Ngunichile
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 356
- 522
Au fitna za biashara...kule nako upinzani ni mkubwa, si unaona hata boardroom ilipigwa lokii
Hivi ni kwanini Executive Boardroom ilifungwa ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au fitna za biashara...kule nako upinzani ni mkubwa, si unaona hata boardroom ilipigwa lokii
Mipango baba..na ubahili...kiingilio elf10 ndugu yangu unashindwa?...unaingia unaagiza red label kachupa kadogo kale .unamwambia weita akuletee na kvant tayar keshaiweka kwenye li glas likubwa achanganye huko huko na tonic aweke ndimu inakuja pale kama cocktail...na chuoa ndogo ya red label unaonekana mtashaaaa...unaagiza vichips kadhaa na tumishkak..umevaa umependeza ni shades za hatar...unaweka funguo mezan ...watoto wanapita unanukia perfume moja ya hatar....watoto wanajileta tuu.hao bongo muv na wasanii tunapishana nao tu wanakodoa macho wanataman uwanunulie pombe.kumbe wew una budget yako ya elf 50 tuh hapo mbwembwe zote hzo......mtu akikuchek anajua jamaa liko vzurr hili.hahahaha..kumbe mipango tu...unafanya hvyo mara1 a week....huku ukisave pesa nyingne unawekeza kwenye magoli yako ....mjin mipango..hakikisha una source za income nying mzee baba...Vijana wenzangu mnapata wapi hela lakini hadi mpande ghorofa ya 14 kunywa tu
PamojaMipango baba..na ubahili...kiingilio elf10 ndugu yangu unashindwa?...unaingia unaagiza red label kachupa kadogo kale .unamwambia weita akuletee na kvant tayar keshaiweka kwenye li glas likubwa achanganye huko huko na tonic aweke ndimu inakuja pale kama cocktail...na chuoa ndogo ya red label unaonekana mtashaaaa...unaagiza vichips kadhaa na tumishkak..umevaa umependeza ni shades za hatar...unaweka funguo mezan ...watoto wanapita unanukia perfume moja ya hatar....watoto wanajileta tuu.hao bongo muv na wasanii tunapishana nao tu wanakodoa macho wanataman uwanunulie pombe.kumbe wew una budget yako ya elf 50 tuh hapo mbwembwe zote hzo......mtu akikuchek anajua jamaa liko vzurr hili.hahahaha..kumbe mipango tu...unafanya hvyo mara1 a week....huku ukisave pesa nyingne unawekeza kwenye magoli yako ....mjin mipango..hakikisha una source za income nying mzee baba...
Unataka nawee akuunge kwenye grid ya taifa...tuulizen kwanza watoto wa mjin sio mnavamia tu kama dogo janja muanze kukohoa na kupungua uzito..(jokin)Pale pa uwoya pa kiseing kweli nishakaaga kunywa pale.....
infact nilikuwa nataka nimuone live huyo uwoya amekaaje kaaje
Ana gridi yule!!??Unataka nawee akuunge kwenye grid ya taifa...tuulizen kwanza watoto wa mjin sio mnavamia tu kama dogo janja muanze kukohoa na kupungua uzito..(jokin)
Nitapita nikanyweNdio......floor ya14
Mipango baba..na ubahili...kiingilio elf10 ndugu yangu unashindwa?...unaingia unaagiza red label kachupa kadogo kale .unamwambia weita akuletee na kvant tayar keshaiweka kwenye li glas likubwa achanganye huko huko na tonic aweke ndimu inakuja pale kama cocktail...na chuoa ndogo ya red label unaonekana mtashaaaa...unaagiza vichips kadhaa na tumishkak..umevaa umependeza ni shades za hatar...unaweka funguo mezan ...watoto wanapita unanukia perfume moja ya hatar....watoto wanajileta tuu.hao bongo muv na wasanii tunapishana nao tu wanakodoa macho wanataman uwanunulie pombe.kumbe wew una budget yako ya elf 50 tuh hapo mbwembwe zote hzo......mtu akikuchek anajua jamaa liko vzurr hili.hahahaha..kumbe mipango tu...unafanya hvyo mara1 a week....huku ukisave pesa nyingne unawekeza kwenye magoli yako ....mjin mipango..hakikisha una source za income nying mzee baba...
Ha ha haNi nini hicho umetaja hapo. Ni mtu anateketea kwa moto au ni kitabu?!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukikutana nao asubuhi make up imefagiwa na jasho la usiku kucha unaweza kuhisi ni wachezaji wa mpira wa Njombe mji. [emoji16][emoji16]
Maisha haya nyie! Tuacheni tu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kwahyo mimi Kahaba mkuu....
sema nn tuendelee kunywa bia
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ndio huyo huyo! Lord Eyes anaomba Kama aina ya mwanafunzi wa shule ya msingi anaeomba ice cream kwa wenzie muda wote.Lord Eyes ndo zake hizo .
Makelele kwa wananchiHivi ni kwanini Executive Boardroom ilifungwa ??
Hujaamua tuu mkuu....cheza kwenye basic needs....Haya Mzee Baba. Ila sasa hapo kwenye source za income nyingi ndo shida. Mbona wengine tunazitafutia hadi kwa tochi hata hatuzipati??
Magoli 10 = 2M kwa mweziHujaamua tuu mkuu....cheza kwenye basic needs....
Kama ni bidhaa bas deal na bidhaa ambayo hata wew kila siku unaitumia
Kama ni huduma bas fanya huduma ambayo wew unaifanya regulary
Toa aibu..ego..fanya maamuz...halaf usianze na mtaj mkubwa mtaj mdogo unatest mitambo..ukiona hukosi sh mbili bas unaongeza mtaj atleast kila goli likupe not less than 50k a week..ukiwa na magoli 10 mzee baba si unakunja 500k a week kiboya boya tu....hakikisha una manage vzur na uwe na mpango mkakat wa management....maana hapo ndo kazi ilipo
Ciao
Yes...hakikisha magoli yanakua meng zaid na zaid...kuna watu vijana tu wana magoli 50....mshikaj wangu sheta ana magoli ya chips kama 20 hiv...unamwona ameacha mzik skuhiz anaskuma discovery..ni hvo tuu hakuna uchaw....mi had mwakan ntakua nayo kama 20 hiv....ndo ukiskia mishen town ndo hzo...mwingne kila goli kwa week anafunga 100k..yakiwa kumi je..so ni mapambano...kwahyo kutoa 100k kuikaangaa kidimbwi kwa week mara1 inakua si shida..Magoli 10 = 2M kwa mwezi
Una base kwenye Niche/Huduma/Bidhaa gani.Yes...hakikisha magoli yanakua meng zaid na zaid...kuna watu vijana tu wana magoli 50....mshikaj wangu sheta ana magoli ya chips kama 20 hiv...unamwona ameacha mzik skuhiz anaskuma discovery..ni hvo tuu hakuna uchaw....mi had mwakan ntakua nayo kama 20 hiv....ndo ukiskia mishen town ndo hzo...mwingne kila goli kwa week anafunga 100k..yakiwa kumi je..so ni mapambano...kwahyo kutoa 100k kuikaangaa kidimbwi kwa week mara1 inakua si shida..
Pole sanaAlikudhulumu??
Mimi sitaki kusema nilidhulumiwa na sijalipwa mpaka leo, malipo ni hapa hapa duniani dhulma sio nzuri
Ndo inabid uchangamshe akili kijana unataka nikutafnie kila kitu...unataka nikutajie magoli yangu mkuu.kweeli?Una base kwenye Niche/Huduma/Bidhaa gani.