Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Angalizo: kuna mtindo uliozuka wa wafanyabiashara wa kati kuchoma makusudi biashara zao kwa malengo ya kulipwa na bima hela ndefu. Chunguza matukio yote ya moto utabaini kitu, anza kwa kumsikiliza kwa makini msemaji mmoja kwenye hoteli iliyoungua leo Sinza... Inataka moyo.🤔🤭🤫
 
Poleeeeh sanaa kwa wahusika,
Jah awatie nguvu, na awavushe salama.
 
Mh...! Fedha haina kabila, fedha haina dini, fedha haina baba, fedha haina mama, fedha haina mke/mume. Kwenye mambo ya fedha usimwamini mtu yoyote na wkati wowote. Pigia mstari haya maneno. Mimi nilidhulimiwa na mnyasa (watu wanasema ni watu wapole) na alinikana kwa macho makavu kabisa bila kutetereka.
Wanyasa ni wezi na hivi hawana proper address bongo
 
Humo La Chaz ukiingia ndani hutoki na ukitoka basi kumekucha kabisaaa asubuhi na hapo mnaoiga chakula kitamu kabisaa pale njee😀😀hiyo sehemu ilikuwa ni balaa sanaaaa.....
Nipe chaka jipya boss..
 
jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....kumbe mtu akipanik usimshauri yani nimetoka kukushauri u cool down mara naitwa kahaba....daaaah nikamaind kichz nilitaka nimjibu hovyo ila nikakumbuka mbona nilijikuta nakushauri utulie....


ikabid nijikute mtumishi...samehe 7×70 kudadeek

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa iyo unajiona wa maana sana kumpa huo ushauri......mi nasema bora iyo ela katumia kwenye pombe maana huko shambani angelia
Ha ha ha ze dudu mbavuu zangu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom