kwenye pepa nawakamata...tunakesha club ..i ve been that way ever since....mi nmenunua gar yangu ya kwanza niko chuo mwaka wa pili...gx 100 used kwa mil5...hahahah.harakat kitambo bro
 
Eddie Griffin Avatar.
 
MBONA SIJAONA SEHEMU YA KUOPOA CHOMBO...YAANI NITUMIE 50 KUNYWA NA KULA BILA KUOPOA MZIGO... HAPANA WEEKEND NOT WELL SPENT..
 
pumbavu.. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii comment ya kibabe sana.. alivomaliza sasa..
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Maninaa mjini mipangooo
 
Haaaaahaaaaahaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787]

Hapa najiandaa women day....ila ninacheka kingese yaan....aah mabishoo mna kazi sana
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Mjee muungishe au mje mlete usnich..hahah...wala sikuhitaj mteja wa jf ..ma snich..unataka uje unijue .tujuane yan.hahahah. ...dah
Haaahaaahaa...tutajie location banaa, tuje tukuungishe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Mnataka mje msnich mfungue uzi m.napoleone yuko hiv yuko vile .hahaha..weee kaa hapo hapo. Ila ujue wenzako tunapambana mjini hapa...yaan kabisa nikupe location mwana jf .labda ungekua demu kweli....ila..dume..unakuja kusnitch tuu....hahahah..
Toa location mwamba acha wengee[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Mi niko kariakoo nina pesa mpaka naumwaaa[emoji848][emoji848]
 
Baada ya kuungua ndo pamebaki hivyo?
Yeah dear...kuna watu masnitch humo eti wananywea bia humo ndani...nikajisemea kimoyoni wabongo bana[emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787]
 
Haaaaahaaaaahaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787]

Hapa najiandaa women day....ila ninacheka kingese yaan....aah mabishoo mna kazi sana
Hahahaaha....siku nyingne ntampa maujuz ya jinsi ya kuspend kama kazikamatia fweza..hyo nilimpa ya kama mfuko hauko vzur kivileee [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mi niko kariakoo nina pesa mpaka naumwaaa[emoji848][emoji848]
Safi..nasie tunajipanga mwakan tuingie rasmi hapo ...ni vile korona inazingua ila ningeingia toka mwaka jana....manaa kila mtu ananambia subir upepo wa korona upite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…